Missile of the Nation
JF-Expert Member
- May 24, 2018
- 15,101
- 56,054
Kuna vitu decision inafanywa at Presidential level, siyo katika level ya ukurugenzi.
Rais akishasema tunajenga hiki ni no mjadala
Rais akishasema tunajenga hiki ni no mjadala
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Anahusikaje....Mwambieni Mkwere atuache tujenge nchi yetu,, kama miaka 10 aliyokua madarakani haikumtosha basi,, imeisha hiyo
Kama kakoko ndie alimudanganya Magufuli kwamba mradi wa bandari ya Bagamoyo hauna manufaa,basi hafai kabisa. Ni adui wa taifa.Nimemsikiliza Rais Mama Samia tokea achukue hatamu za uongozi na leo spika wa Bunge kuhusu Bandari ya Bagamoyo ninashawishika kuamini kuwa Kakoko wa TPA alisimamishwa haraka na mama kwa leo la kufungulia mradi wa Bagamoyo.
Kakoko alikuwa kikwazo cha ulaji au uwekezaji huu.https://youtu.be/MYTVsWgrwx0
Nawakumbusha viongozi kuwa Magufuli alikuwa na ana watu wengi sana Watanzania wanaomwamini kuwa ndie alikuwa mtetezi wa kweli wa rasilimali na Watanzania. Hivyo waende taratibu maana akitokea kichaa akahoji kuhusu kifo na kushawishi vinginevyo kwa matendo yao nchi itayumba.
Nyerere alisema huwezi kumgusa Rais nchi isitikisike. Kifo kimemgusa Rais twendeni taratibu tusitake kuwachafua waliokuwa watumishi waaminifu wa marehemu maana wakijitetea watawashinda mbele ya Umma
Sent from my itel Prime 4 using JamiiForums mobile app
Sasa unashangaa niniSubiri kidogo, unataka kusema mtangulizi katangulizwa?
Waturudishie hela zetu aiseeNaunga mkono hoja ya kwenda kulipiga minyororo lile kaburiView attachment 1746928
Sent using Jamii Forums mobile app
Wewe huo mkataba umeshausoma na kuuelewa? Kama ni ndiyo tuambie yaliyomo.Kama kakoko ndie alimudanganya Magufuli kwamba mradi wa bandari ya Bagamoyo hauna manufaa,basi hafai kabisa. Ni adui wa taifa.
CCM mtuache tupumue jaman huku MSOGA CLAN VS SUKUMA GANGMsoga clan itaiyumbisha sana nchi hii,naamini angekuwepo Chinga one wasingeweza ,sasa wote hawapo ni uwanja wao kucheza wanavyotaka, eh Mungu tuepushe na hii cartel
ongezea..Inafikirisha.
1. Fasta zinaenea habari kakutwa na mabilioni maskani
2. Fasta anatolewa
3. Fasta bandari tuliyoambiwa haifai kujengwa inaanza kupigiwa chapuo ijengwe
Inafikirisha.
1. Fasta zinaenea habari kakutwa na mabilioni maskani
2. Fasta anatolewa
3. Fasta bandari tuliyoambiwa haifai kujengwa inaanza kupigiwa chapuo ijengwe
Bonyeza link kwenye uzi hapo umsikilize Kakoko kuhusu huo mradiKuna vitu decision inafanywa at Presidential level, siyo katika level ya ukurugenzi.
Rais akishasema tunajenga hiki ni no mjadala
Kakoko amefanya ufisadi mkubwa sana Kigoma halafu kawatupa jela wasaidizi wake.Nimemsikiliza Rais Mama Samia tokea achukue hatamu za uongozi na leo spika wa Bunge kuhusu Bandari ya Bagamoyo ninashawishika kuamini kuwa Kakoko wa TPA alisimamishwa haraka na mama kwa leo la kufungulia mradi wa Bagamoyo.
Kakoko alikuwa kikwazo cha ulaji au uwekezaji huu.https://youtu.be/MYTVsWgrwx0
Nawakumbusha viongozi kuwa Magufuli alikuwa na ana watu wengi sana Watanzania wanaomwamini kuwa ndie alikuwa mtetezi wa kweli wa rasilimali na Watanzania. Hivyo waende taratibu maana akitokea kichaa akahoji kuhusu kifo na kushawishi vinginevyo kwa matendo yao nchi itayumba.
Nyerere alisema huwezi kumgusa Rais nchi isitikisike. Kifo kimemgusa Rais twendeni taratibu tusitake kuwachafua waliokuwa watumishi waaminifu wa marehemu maana wakijitetea watawashinda mbele ya Umma
Sent from my itel Prime 4 using JamiiForums mobile app
Ni wewe bwashee!!!Kakoko amefanya ufisadi mkubwa sana Kigoma halafu kawatupa jela wasaidizi wake.
Yule mrundi hafai kabisa!
Kabisa mkuu.Mleta mada tumia kanuni hii ili kuifahamu Tanganyika: ukiona mtu anatupiwa lawama Sana upo uwezekano amekanyaga bomba linalopeleka ulaji kwenye matumbo ya wajanja!
Mfano hai: Bashiru Kakurwa siku hizi kawa mbaya, ila wenye akili wanafahamu pamoja na mabaya yake ila KAMATI ALIYOIONGOZA KUHAKIKI MALI ZA CHAMA CHA MAPINDUZI IMEUA ULAJI WA WENGI (nyingi ni za watanzania tu) kwenye msafara wa mamba na kenge huwa hawakosi wengine wanafuata tu upepo wa kutukana ila wenye akili tunafahamu kuwa ubaya wa akina Sabaya, Bashiru, nk pamoja na mabaya yao ila nongwa ni kuziba ulaji wa vigogo!
YesSubiri kidogo, unataka kusema mtangulizi katangulizwa?
Umekosea kumtaja SabayaKabisa mkuu.
Spika Ndugai anavyobadilika haraka kesho unaweza kuskia akitaka Tuvunje Ukuta wa MereraniNimemsikiliza Rais Mama Samia tokea achukue hatamu za uongozi na leo spika wa Bunge kuhusu Bandari ya Bagamoyo ninashawishika kuamini kuwa Kakoko wa TPA alisimamishwa haraka na mama kwa leo la kufungulia mradi wa Bagamoyo.
Kakoko alikuwa kikwazo cha ulaji au uwekezaji huu.https://youtu.be/MYTVsWgrwx0
Nawakumbusha viongozi kuwa Magufuli alikuwa na ana watu wengi sana Watanzania wanaomwamini kuwa ndie alikuwa mtetezi wa kweli wa rasilimali na Watanzania. Hivyo waende taratibu maana akitokea kichaa akahoji kuhusu kifo na kushawishi vinginevyo kwa matendo yao nchi itayumba.
Nyerere alisema huwezi kumgusa Rais nchi isitikisike. Kifo kimemgusa Rais twendeni taratibu tusitake kuwachafua waliokuwa watumishi waaminifu wa marehemu maana wakijitetea watawashinda mbele ya Umma
Sent from my itel Prime 4 using JamiiForums mobile app
Hilo linawezekana sanalSubiri kidogo, unataka kusema mtangulizi katangulizwa?
Duh. Raha ya private hii inaitwa forced resignation unafungua kesi CMA unashinda na unalipwa mamilioni ya kutosha.ongezea..
hata kabla ya uchunguzi haujaisha keshapokwa cheo..dadek