Inawezekana kosa la Kakoko ni kuzuia mradi wa Bandari ya Bagamoyo

Inawezekana kosa la Kakoko ni kuzuia mradi wa Bandari ya Bagamoyo

Mzee wa watu kajipumzikia msoga huko hana habari na mambo yenu mnayomtuhumu, kama aliweza kupuuza matusi ya kipindi kile akiwa na power hayo maneno yenu hayamsumbui mnapoteza muda kumchafua,

Speech ya Mzee JK kwenye mazishi ya Hayati JPM ilinipa mengi ya kufikiria!

Mengi sana!

Neno kwa neno!
 
Katika akili ya kawaida,unawezaje kubeba wanyama kutoka mbugan unawapeleka kwenu chato eti kutengeneza mbuga nyingine Ili kuvutia watalii,coz umeshanunua dreamliners,umeshaanzisha route ya chato,ss unataka kuforce utalii,jamaa alikuwa miyeyusho Sana yule

Kheri yake alibeba kutoka pande nyingine ya Tanzania akapeleka pande ingine ya Tanzania!

Wale walikua wakipandishwa kwa concord kule KIA kutoka Tanzania kwenda mataifa mengine, tunawaweka fungu lipi?
 
Nimemsikiliza Rais Mama Samia tokea achukue hatamu za uongozi na leo spika wa Bunge kuhusu Bandari ya Bagamoyo ninashawishika kuamini kuwa Kakoko wa TPA alisimamishwa haraka na mama kwa lengo la kufungulia mradi wa Bagamoyo.

Kakoko alikuwa kikwazo cha ulaji au uwekezaji huu.



Nawakumbusha viongozi kuwa Magufuli alikuwa na ana watu wengi sana Watanzania wanaomwamini kuwa ndie alikuwa mtetezi wa kweli wa rasilimali na Watanzania. Hivyo waende taratibu maana akitokea kichaa akahoji kuhusu kifo na kushawishi vinginevyo kwa matendo yao nchi itayumba.

Nyerere alisema huwezi kumgusa Rais nchi isitikisike. Kifo kimemgusa Rais twendeni taratibu tusitake kuwachafua waliokuwa watumishi waaminifu wa marehemu maana wakijitetea watawashinda mbele ya Umma

Ndio nayeye aibe pesa !!???
 
Mtu mongo muongo kama Magufuli sio wa kumwamini
Mmekalia uongo wa Magufuli mtu mzushi na muongo level ya Rais
Mramba umewahi kuuona uo mkataba au unajikomba kwa kakonko akutumie mpesa
 
Nimemsikiliza Rais Mama Samia tokea achukue hatamu za uongozi na leo spika wa Bunge kuhusu Bandari ya Bagamoyo ninashawishika kuamini kuwa Kakoko wa TPA alisimamishwa haraka na mama kwa lengo la kufungulia mradi wa Bagamoyo.

Kakoko alikuwa kikwazo cha ulaji au uwekezaji huu.



Nawakumbusha viongozi kuwa Magufuli alikuwa na ana watu wengi sana Watanzania wanaomwamini kuwa ndie alikuwa mtetezi wa kweli wa rasilimali na Watanzania. Hivyo waende taratibu maana akitokea kichaa akahoji kuhusu kifo na kushawishi vinginevyo kwa matendo yao nchi itayumba.

Nyerere alisema huwezi kumgusa Rais nchi isitikisike. Kifo kimemgusa Rais twendeni taratibu tusitake kuwachafua waliokuwa watumishi waaminifu wa marehemu maana wakijitetea watawashinda mbele ya Umma
Kakoko wa thief 3.6 billions zimetoweka kwenye Acc za bandari na yy akiwa Director
 
Kheri yake alibeba kutoka pande nyingine ya Tanzania akapeleka pande ingine ya Tanzania!

Wale walikua wakipandishwa kwa concord kule KIA kutoka Tanzania kwenda mataifa mengine, tunawaweka fungu lipi?
Aiseee, inafikirisha sana.

Mmoja alipakia Twiga kuwapeleka umangani.

Mwingine kawapeleka Twiga hao hao kwenye pori la akiba ili liwe hifadhi kamili na utalii utanuke.

Ajabu kuna mazombi wanambeza huyu wa pili na kufurahia kurejea kwa yule wa kwanza! Inafikirisha.
 
Huenda Wachina walitusaidia kuipigisha Shoti ile Pacemaker ila tusikubali kuzulumiwa Bagamoyo.
 
Nimemsikiliza Rais Mama Samia tokea achukue hatamu za uongozi na leo spika wa Bunge kuhusu Bandari ya Bagamoyo ninashawishika kuamini kuwa Kakoko wa TPA alisimamishwa haraka na mama kwa lengo la kufungulia mradi wa Bagamoyo.

Kakoko alikuwa kikwazo cha ulaji au uwekezaji huu.



Nawakumbusha viongozi kuwa Magufuli alikuwa na ana watu wengi sana Watanzania wanaomwamini kuwa ndie alikuwa mtetezi wa kweli wa rasilimali na Watanzania. Hivyo waende taratibu maana akitokea kichaa akahoji kuhusu kifo na kushawishi vinginevyo kwa matendo yao nchi itayumba.

Nyerere alisema huwezi kumgusa Rais nchi isitikisike. Kifo kimemgusa Rais twendeni taratibu tusitake kuwachafua waliokuwa watumishi waaminifu wa marehemu maana wakijitetea watawashinda mbele ya Umma
Kakonko ni mwizi kama meko,huyo hayati wenu alikua jambazi kuliko awamu zote
 
Nadhani huyu jamaa alijikita sehemu moja tu faida ya moja kwa moja bandarini bila kuwaza nje ya box faida za kiuchumi ambazo zingepatikana kwa kuwepo bandari tu mpya na ya kisasa pale. Maana swali la kwanza ingekuwa je bandari ya Bagamoyo inahitajika na sababu zipi zikaleta huu mradi wakati tunajuwa bandari tunazo. Ni kwa sababu kuna sababu. Mwekezaji anakuja kuwekeza mradi mkubwa viwanda vingapi na biashara ngapi zingefunguka na ajira kwa maana viwanda ndio ilikuwa chanzo na bandari huduma kurahisha biashara na kuteka soko la kusini mwa Africa. mjadiliane hii ni biashara lakini sio kwenda katika vyombo vya habari hawa wawekezaji waizi, hapana hawa wanafanya biashara na wanataka faida hakuna mwizi hapa ni kuongea tu.
 
Back
Top Bottom