Inawezekana kosa la Kakoko ni kuzuia mradi wa Bandari ya Bagamoyo

Inawezekana kosa la Kakoko ni kuzuia mradi wa Bandari ya Bagamoyo

Nimemsikiliza Rais Mama Samia tokea achukue hatamu za uongozi na leo spika wa Bunge kuhusu Bandari ya Bagamoyo ninashawishika kuamini kuwa Kakoko wa TPA alisimamishwa haraka na mama kwa lengo la kufungulia mradi wa Bagamoyo.

Kakoko alikuwa kikwazo cha ulaji au uwekezaji huu.



Nawakumbusha viongozi kuwa Magufuli alikuwa na ana watu wengi sana Watanzania wanaomwamini kuwa ndie alikuwa mtetezi wa kweli wa rasilimali na Watanzania. Hivyo waende taratibu maana akitokea kichaa akahoji kuhusu kifo na kushawishi vinginevyo kwa matendo yao nchi itayumba.

Nyerere alisema huwezi kumgusa Rais nchi isitikisike. Kifo kimemgusa Rais twendeni taratibu tusitake kuwachafua waliokuwa watumishi waaminifu wa marehemu maana wakijitetea watawashinda mbele ya Umma

Tutolee kichefuchefu zilitajwa pesa zimepotea au ujenzi wa wabandari bagamoyo untulea ramli na uhalisia tumeambiwa nakuona
 
Mpuuzi sana huyo, kumbe ndiye chanzo kikubwa cha kuhujumu mradi huu mkubwa ambao ungeleta fahida kubwa kwa Taifa letu si kwa ujenzi wa Bandari tu bali na ujenzi wa viwanda vikubwa na vyenye maana kwa ustawi wa Taifa letu.

Nimemsikiliza kwa umakini alicho kuwa anaeleza - tangu mwanzo alionekana yuko overly biased against Chinese kwa kuwasimanga mambo chungu mzima eti hawa ni mabepari,wajanja,wanakuja Kaliakoo kuuza pety products,mara wachina wa sasa tofauti na walio jenga reli ya TAZARA,eti kafanya upelelezi wa miradi iliyo tekelezwa na wachina nchi za nje akagunduwa ni balaa tupu as if huu ndio ungekuwa mradi wa kwanza wa wachina kuwekeza kwenye ujenzi na uendeshaji wa Bandari kwenye mataifa mengine,anarudia propaganda zile zile za mataifa ya magharibi za kujaribu kuwa demonise wachina, si ajabu alikuwa greased kuhakikisha mradi huu will never see light of the day.

Kakoko asitake kubabaisha watu, wachina na waarabu wa Oman walitaka kuja Tanzania kuwekeza katika mradi wa kujenga na kuendesha masuala ya Bandari na viwanda vitakavyo zunguka Bandari, hakuna popote wachina walisema wanataka kuingia ubia na Serikali yetu kujenga na kuendesha Bandari - Serikali haitachangia hata senti tano kwenye mradi huo, sasa kwa nini watu kama Kakoko atake kushauri Serikali kujiingiza kwenye uendeshaji wa Bandari ambayo hawakuijenga au kuwekeza zaidi ya kuwapatia aridhi ya kujenga.

Wachina wa uwekezaji katika Bandari wangekuja kama Wachina wenzeo waliowekeza kwenye viwanda huko Mkulanga, sijawahi kusikia Serikali ikiwaiingilia kwenye uendeshaji wa viwanda vyao,sana sana Serikali inacho pashwa kuhakikisha ni ukusanyaji wa kodi kutoka kwa wawekezaji - sasa kwa nini uwekezaji kwenye Bandari uwe tofauti na uwekezaji kwenye viwanda - au Kakoko alikuwa na wasi wasi kwamba ujenzi wa Badari kubwa ya Bagamoyo kutampuguzia wadhifa na influence yake kwenye masuala Bandari nchini ndio maana kashirikilia hoja ya ukodeshaji wa aridhi kama ndio hoja kubwa ya kuhujumu ujenzi wa Bandari ya B'moyo kwa kuwasingizia Wachina eti wanataka kupora aridhi kwa muda mrefu na kuiingizia hasara Taifa letu - Kakoko hasemi chochote kuhusu modalities zinazo tumiwa na Serikali kuwapatia aridhi wawekezaji wa kwenye viwanda, je, wanalipa pango la aridhi na kwa muda gani.
Kakoko alikuwa ni mtu wa karibu sana kwa Magufuli .
Hivyo kila jambo alilofanya Kakoko lilikuwa na baraka za Magufuli.

Kumlaumu Kakoko kuwa ndiye aliye kwamisha ujenzi wa bandari ya Bagamoyo siyo kweli

Kama mnataka kusema uhalisia basi msiwache kumlaumu pia Magufuli maana kama Magufuli angekuwa yupo willing hiyo bandari ijengwe naamini hakuna kiumbe yeyote chini ya jua angeweza kupinga.
 
Wachina sio watu wazuri aisee, yani wakujengee bandari halafu wewe huruhusiwi kuendeleza bandari yoyote ile kuanzia tanga, mpaka mtwara. Kwenye hiyo bandari hata kodi huruhusiwi kuokota, uwape guarantee ya kuendesha miaka 99. Halafu kuna punguani moja linasema, Rais kashauriwa vibaya kukataa huu upuuzi. JPM, hakika ulikuwa Mzalendo wa dhati kwa nchi yako. R I P shujaa wa Afrika nzima.
Kwa uzalendo upi huo ?
Au kununua ndege amabzo amabazo hadi Leo ni mzigo kwa walipa kodi?
Huo ndiyo uzalendo?
 
Mwambieni Mkwere atuache tujenge nchi yetu,, kama miaka 10 aliyokua madarakani haikumtosha basi,, imeisha hiyo
Mnaweweseka Sana wasukuma,

Lakin Gwajima anaweza kufufua,kama vip mgongeeni matelephone muenda chato chap chap,mnaumiaaaa
 
Kwa uzalendo upi huo ?
Au kununua ndege amabzo amabazo hadi Leo ni mzigo kwa walipa kodi?
Huo ndiyo uzalendo?

Wasukuma washamba Sana,

Then uzalendo siyo kumpenda Magufuli,uzalendo ni kuipenda nchi,sasa hasa yeyote yule ambae alikuwa anampinga meko basi siyo mzalendo,sasa tusiseme kuwa ametutia hasara?Anaenda kujenga Liukutaa Lirefuu eti anazuia tanzanite isiibiwe,analinda na mitutu ya bunduki,watu Wanamwibia kama kawaida,yule dishi liliyumbaa hatukujua mapema tuh
 
Wasukuma washamba Sana,

Then uzalendo siyo kumpenda Magufuli,uzalendo ni kuipenda nchi,sasa hasa yeyote yule ambae alikuwa anampinga meko basi siyo mzalendo,sasa tusiseme kuwa ametutia hasara?Anaenda kujenga Liukutaa Lirefuu eri anazuia tanzanite isiibiwe,analinda na mitutu ya bunduki,watu Wanamwibia kama kawaida,yule dishi liliyumbaa hatukujua mapema tuh
Mwl Nyerere alishawahi kugusia kuwa makabila kama wasukuma no hatari sana kuwapatia nafasi kubwa kwenye nchi yetu changa kimaendeleo.
 
Mleta mada tumia kanuni hii ili kuifahamu Tanganyika: ukiona mtu anatupiwa lawama Sana upo uwezekano amekanyaga bomba linalopeleka ulaji kwenye matumbo ya wajanja!
Mfano hai: Bashiru Kakurwa siku hizi kawa mbaya, ila wenye akili wanafahamu pamoja na mabaya yake ila KAMATI ALIYOIONGOZA KUHAKIKI MALI ZA CHAMA CHA MAPINDUZI IMEUA ULAJI WA WENGI (nyingi ni za watanzania tu) kwenye msafara wa mamba na kenge huwa hawakosi wengine wanafuata tu upepo wa kutukana ila wenye akili tunafahamu kuwa ubaya wa akina Sabaya, Bashiru, nk pamoja na mabaya yao ila nongwa ni kuziba ulaji wa vigogo!
Mali za CCM Ni za watanzania? Acha utopolo
 
Nimemsikiliza Rais Mama Samia tokea achukue hatamu za uongozi na leo spika wa Bunge kuhusu Bandari ya Bagamoyo ninashawishika kuamini kuwa Kakoko wa TPA alisimamishwa haraka na mama kwa lengo la kufungulia mradi wa Bagamoyo.

Kakoko alikuwa kikwazo cha ulaji au uwekezaji huu.



Nawakumbusha viongozi kuwa Magufuli alikuwa na ana watu wengi sana Watanzania wanaomwamini kuwa ndie alikuwa mtetezi wa kweli wa rasilimali na Watanzania. Hivyo waende taratibu maana akitokea kichaa akahoji kuhusu kifo na kushawishi vinginevyo kwa matendo yao nchi itayumba.

Nyerere alisema huwezi kumgusa Rais nchi isitikisike. Kifo kimemgusa Rais twendeni taratibu tusitake kuwachafua waliokuwa watumishi waaminifu wa marehemu maana wakijitetea watawashinda mbele ya Umma


Mama hawa wanajaribu kukuzengua. Wape kitu roho yao inapenda!

Kumbe walipokuwa wanajenga airports na madaraja kwao huo ulikuwa ni uadilifu.

Hiiiiii bagosha!
 
Kwani yalikwisha??
Mbona tunawaona wapo mitaani daily.

Everyday is Saturday............................... 😎
Aliyekuwa na ubavu wa kupiga vita madawa ya kulevya alikuwa ni Paul Makonda na yule Mmasai aliye kuwa mkuu wa kitengo cha taasisi ya kudhibiti madawa ya kulevya - tangu astaafu taasisi nzima ni nadra kusikika anaweza kufikiri wahusika wote wako likizo!!
 
Back
Top Bottom