Inawezekana kuanzisha shule ya msingi binafsi inayofundisha kwa Kiswahili?

Inawezekana kuanzisha shule ya msingi binafsi inayofundisha kwa Kiswahili?

Issue ni biashara. Shule ya msingi kwa Kiswahili utakuwa na tofauti gani na shule za serikali mpaka wazazi waache kupeleka watoto wao shule za serikali wawalete kwako?
Hilo ni tatizo japo Uingereza kuna shule private zinazofundisha kwa kiingereza na za serikali zinafundisha kwa kiingereza hichohicho. Wanawapeleka private sababu ya quality ya elimu, program za shule na class size.
 
Hilo ni tatizo japo Uingereza kuna shule private zinazofundisha kwa kiingereza na za serikali zinafundisha kwa kiingereza hichohicho. Wanawapeleka private sababu ya quality ya elimu, program za shule na class size.
English ni world class language. Hakuna sababu ya kufundisha kwa lugha mbadala huko Uingereza wakati unaweza kupata kila kitu kupitia lugha moja.
 
Wenye kumshawishi mume mtoto aende private Ni mke..
Jiulize. Ni mmama yupi atamshauri mumewe wampeleke mtoto shule ya hela ndefu inayofundisha kisukuma.
Hata wageni wakija mama hawezi kumfokea dogo kwa kiingereza?
Mama atatoa story gani huko salun Kama analipa milioni kwenye school bus halafu dogo hata good morning haijui?
 
English ni world class language. Hakuna sababu ya kufundisha kwa lugha mbadala huko Uingereza wakati unaweza kupata kila kitu kupitia lugha moja.
Nachomaanisha ni kuwa watu hawapeleki watoto private sababu ya lugha bali sababu ya quality ya elimu. Ni elimu wuality inaweza kltolewa kwa lugha yoyote, Au unamaanisha kuwa sababu kuu ya watu kupeleka watoto private ni Lugha?
 
Inawezekana tu mkuu,lkn ni shule itakayowafaa watoto wa wanyongeeeee.
Yap, huweki ada za mamilioni ila elimu quality. Ila ni kazi sana kuwaaminisha wabongo kuwa elimu nzuri inaweza tolewa kwa lugha tofauti na kiingereza.
 
Nachomaanisha ni kuwa watu hawapeleki watoto private sababu ya lugha bali sababu ya quality ya elimu. Ni elimu wuality inaweza kltolewa kwa lugha yoyote, Au unamaanisha kuwa sababu kuu ya watu kupeleka watoto private ni Lugha?
Wewe fungua shule ufundishe kwa kiswahili, hamna atakae kuzuia
 
Hivi shule za private lazima zifundishe kwa Kiingereza?
Inawezekana mbona zipo na Zina fanya vizuri mfano HURUMA na ST WOLHEM ZIPO MBINGA mjini Mkoani RUVUMA. Shule hizi ndizo hutikisa mkoa wa Ruvuma kielimu kwa miaka kadhaa sasa.
 
Wenye kumshawishi mume mtoto aende private Ni mke..
Jiulize. Ni mmama yupi atamshauri mumewe wampeleke mtoto shule ya hela ndefu inayofundisha kisukuma.
Hata wageni wakija mama hawezi kumfokea dogo kwa kiingereza?
Mama atatoa story gani huko salun Kama analipa milioni kwenye school bus halafu dogo hata good morning haijui?
Buhahaha haha fala Sana wewe
 
Nachomaanisha ni kuwa watu hawapeleki watoto private sababu ya lugha bali sababu ya quality ya elimu. Ni elimu wuality inaweza kltolewa kwa lugha yoyote, Au unamaanisha kuwa sababu kuu ya watu kupeleka watoto private ni Lugha?
Kwako wewe tafsiri ya ubora wa elimu ni ipi ?
 
Inawezekana mbona zipo na Zina fanya vizuri mfano HURUMA na ST WOLHEM ZIPO MBINGA mjini Mkoani RUVUMA. Shule hizi ndizo hutikisa mkoa wa Ruvuma kielimu kwa miaka kadhaa sasa.
Nashukuru kwa kuja na mfano hai.
 
Kwako wewe tafsiri ya ubora wa elimu ni ipi ?
Ni ile inayomuwezesha mtoto kupata maarifa aliyokusudiwa kupewa kikamilifu. Si ile ya kumaliza bila kuelewa yale aliyotakiwa kuelewa au kuelewa nusunusu
 
Back
Top Bottom