Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
LughaNachomaanisha ni kuwa watu hawapeleki watoto private sababu ya lugha bali sababu ya quality ya elimu. Ni elimu wuality inaweza kltolewa kwa lugha yoyote, Au unamaanisha kuwa sababu kuu ya watu kupeleka watoto private ni Lugha?
Mfano wako unaona upo sawa kabisa....POOR THINKING.Inawezekana. Hata Uingereza kula shule za private zinazofundisha kingereza. Itategemea tu na unavyoi-position shule yako kibiashara
Kwa GOAL hii jiandae kuzika pesa zakoNi ile inayomuwezesha mtoto kupata maarifa aliyokusudiwa kupewa kikamilifu. Si ile ya kumaliza bila kuelewa yale aliyotakiwa kuelewa au kuelewa nusunusu
Wacha wee! Kwa hiyo unajiona bonge la genius?Mfano wako unaona upo sawa kabisa....POOR THINKING.
Ukoloni umekuganda.. Inatia huruma mtu kujimwambafai kwa lugha ya kigeni. Mpaka sasa najua hujui kuongea Kingereza kwa dakika hata moja na pia hujui kuongea Kiswahili kwa dakika hata moja bila kuchanganyaEnglish ni world class language. Hakuna sababu ya kufundisha kwa lugha mbadala huko Uingereza wakati unaweza kupata kila kitu kupitia lugha moja.
Utafirw.a wewe, acha shobo na usio wajuaUkoloni umekuganda.. Inatia huruma mtu kujimwambafai kwa lugha ya kigeni. Mpaka sasa najua hujui kuongea Kingereza kwa dakika hata moja na pia hujui kuongea Kiswahili kwa dakika hata moja bila kuchanganya
Matusi yanaonesha hujui chochote kichwaniUtafirw.a wewe, acha shobo na usio wajua
Ni ushamba na ulimbukeni tuHivi shule za private lazima zifundishe kwa Kiingereza?
Zipo shule za binafsi za kiswahiliIssue ni biashara. Shule ya msingi kwa Kiswahili utakuwa na tofauti gani na shule za serikali mpaka wazazi waache kupeleka watoto wao shule za serikali wawalete kwako?