Inawezekana kujenga nyumba hii kwa millioni 14

Inawezekana kujenga nyumba hii kwa millioni 14

Sasa kama tofali tu ni 2.6m, ukiweka saruji, nondo, kokoto,mbao,bati,mchanga,labor,gharama za fundi,umeme,maji, plumbing,gharama za kukodi vifaa, kuchimba shimo la choo, fundi wa kupaua bado tu hyo m 14 ipo?
Sawa ila inategemea na maono ya kila mtu kwenye ujenzi wa nyumba. Juzi kuna mpwa wangu, anaishi USA, kaja na akaenda kusimamia ujenzi wa SERVANT QUARTER kwenye kiwanja chake, anasema hadi hatua ya kupiga bati na finishing ndogo ndogo, ametumia 8mi/-! Kwa kweli ujenzi ni suala la MTAZAMO na MAONO yako binafsi. Binafsi hiyo 14mi/= ni pesa nyingi. By the way kuna kampuni moja ya Real Estate, wanauza nyumba huko Kigamboni yenye 2 Bedrooms, 1 Sitting Room, Choo na Bafu kwa 5.5mi/=! UPO HAPO!?
 
Sawa ila inategemea na maono ya kila mtu kwenye ujenzi wa nyumba. Juzi kuna mpwa wangu, anaishi USA, kaja na akaenda kusimamia ujenzi wa SERVANT QUARTER kwenye kiwanja chake, anasema hadi hatua ya kupiga bati na finishing ndogo ndogo, ametumia 8mi/-! Kwa kweli ujenzi ni suala la MTAZAMO na MAONO yako binafsi. Binafsi hiyo 14mi/= ni pesa nyingi. By the way kuna kampuni moja ya Real Estate, wanauza nyumba huko Kigamboni yenye 2 Bedrooms, 1 Sitting Room, Choo na Bafu kwa 5.5mi/=! UPO HAPO!?
Sipo kwenye kundi la wanaokatshaga watu tamaa humu jf kam ushawah kuona post zang utaprove but tusidanganye watu kwa vitu tusivyovijua! Nipo kwenye hyo industry na ndio nliyoisomea na kufanyia kaz so najua nnachokiongea! By the way kwa akili zako unaamini kuna real estate ya kukuuzia ww nyumba ya two bedrooms kwa 5m ikiwa viwanja 37km from ferry mnauziwa 1.8m tena kwa promotion...acha maneno ya vijiwe vya kahawa
 
Sipo kwenye kundi la wanaokatshaga watu tamaa humu jf kam ushawah kuona post zang utaprove but tusidanganye watu kwa vitu tusivyovijua! Nipo kwenye hyo industry na ndio nliyoisomea na kufanyia kaz so najua nnachokiongea! By the way kwa akili zako unaamini kuna real estate ya kukuuzia ww nyumba ya two bedrooms kwa 5m ikiwa viwanja 37km from ferry mnauziwa 1.8m tena kwa promotion...acha maneno ya vijiwe vya kahawa
Nildhani tunakuja humu kwa HOJA kumbe unadhania wote ni wa VIJIWENI! Huko siko, najaribu kukuelezea facts na ukweli ulivyo. Wewe unadhani kusomea kitu ndio kujua YOTE!? Basi umepotea sana kwani elimu inasaidia tu lakini haikuhakikishii kujua yote. Halafu umesoma wapi, hapo ARDHI INSTITUTE au wapi!? Wacha habari ya kuleta mambo ya shule vis-a-vis real facts and real life experiences! Kitu wewe unachoona ni IMPOSSIBLE, kwa wenzako ni POSSIBLE! By the way sikutaka kuitaja hiyo Real Estate Company bali sasa nakueleza hebu sikiliza taarifa zao kule WAPO RADIO kwenye moja ya vipindi vyao, hasa asubuhi. Then utajua which is which!
 
Nildhani tunakuja humu kwa HOJA kumbe unadhania wote ni wa VIJIWENI! Huko siko, najaribu kukuelezea facts na ukweli ulivyo. Wewe unadhani kusomea kitu ndio kujua YOTE!? Basi umepotea sana kwani elimu inasaidia tu lakini haikuhakikishii kujua yote. Halafu umesoma wapi, hapo ARDHI INSTITUTE au wapi!? Wacha habari ya kuleta mambo ya shule vis-a-vis real facts and real life experiences! Kitu wewe unachoona ni IMPOSSIBLE, kwa wenzako ni POSSIBLE! By the way sikutaka kuitaja hiyo Real Estate Company bali sasa nakueleza hebu sikiliza taarifa zao kule WAPO RADIO kwenye moja ya vipindi vyao, hasa asubuhi. Then utajua which is which!
Sawa mwelevu
 
Siyo sawa lete HOJA siyo "school jokes and lame excuses msomi!
Nilete hoja kwa mtu anayeamini nyumba ya 2 bedrooms, choo na bafu ina worth 5.5m kisa ameskia kwenye redio? Yan kama hyo tu ilikuingia akilini na ukaamini bas inatosha kudetermine uwezo wako wa kufikiri ukoje thats why staki kuendeleaza hi convo nawe.
 
G
Nilete hoja kwa mtu anayeamini nyumba ya 2 bedrooms, choo na bafu ina worth 5.5m kisa ameskia kwenye redio? Yan kama hyo tu ilikuingia akilini na ukaamini bas inatosha kudetermine uwezo wako wa kufikiri ukoje thats why staki kuendeleaza hi convo nawe.
Good it saves my precious TIME!
 
Kwani umeacha kutafuta pesa mpaka uogope pesa kuishia njiani, au hio hela umeokota
 
Inategemea Na fundi
Pia piga nae hesabu kila kitu utaona
Uzuri bei ya vitu inajulikana
 
Sawa ila inategemea na maono ya kila mtu kwenye ujenzi wa nyumba. Juzi kuna mpwa wangu, anaishi USA, kaja na akaenda kusimamia ujenzi wa SERVANT QUARTER kwenye kiwanja chake, anasema hadi hatua ya kupiga bati na finishing ndogo ndogo, ametumia 8mi/-! Kwa kweli ujenzi ni suala la MTAZAMO na MAONO yako binafsi. Binafsi hiyo 14mi/= ni pesa nyingi. By the way kuna kampuni moja ya Real Estate, wanauza nyumba huko Kigamboni yenye 2 Bedrooms, 1 Sitting Room, Choo na Bafu kwa 5.5mi/=! UPO HAPO!?
Mzeja ebu nipe vonnection ya hiyo kampuni mie nihamie mujini bwana.
 
Sawa ila inategemea na maono ya kila mtu kwenye ujenzi wa nyumba. Juzi kuna mpwa wangu, anaishi USA, kaja na akaenda kusimamia ujenzi wa SERVANT QUARTER kwenye kiwanja chake, anasema hadi hatua ya kupiga bati na finishing ndogo ndogo, ametumia 8mi/-! Kwa kweli ujenzi ni suala la MTAZAMO na MAONO yako binafsi. Binafsi hiyo 14mi/= ni pesa nyingi. By the way kuna kampuni moja ya Real Estate, wanauza nyumba huko Kigamboni yenye 2 Bedrooms, 1 Sitting Room, Choo na Bafu kwa 5.5mi/=! UPO HAPO!?
Mkuu naomba mawasiliano ya hao jamaa. Nahangaika huku kuna nyumba za 5.5m! Yaani nimezungushia fence kozi nne, nimeweka na msingi wa nyumba 5m imekatika! Sasa si Bora ningenunua hio nyumba ya 5.5m
 
Acha masihara bana, BOQ hawasemi bali unaletewa in writing.

Hiyo laki moja mlipeana tu pesa ya bia, hata hiyo laki tatu nimekwambia ni ya kishkaji.

Ni bora ikugharimu pesa kidogo kwenye BOQ ukawa na uhakika na unachokifanya au ukajipa muda zaidi wa kujipanga.

Hawa local fundi wetu kwenye estimation usiwaamini, asipokununulisha material nyingi zaidi basi utanunuwa pungufu na bado material zaidi zitahijika.

Last month nimefanya ukarabati mdogo tu home fundi wa tiles kaninunulisha tiles zimebaki box saba karibu laki mbili nzima hiyo.
Wewe ulitakiwa kujua ukubwa wa nyumba yako na ukubwa wa vigae ili ujue unanunuaje. Mambo mengine usiwaamini mafundi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu naomba mawasiliano ya hao jamaa. Nahangaika huku kuna nyumba za 5.5m! Yaani nimezungushia fence kozi nne, nimeweka na msingi wa nyumba 5m imekatika! Sasa si Bora ningenunua hio nyumba ya 5.5m
Awez kukupa coz hakuna real estate ya bei hyo! Ingia insta kuna real estate wanajiita nyumba nafuu angalia bei zao ndio utajua ujenzi sio maneno na hapo wanaona wana unafuu! Ww mwenyewe unasema hapo umetumia 5.5 upo kwenye coz nne! Watu wa jf wengne ni wajuaji for nothing.
 
Acha masihara bana, BOQ hawasemi bali unaletewa in writing.

Hiyo laki moja mlipeana tu pesa ya bia, hata hiyo laki tatu nimekwambia ni ya kishkaji.

Ni bora ikugharimu pesa kidogo kwenye BOQ ukawa na uhakika na unachokifanya au ukajipa muda zaidi wa kujipanga.

Hawa local fundi wetu kwenye estimation usiwaamini, asipokununulisha material nyingi zaidi basi utanunuwa pungufu na bado material zaidi zitahijika.

Last month nimefanya ukarabati mdogo tu home fundi wa tiles kaninunulisha tiles zimebaki box saba karibu laki mbili nzima hiyo.
Duh hamna kitu rahisi kukadiria kama tiles. Box la tiles Lina ukubwa ambao tiles hizo zinajenga. Ukijua ukubwa wa vyumba vyako wala hutapata shida kujua utatumia box ngapi.
 
Mkuu naomba mawasiliano ya hao jamaa. Nahangaika huku kuna nyumba za 5.5m! Yaani nimezungushia fence kozi nne, nimeweka na msingi wa nyumba 5m imekatika! Sasa si Bora ningenunua hio nyumba ya 5.5m
Mawasiliano yao ni: 0714804182 na 0688813028 na 0734406719. Sisemi wanaitwa akina nani, kwani sitaki kufanya promotion humu JF. Wewe wapigie tu na utapata taarifa zote kwao. Achana na wabishi wasioamini habari za kwenye radio na TV zetu. Asante na kila la kheri.
 
Mawasiliano yao ni: 0714804182 na 0688813028 na 0734406719. Sisemi wanaitwa akina nani, kwani sitaki kufanya promotion humu JF. Wewe wapigie tu na utapata taarifa zote kwao. Achana na wabishi wasioamini habari za kwenye radio na TV zetu. Asante na kila la kheri.
Thanks.
 
Back
Top Bottom