Inawezekana kumkaririsha kidato cha pili mtoto aliyefaulu? Utaratibu ukoje?

Inawezekana kumkaririsha kidato cha pili mtoto aliyefaulu? Utaratibu ukoje?

Kudoba wepo baaah

Senior Member
Joined
May 12, 2024
Posts
155
Reaction score
461
Habarini wanajamvi; wema na wabaya wa mada hii!

Nauliza kama mzazi nina uhuru wa kumkaririsha kidato cha pili mtoto wangu aliyefaulu mtihani wake wa kidato cha pili (FTNA) kwa vile hakufaulu kwa viwango nivitakavyo mimi na vya kumsaidia maisha yake?

Yaani, kwa mfano, mtoto kapiga A na B masomo yote ya arts na kufaulu vzr tu, tatizo ni kuwa sayansi ana C moja na zilizobaki ni D.

Ukimuangalia kwa umakini uwezo anao isipokuwa tu mkazo ulikuwa huko arts. Muelekeo wa dunia unataka sana sayansi kwa sasa nawe unatamani upate muda tena wa kumuandalia mazingira ili apige vzr hayo masomo kwa kuupata mwaka mmoja zaidi. Je, inawezekana?!!!!

Karibuni wajuzi!
 
Dunia ya sasa inaitaji sayansi kwel lakin sio ya darasan....cha pili watoto wako delicate sana skuiz so jarbu kumsikiliza anachotaka...kama hataki sayans hawez kuja kufanya vzur kwenye future stages
 
We ndo unataka kumuharibia mwanao mana inabid mtt amalize on time na hakuna science ya darasan haswa ya tz itayomfanya awe vzur dunian ndo mana wana science wa bongo hata kutengeneza panadol hawawez znatoka kenya so muache mtt afanye anachoweza na anachokipenda sio ww unachopenda ww mbona hujawa mwana science mbobevu wa nchi yetu
 
Habarini wanajamvi; wema na wabaya wa mada hii!

Nauliza kama mzazi nina uhuru wa kumkaririsha kidato cha pili mtoto wangu aliyefaulu mtihani wake wa kidato cha pili (FTNA) kwa vile hakufaulu kwa viwango nivitakavyo mimi na vya kumsaidia maisha yake?

Yaani, kwa mfano, mtoto kapiga A na B masomo yote ya arts na kufaulu vzr tu, tatizo ni kuwa sayansi ana C moja na zilizobaki ni D.

Ukimuangalia kwa umakini uwezo anao isipokuwa tu mkazo ulikuwa huko arts. Muelekeo wa dunia unataka sana sayansi kwa sasa nawe unatamani upate muda tena wa kumuandalia mazingira ili apige vzr hayo masomo kwa kuupata mwaka mmoja zaidi. Je, inawezekana?!!!!

Karibuni wajuzi!
sasahivi mwezi wa tano huyo mtoto kama bado hajakariri maana yake yuko kidato cha tatu?
 
Upumbavu tu.

Jitu hili nalo linaitwa lizazi na halijitambui hivi au ndio madhara ya mimba za utotoni ?!.
 
Muache afanye awezalo mana inawezekana ndicho anachokipenda, pia jaribu kuzungumza naye akuambie anachotaka na hicho unachokitaka ww mzazi kiwe kama nyongeza kwenye kile anachokipenda mtoto.
 
Ndugu Mzazi/Mlezi ni kweli unaweza kumfanya akariri kidato cha pili Kwa kumpeleka Shule za Binafsi na utawaeleza Walimu historia ya mtoto wako na Kiu yako kama Mzazi kwamba ungependa asome na kufauru Masomo ya Sayansi.

Pili unaweza kumuombea kwenye hiyo Shule anayosoma kwamba ungependa mtoto asome Masomo ya mchepuo wa Sayansi bila kumkaririsha darasa.

Kuna wakati Mzazi unatakiwa kusimama imara katika kumuongoza Mwanao kwenye njia sahihi ambayo unadhani inaweza kuwa na manufaa mbeleni.
 
Ndugu Mzazi/Mlezi ni kweli unaweza kumfanya akariri kidato cha pili Kwa kumpeleka Shule za Binafsi na utawaeleza Walimu historia ya mtoto wako na Kiu yako kama Mzazi kwamba ungependa asome na kufauru Masomo ya Sayansi.

Pili unaweza kumuombea kwenye hiyo Shule anayosoma kwamba ungependa mtoto asome Masomo ya mchepuo wa Sayansi bila kumkaririsha darasa.

Kuna wakati Mzazi unatakiwa kusimama imara katika kumuongoza Mwanao kwenye njia sahihi ambayo unadhani inaweza kuwa na manufaa mbeleni.
Ahsante sana kiongozi!
Hiyo aya ya mwisho umeongea jambo zito sana ambalo baadhi yetu humu tunajifanya kulipotezea...
 
Upumbavu tu.

Jitu hili nalo linaitwa lizazi na halijitambui hivi au ndio madhara ya mimba za utotoni ?!.
Kwani kuna kitu umekalia nn hapo ulipo we mama mbona hasira kali hivyo?!!

Rejea post #11 ujifunze kitu msengerema mkubwa we!!
 
Habarini wanajamvi; wema na wabaya wa mada hii!

Nauliza kama mzazi nina uhuru wa kumkaririsha kidato cha pili mtoto wangu aliyefaulu mtihani wake wa kidato cha pili (FTNA) kwa vile hakufaulu kwa viwango nivitakavyo mimi na vya kumsaidia maisha yake?

Yaani, kwa mfano, mtoto kapiga A na B masomo yote ya arts na kufaulu vzr tu, tatizo ni kuwa sayansi ana C moja na zilizobaki ni D.

Ukimuangalia kwa umakini uwezo anao isipokuwa tu mkazo ulikuwa huko arts. Muelekeo wa dunia unataka sana sayansi kwa sasa nawe unatamani upate muda tena wa kumuandalia mazingira ili apige vzr hayo masomo kwa kuupata mwaka mmoja zaidi. Je, inawezekana?!!!!

Karibuni wajuzi!
Je unajua jinsi akili inavyo fanyakazi? Jadili, tuanzie hapo maelekezo mengine yanakuja
 
Huko vijieweni wazazi wanaona fahari watoto kusomea masomo ya sayansi, si kuweza masomo ya sayansi.
 
Back
Top Bottom