Kudoba wepo baaah
Senior Member
- May 12, 2024
- 155
- 461
Habarini wanajamvi; wema na wabaya wa mada hii!
Nauliza kama mzazi nina uhuru wa kumkaririsha kidato cha pili mtoto wangu aliyefaulu mtihani wake wa kidato cha pili (FTNA) kwa vile hakufaulu kwa viwango nivitakavyo mimi na vya kumsaidia maisha yake?
Yaani, kwa mfano, mtoto kapiga A na B masomo yote ya arts na kufaulu vzr tu, tatizo ni kuwa sayansi ana C moja na zilizobaki ni D.
Ukimuangalia kwa umakini uwezo anao isipokuwa tu mkazo ulikuwa huko arts. Muelekeo wa dunia unataka sana sayansi kwa sasa nawe unatamani upate muda tena wa kumuandalia mazingira ili apige vzr hayo masomo kwa kuupata mwaka mmoja zaidi. Je, inawezekana?!!!!
Karibuni wajuzi!
Nauliza kama mzazi nina uhuru wa kumkaririsha kidato cha pili mtoto wangu aliyefaulu mtihani wake wa kidato cha pili (FTNA) kwa vile hakufaulu kwa viwango nivitakavyo mimi na vya kumsaidia maisha yake?
Yaani, kwa mfano, mtoto kapiga A na B masomo yote ya arts na kufaulu vzr tu, tatizo ni kuwa sayansi ana C moja na zilizobaki ni D.
Ukimuangalia kwa umakini uwezo anao isipokuwa tu mkazo ulikuwa huko arts. Muelekeo wa dunia unataka sana sayansi kwa sasa nawe unatamani upate muda tena wa kumuandalia mazingira ili apige vzr hayo masomo kwa kuupata mwaka mmoja zaidi. Je, inawezekana?!!!!
Karibuni wajuzi!