KWELI Inawezekana kushiriki tendo la ndoa na mtu mwenye VVU/UKIMWI bila kinga na usipate Maambukizi hayo

Taarifa hii imethibitika kuwa ya kweli baada ya kufanya tathmini ya kina
Ikiwa mwathirika anatumia dawa ipasavyo na ukashiriki nae tendo na mpaka mkapata michubuko,je matokeo yake yatakuaje?
Je kwann asikuambukize wakat mmechubuana?
Je toka virusi kuingia mwilini vitatumia mda gan kuanza kuonekana kwenye vipimo
Kuna uwezekano visionekane hasa kwa kutegemeana na kinga ya mwili wako na zaidi pale unapokuwa kundi O la damu. Ili kuepuka mashaka na hofu zote tafadhali tumia kinga.
 
Kuna uwezekano visionekane hasa kwa kutegemeana na kinga ya mwili wako na zaidi pale unapokuwa kundi O la damu. Ili kuepuka mashaka na hofu zote tafadhali tumia kinga.
Lakini katika vipimo huchukua wastani wa mda gani virusi kuanza kuonekana
 
Huo ugonjwa unamkanganyiko mwingi sana kuna jamaa yangu kazika madem watatu kwa ngoma na yuko safi na aliishi nao kama wake zake kila akipima majibu ni yuko vizuri
Ukiwa Mzee wa tako 3 goli,

Ukimwi utausikia radioni.
 
Franco aliimba nyimbo moja hit song called "sida" kwa wadau wa lingala, chukua tahadhari kuhusu ukimwi kwani upo na baadae yeye binafsi inasemwa aliugua na kufariki. So take care guys!
 
Mi nauliza mfano, mwenza kasex Leo na mwathirika, baada ya siku tatu ukala mzigo, je utakua umeambukizwa tayari endapo mtachubuana, maana yake nahitaji shule hapa kuwa virusi huchukua muda gani mpaka kuanza kutoka kwa mtu mmoja kwenda kwa mwingine
 
Mkanganyiko ni mkubwa sana lakini kama anatumia dawa kwa ufasaha na hana vidonda anaweza asipate maambukizi lakini haikupi uhakika, uhakika ni kucheza salama
 
Ingekuwa ukimla tu mwenye nao na wewe unao, hee nchi hii ingekuwa majumba matupu - unajichagulia tu pa kuishi.
 
Kweli
Kabisa
 
inashawishi tigo kwa tigo ila hapana aisee, mfuko wa malboro kuvaliwa ni muhimu.
 
Ugonjwa wa kutengeneza huu. Ila mimi mbona situmiagi kondom.. kondom inabeba dumu zima sa uume wako tunapigwa sana. Kondomu yenyew iko na madhara
 
Nipe ushuhuda
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…