Top gun maverick
JF-Expert Member
- Dec 10, 2017
- 2,080
- 2,871
- Thread starter
- #21
Hapo Sawa . Ubarikiwe Kaka ngoja panapo uhai nitaleta mrejesho kuwa now ni degree holder wa law.Unaweza soma postgraduate diploma ya sheria baada ya kuhitiku hiyo degree yako
Postgraduate diploma (PG) anasoma mtu mwenye degree ili kumsaidia kubadili mchepuo/fani n.k .,.. pia kwa wenye GPA chini ya 2.7 ushauriwa wasome postgraduate diploma ili kukidhi vigezo vya masters mfano mtu ana GPA ya 2.6,2.5,,... ... 2.0
Kwa hiyo mzee komaa tu ukimaliza gonga hiyo PG then masters ,then law school n.k