Inawezekana niamkie Kariakoo na kupata kipato ikiwa sina ofisi wala chochote?

Inawezekana niamkie Kariakoo na kupata kipato ikiwa sina ofisi wala chochote?

Wakinga na Wachaga au watanzania wanaoagiza mzigo kutoka China mara nyingi huuza wenyewe mizigo yao tofauti na wachina. Wachina huagiza mizigo kwao kwa simu tu, ambao naamini bei zao za manunuzi huko kwao zina punguzo maalum (kwa maana raia wa nchi mzigo utakapo) hivyo kufanya mzigo wanayo agiza wao kuwa cheap.

Kwa kujibu swali lako, ni hivi, wao wachina mfano kwa case ya viatu ama yeboyebo na bidhaa nyingine, hufungua mzigo wa aina mpya karibu kila siku.

Yale maduka uyaonayo wanaweka tu display lakn mzgo hasa huwa store eneo lingine. Sasa katika zile aina tofuati, huwa kunatokea ambayo hupendwa na wateja kupitiliza. Kwahiyo wewe dalali kwa hela yako, unaenda kwa huyo muuzaji unaununua huo mzigo wote kisha unauuza wewe kwa kuongeza bei kidgo juu yake. Lakn hapa lazma uwe na mtaji na ujulikane na ulijue soko vizuri.

Ukishakuwa tajir na una hela ya kutosha, basi ukisikia mfano (usininukuu lakan) kipodizi fulani original kinatembea sokoni wewe unatembea sana sokoni wewe unapanda fasta china kwenda kuleta feki yake. Ukisikia piituuu zinakimbia wanaenda kuleta feki yake nk. Kwahiyo lazma uwe na mtaji na lazma uwe na uzoefu kdgo wa kuwa maeneo husika na kukutana na watu husika.

Ushauri wangu kwa Serikali mara zote ni mmoja tu, wasiruhusu importers hasa wakigeni kuwa retailers at same time. Hakuna sehm duniani wanaruhusu hilo. Yaani mchina anapoagiza mzigo kwao anakuwa na punguzo la bei, yy hasafiri zaidi ya kuagiza. Akifika hapa anashindana na raia ambaye ana container chache anayenunua bei juu huko china, ana mkopo wa riba kubwa kodi nyingi wanashindania soko moja.

Duniani kote ujasusi wa uchumi ni kulinda mapato ya nchi na kuwalinda ama kuwapa upendeleo raia wako kwny soko la nchi yako dhidi ya mgeni, ikiwepo Ajira.

Kwa kufanya hivyo Serikali inatakiwa iwe na sheria moja kali sana, wachina na raia wa nje wanapo import mizigo kwa bulk kutoka nje, wasiruhusiwe kuuza rejareja wakishindana na mmachinga. Chukulia muhindi aagize mitumba halafu baada ya kuagiza na yy auze rejareja karume ilala tandika nk.

Muhindi akifanya hivyo lazma ataua kazi za wamachinga. Kwahiyo endapo Serikali ingewatengea importers eneo lao na kupiga marufuku importers kuwa wauzaji rejareja, kwa swali lako inamaana mtu yoyote kwa mtaji wowote anachagua niche yake, anaenda kununua kwa wachina kisha anauza rejareja, hapa Serikali inakuwa imetengeza Ajira na kodi mpya na imelinda raia wake.

Mtanzania anaruhusiwa kwenda china halafu aagize mzgo kutoka Tanzania na kisha akiwa kule auuze rejareja? Ataambiwa imeshaleta china uuze kwa mchina, baada ya hapo tembea raia wao watauza wenyewe rejareja kwa bei zao.
Wewe jamaa lengo lako ni zuri lakini hichi kiswahili chako ulichoandika nina uhakika wewe ni mchina 100% bora tu utuache tusiyafanye makubwa[emoji16][emoji16][emoji16]
 
Mi ndio nampenda sasa, nyinyi ndugu zangu katika Imaan mmefeli!
Rose Ndauka angekuwa anasubiria wa imani yake, si ajabu angekuwa anapuyanga hadi leo.

Ona sasahivi Rose,ametulia,amenawiri yaani maisha yake yanamuendea vizuri.
Mungu alimuandikia huko.


Na wewe usisite,wasije wakakutisha,
Wewe kama moyo wako umepata amani na rizki yako ipo huku,,karibu Kanisani wifi,huku ukiendelea kuyafurahia maisha.

Mungu ni yuleyule.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Fursa zipo mingi we nenda katafute changamoto alafu zitatue kama msosi wanauza ghali tafuta namna wapate kwa bei rahis, kusapply, etc n mambo mengi
 
Wakinga na Wachaga au watanzania wanaoagiza mzigo kutoka China mara nyingi huuza wenyewe mizigo yao tofauti na wachina. Wachina huagiza mizigo kwao kwa simu tu, ambao naamini bei zao za manunuzi huko kwao zina punguzo maalum (kwa maana raia wa nchi mzigo utakapo) hivyo kufanya mzigo wanayo agiza wao kuwa cheap.

Kwa kujibu swali lako, ni hivi, wao wachina mfano kwa case ya viatu ama yeboyebo na bidhaa nyingine, hufungua mzigo wa aina mpya karibu kila siku.

Yale maduka uyaonayo wanaweka tu display lakn mzgo hasa huwa store eneo lingine. Sasa katika zile aina tofuati, huwa kunatokea ambayo hupendwa na wateja kupitiliza. Kwahiyo wewe dalali kwa hela yako, unaenda kwa huyo muuzaji unaununua huo mzigo wote kisha unauuza wewe kwa kuongeza bei kidgo juu yake. Lakn hapa lazma uwe na mtaji na ujulikane na ulijue soko vizuri.

Ukishakuwa tajir na una hela ya kutosha, basi ukisikia mfano (usininukuu lakan) kipodizi fulani original kinatembea sokoni wewe unatembea sana sokoni wewe unapanda fasta china kwenda kuleta feki yake. Ukisikia piituuu zinakimbia wanaenda kuleta feki yake nk. Kwahiyo lazma uwe na mtaji na lazma uwe na uzoefu kdgo wa kuwa maeneo husika na kukutana na watu husika.

Ushauri wangu kwa Serikali mara zote ni mmoja tu, wasiruhusu importers hasa wakigeni kuwa retailers at same time. Hakuna sehm duniani wanaruhusu hilo. Yaani mchina anapoagiza mzigo kwao anakuwa na punguzo la bei, yy hasafiri zaidi ya kuagiza. Akifika hapa anashindana na raia ambaye ana container chache anayenunua bei juu huko china, ana mkopo wa riba kubwa kodi nyingi wanashindania soko moja.

Duniani kote ujasusi wa uchumi ni kulinda mapato ya nchi na kuwalinda ama kuwapa upendeleo raia wako kwny soko la nchi yako dhidi ya mgeni, ikiwepo Ajira.

Kwa kufanya hivyo Serikali inatakiwa iwe na sheria moja kali sana, wachina na raia wa nje wanapo import mizigo kwa bulk kutoka nje, wasiruhusiwe kuuza rejareja wakishindana na mmachinga. Chukulia muhindi aagize mitumba halafu baada ya kuagiza na yy auze rejareja karume ilala tandika nk.

Muhindi akifanya hivyo lazma ataua kazi za wamachinga. Kwahiyo endapo Serikali ingewatengea importers eneo lao na kupiga marufuku importers kuwa wauzaji rejareja, kwa swali lako inamaana mtu yoyote kwa mtaji wowote anachagua niche yake, anaenda kununua kwa wachina kisha anauza rejareja, hapa Serikali inakuwa imetengeza Ajira na kodi mpya na imelinda raia wake.

Mtanzania anaruhusiwa kwenda china halafu aagize mzgo kutoka Tanzania na kisha akiwa kule auuze rejareja? Ataambiwa imeshaleta china uuze kwa mchina, baada ya hapo tembea raia wao watauza wenyewe rejareja kwa bei zao.
Maneno mengi wakati mtu kasema Hana pesa
 
Mkuu Kuna biashara nzuri ambayo watu hawajaigundua, fanya biashara ya kuuza ndizi za kuchoma kwenye mkaa. Tafuta ndizi flani sijui zinaitwaje, ni nzuri sana kwa kuchoma we kachome hizo uza 3 buku, kumbuka watu wengi hawataki vitu vya mafuta so ndizi utauza, ukifanikiwa ulete zaka kwangu.
Ndizi mzuzu.

Zile zinazokuwa Tamu Zina sukari.

Moro na Tanga ziko
 
Nimekuonea huruma sana, ngoja nikuombee watu waje wakupe mwanga kwakuwa una mwamko wa kufanya kazi.

MamaSamia2025 Wewe si una connection hadi kwenye machimbo China? Naamini huku pia una fahamu
Nelson Jacob Kagame Wewe mtoto wa mjini hukosi kujua...
Tuisaidie jamii sio kuwapa ubuyu tu... 😜
Ungeomba namba ya mpesa ya mtoa mada umtumie walau elf 5 ya kula, akafanye kazi, ningekuona wa maana Nifah
 
Si ufike huko kkoo kwanza ukafanye tathimini?unaulizia mchongo umekaa geto kwenye kasofa ka one sitter unaperuz🤣🤣
Ukitaka uhondo wa ngoma,ingia ucheze👌
 
Ukishakuwa tajir na una hela ya kutosha, basi ukisikia mfano (usininukuu lakan) kipodizi fulani original kinatembea sokoni wewe unatembea sana sokoni wewe unapanda fasta china kwenda kuleta feki yake. Ukisikia piituuu zinakimbia wanaenda kuleta feki yake nk.
Nimeishia kisoma hii paragraph, asee itoshe kusema tu ubinadamu kazi sana. Mtu yupo radhi kuangamiza raia wenzake kisa tu ajitajirishe.

Aaahh ni balaaa sana. Kuanzia dawa, vinywaji, vyakula yani kila bidhaa ni fake (haifai kwa matumizi ya binadamu) ila ndio hivyo sasa tunajaziwa sokoni.
 
1.Cheza maeneo ya karibu na ofisi hasa zile za mizigo.,wanaposhusha mizigo huwa kunakuibeba kupanga ofisini.
Pia Kaa nao vizuri,,huwa kuna kubeba kupeleka kwa wateja
(Hapa cheza na zile ofisi zilizo maghorofani sanasana)

2.Zunguka kukusanya takataka maofisini kwa bei nafuu.
Kariakoo huwa hakuna sehemu za kutupa taka hivyo zikijaa namna ya kutupa huwa ni changamoto.
Hakikisha unapita mara kwa mara maofisini...punguza bei ya huduma ili upate wateja

3.Mchana unaweza kujumuika na wale vijana wanauza nguo za mtumba,Hasa vijora...wanaimba sana na kupiga makofi,huku wamama wakichagua.

*Hizi ntakazoweka ni nzuri ila sidhani kama zitakufaa kwa sababu bado huna pesa;

4.Asubuhi zungusha mayai ya kuchemsha
Target yako iwe kwenye maofisi...watu wananunua wananywea chai.
Hapa unaweza kujiongeza kuweka vitafunwa vingine.

5.Ungekuwa na vitendea kazi,Kuna mtu huwa anazunguka kupima presha watu maofisini.


5.Ipo biashara ya maji,ila inahitaji uvumilivu..Zungusha maji ya kunywa ofisini.

6.Biashara ya kuuza chakula.

7.Ingia Karume mtumbani,chagua nguo nzurii jeans na nightdress ,yaani zile nguo light za kuvaa wadada Hasa muda wa joto.
Komaa zungusha,target wateja kulingana na nguo ulizonazo.
Pitisha maofisini.



Sent using Jamii Forums mobile app
Kwel watu wengi kabla hamjajipata kumbe mlipita kkoo
 
acha na uwinga, ni kazi ya wizi na ulanguzi yenye laana
Mda mwingine laana ni mtazamo!

Kariakoo mchina analeta mzigo kutoka viwandani kwao Labda mkuranga, jpili anatuma Kazi kwenye magroup wanatokea watu baada ya kupima upepo wakagundua Kazi inatembea sana watu wameweka order wengi yy anamlipia mzigo wote Labda 45M.

Mwanzon mzigo ulikua unasoma hv

DB8529-6
36-41
PC 48
5500


Baada ya tajir kulipia wote inasoma hv

DB8529-6
36-41
PC 48
6500

Hao wote ni mawinga ktk level tofauti ya mitaji! Hapo laana ipo wapi?
 
Mda mwingine laana ni mtazamo!

Kariakoo mchina analeta mzigo kutoka viwandani kwao Labda mkuranga, jpili anatuma Kazi kwenye magroup wanatokea watu baada ya kupima upepo wakagundua Kazi inatembea sana watu wameweka order wengi yy anamlipia mzigo wote Labda 45M.

Mwanzon mzigo ulikua unasoma hv

DB8529-6
36-41
PC 48
5500


Baada ya tajir kulipia wote inasoma hv

DB8529-6
36-41
PC 48
6500

Hao wote ni mawinga ktk level tofauti ya mitaji! Hapo laana ipo wapi?
nali rephrase , shida ni hawa mawinga chini huku (wengi wao), najua wako kwenye hustle za kutafuta mkate lakini tamaa si nzuri
wanaangalia muonekano wa mtu, au uharaka ulionao, kisha wanakupiga

majuzi natimba mtaa wa likoma pale, nafata simu ambayo najua bei yake elekezi ni 180k
nafika jamaa kaniangalia mpaka chini, kisha akanambia bei ni 260k, huu ni wizi,
nikaondoka akaniita akambia una bei gani, nikaondoka
sasa kama siyo tamaa(wizi) ni nini ?

majuzi jamaa kaleta uzi humu analalamika kapigwa fridge guard ya 15k kwa 50k
 
Back
Top Bottom