Inawezekana niamkie Kariakoo na kupata kipato ikiwa sina ofisi wala chochote?

Inawezekana niamkie Kariakoo na kupata kipato ikiwa sina ofisi wala chochote?

Wakinga na Wachaga au watanzania wanaoagiza mzigo kutoka China mara nyingi huuza wenyewe mizigo yao tofauti na wachina. Wachina huagiza mizigo kwao kwa simu tu, ambao naamini bei zao za manunuzi huko kwao zina punguzo maalum (kwa maana raia wa nchi mzigo utakapo) hivyo kufanya mzigo wanayo agiza wao kuwa cheap.

Kwa kujibu swali lako, ni hivi, wao wachina mfano kwa case ya viatu ama yeboyebo na bidhaa nyingine, hufungua mzigo wa aina mpya karibu kila siku.

Yale maduka uyaonayo wanaweka tu display lakn mzgo hasa huwa store eneo lingine. Sasa katika zile aina tofuati, huwa kunatokea ambayo hupendwa na wateja kupitiliza. Kwahiyo wewe dalali kwa hela yako, unaenda kwa huyo muuzaji unaununua huo mzigo wote kisha unauuza wewe kwa kuongeza bei kidgo juu yake. Lakn hapa lazma uwe na mtaji na ujulikane na ulijue soko vizuri.

Ukishakuwa tajir na una hela ya kutosha, basi ukisikia mfano (usininukuu lakan) kipodizi fulani original kinatembea sokoni wewe unapanda fasta china kwenda kuleta feki yake. Ukisikia piituuu zinakimbia wanaenda kuleta feki yake nk. Kwahiyo lazma uwe na mtaji na lazma uwe na uzoefu kdgo wa kuwa maeneo husika na kukutana na watu husika.

Ushauri wangu kwa Serikali mara zote ni mmoja tu, wasiruhusu importers hasa wakigeni kuwa retailers at same time. Hakuna sehm duniani wanaruhusu hilo. Yaani mchina anapoagiza mzigo kwao anakuwa na punguzo la bei, yy hasafiri zaidi ya kuagiza. Akifika hapa anashindana na raia ambaye ana container chache anayenunua bei juu huko china, ana mkopo wa riba kubwa kodi nyingi wanashindania soko moja.

Duniani kote ujasusi wa uchumi ni kulinda mapato ya nchi na kuwalinda ama kuwapa upendeleo raia wako kwny soko la nchi yako dhidi ya mgeni, ikiwepo Ajira.

Kwa kufanya hivyo Serikali inatakiwa iwe na sheria moja kali sana, wachina na raia wa nje wanapo import mizigo kwa bulk kutoka nje, wasiruhusiwe kuuza rejareja wakishindana na mmachinga. Chukulia muhindi aagize mitumba halafu baada ya kuagiza na yy auze rejareja karume ilala tandika nk.

Muhindi akifanya hivyo lazma ataua kazi za wamachinga. Kwahiyo endapo Serikali ingewatengea importers eneo lao na kupiga marufuku importers kuwa wauzaji rejareja, kwa swali lako inamaana mtu yoyote kwa mtaji wowote anachagua niche yake, anaenda kununua kwa wachina kisha anauza rejareja, hapa Serikali inakuwa imetengeza Ajira na kodi mpya na imelinda raia wake.

Hivi Mtanzania anaruhusiwa kwenda china halafu aagize mzgo kutoka Tanzania na kisha akiwa kule auuze rejareja? Ataambiwa umeshaleta china sharti uuze kwa mchina, baada ya hapo tembea. raia wao watauza wenyewe rejareja kwa bei zao.
Maneno mengi ni nnya! Huwezi kuandika kidogo ukaeleweka? Mxiuuuuh!
 
Wakinga na Wachaga au watanzania wanaoagiza mzigo kutoka China mara nyingi huuza wenyewe mizigo yao tofauti na wachina. Wachina huagiza mizigo kwao kwa simu tu, ambao naamini bei zao za manunuzi huko kwao zina punguzo maalum (kwa maana raia wa nchi mzigo utakapo) hivyo kufanya mzigo wanayo agiza wao kuwa cheap.

Kwa kujibu swali lako, ni hivi, wao wachina mfano kwa case ya viatu ama yeboyebo na bidhaa nyingine, hufungua mzigo wa aina mpya karibu kila siku.

Yale maduka uyaonayo wanaweka tu display lakn mzgo hasa huwa store eneo lingine. Sasa katika zile aina tofuati, huwa kunatokea ambayo hupendwa na wateja kupitiliza. Kwahiyo wewe dalali kwa hela yako, unaenda kwa huyo muuzaji unaununua huo mzigo wote kisha unauuza wewe kwa kuongeza bei kidgo juu yake. Lakn hapa lazma uwe na mtaji na ujulikane na ulijue soko vizuri.

Ukishakuwa tajir na una hela ya kutosha, basi ukisikia mfano (usininukuu lakan) kipodizi fulani original kinatembea sokoni wewe unapanda fasta china kwenda kuleta feki yake. Ukisikia piituuu zinakimbia wanaenda kuleta feki yake nk. Kwahiyo lazma uwe na mtaji na lazma uwe na uzoefu kdgo wa kuwa maeneo husika na kukutana na watu husika.

Ushauri wangu kwa Serikali mara zote ni mmoja tu, wasiruhusu importers hasa wakigeni kuwa retailers at same time. Hakuna sehm duniani wanaruhusu hilo. Yaani mchina anapoagiza mzigo kwao anakuwa na punguzo la bei, yy hasafiri zaidi ya kuagiza. Akifika hapa anashindana na raia ambaye ana container chache anayenunua bei juu huko china, ana mkopo wa riba kubwa kodi nyingi wanashindania soko moja.

Duniani kote ujasusi wa uchumi ni kulinda mapato ya nchi na kuwalinda ama kuwapa upendeleo raia wako kwny soko la nchi yako dhidi ya mgeni, ikiwepo Ajira.

Kwa kufanya hivyo Serikali inatakiwa iwe na sheria moja kali sana, wachina na raia wa nje wanapo import mizigo kwa bulk kutoka nje, wasiruhusiwe kuuza rejareja wakishindana na mmachinga. Chukulia muhindi aagize mitumba halafu baada ya kuagiza na yy auze rejareja karume ilala tandika nk.

Muhindi akifanya hivyo lazma ataua kazi za wamachinga. Kwahiyo endapo Serikali ingewatengea importers eneo lao na kupiga marufuku importers kuwa wauzaji rejareja, kwa swali lako inamaana mtu yoyote kwa mtaji wowote anachagua niche yake, anaenda kununua kwa wachina kisha anauza rejareja, hapa Serikali inakuwa imetengeza Ajira na kodi mpya na imelinda raia wake.

Hivi Mtanzania anaruhusiwa kwenda china halafu aagize mzgo kutoka Tanzania na kisha akiwa kule auuze rejareja? Ataambiwa umeshaleta china sharti uuze kwa mchina, baada ya hapo tembea. raia wao watauza wenyewe rejareja kwa bei zao.
Haya ni madini ya kutosha. Wewe bila shaka unafanya biashara hapo Kariakoo. Hapo Kenya TU, Wachina washagombana na wafanyabiashara wa Kenya Kwa sababu hii hii . Lazima wenyeji walindwe ili uchumi wao ukue otherwise Wachina wa Kariakoo uchumi wote watahamishia kwao na kuongeza umasikini Kwa wenyeji. Egypt TU hapo, Kuna zuio la kuuza sukari nje ili kuwalinda Raia na kupanda Kwa bei ya sukari.
 
Nimeishia kisoma hii paragraph, asee itoshe kusema tu ubinadamu kazi sana. Mtu yupo radhi kuangamiza raia wenzake kisa tu ajitajirishe.

Aaahh ni balaaa sana. Kuanzia dawa, vinywaji, vyakula yani kila bidhaa ni fake (haifai kwa matumizi ya binadamu) ila ndio hivyo sasa tunajaziwa sokoni.
Serikali imelala. Mbona huo uchafu hawapeleki Ulaya na Marekani!?
 
Mkuu Kuna biashara nzuri ambayo watu hawajaigundua, fanya biashara ya kuuza ndizi za kuchoma kwenye mkaa. Tafuta ndizi flani sijui zinaitwaje, ni nzuri sana kwa kuchoma we kachome hizo uza 3 buku, kumbuka watu wengi hawataki vitu vya mafuta so ndizi utauza, ukifanikiwa ulete zaka kwangu.
Ndizi bila nyamwa
 
Nimekuonea huruma sana, ngoja nikuombee watu waje wakupe mwanga kwakuwa una mwamko wa kufanya kazi.

MamaSamia2025 Wewe si una connection hadi kwenye machimbo China? Naamini huku pia una fahamu
Nelson Jacob Kagame Wewe mtoto wa mjini hukosi kujua...
Tuisaidie jamii sio kuwapa ubuyu tu... 😜
Connection haziji bila kujichanganya na watu. Mwaka 2013 na 14 nilikuwa naenda Kkoo kila siku kwa sababu ya kutumwa na watu wangu wa mikoani. Kilichosababisha ni mimi kuwa najitolea mambo mengi kwenye ishu za watu na matokeo yake ni wao kukupa madili ya hapa na pale. Kama yeye ni wale wanaojiita Introvert wakati kiuhalisia ni wabinafsi ninamshauri asiende Kkoo atapoteza muda. Ila kama ni mtu wa kujichanganya anaweza kujaribu.
 
Connection haziji bila kujichanganya na watu. Mwaka 2013 na 14 nilikuwa naenda Kkoo kila siku kwa sababu ya kutumwa na watu wangu wa mikoani. Kilichosababisha ni mimi kuwa najitolea mambo mengi kwenye ishu za watu na matokeo yake ni wao kukupa madili ya hapa na pale. Kama yeye ni wale wanaojiita Introvert wakati kiuhalisia ni wabinafsi ninamshauri asiende Kkoo atapoteza muda. Ila kama ni mtu wa kujichanganya anaweza kujaribu.
Mpe basi hizo mbinu za kujichanganya Mkuu? Kariakoo sio pa kwenda tu kichwakichwa.
 
Haya ni madini ya kutosha. Wewe bila shaka unafanya biashara hapo Kariakoo. Hapo Kenya TU, Wachina washagombana na wafanyabiashara wa Kenya Kwa sababu hii hii . Lazima wenyeji walindwe ili uchumi wao ukue otherwise Wachina wa Kariakoo uchumi wote watahamishia kwao na kuongeza umasikini Kwa wenyeji. Egypt TU hapo, Kuna zuio la kuuza sukari nje ili kuwalinda Raia na kupanda Kwa bei ya sukari.
Ukiwaruhusu importers kuwa retailers jua kuwa umeshaangamiza wale wenye mitaji midogo na unakuwa umetengeneza monopoly ktk biashara. Wachina ni watu wa magumashi mno kuliko tunavyowachukulia poa poa. Hao watu wana madili mengi ya haramu ukiachana na hizi biashara za kuzugia (kuingiza viatu,yeboyebo na bidhaa nyingine feki), wafanyabiashara wakubwa wa kichina hutumiwa na wafanyabiashara haramu kutakatisha fedha
 
Mpe basi hizo mbinu za kujichanganya Mkuu? Kariakoo sio pa kwenda tu kichwakichwa.
Pesa ipo kama ana nia asonge mbele atajifunza mbele kwa mbele. Muulizaji wa muda wa kufika mara nyingi huwa sio msafiri.
 
Ukifika maeneo ya utafutaji siku zote jifanye mjinga ili ujifunze, kuwa na adabu na heshima kwa uliowakuta ili uweze kufanikiwa kingine ni jitihada zako binafsi na umuombe Mungu tu.
 
Nenda kariakoo physically usipoteze muda sana kutafuta ushauri.....nenda tafuta kazi kwenye maduka weka pozi hapo nje saidia kazi...anza kufahamiana na watu waulize wanafanyeje kupata kipato utapata ujuzi mwingi......
 
Tuko katika hali mbaya sana. Turudi kwenye kuamini mambo ya kiasili zaidi, bora kutumia bidhaa za asili zaidi kuliko hizi za wazungu maana kila uchwao watu wanafanya genetic engineering ku clone watu jinsi watakavyo.

Kwa sehemu kubwa ni hawa giant tech and pharma companies wanataka kujitajirisha zaidi kwa kutengeneza shida ambazo wao wenyewe through back doors watakufata kukuambia wanaweza kukusaidia kuzi solve.

Imagine cancer wameshindwa kuitibu wanakupa relief through chemo which is worse.

Tumeishaa Jadda.
Siku hizi afya za watu ni biashara mkuu mimi tangu nimejua nguvu iliyoko kwenye matunda na mimea naiheshimu sana asee, ni vile tu hatuna elimu na maarifa mengi yanafichwa ndio maana tunabugishwa haya makemikali, ila hakuna gonjwa lolote hapa dunani lisilotibika
 
Mpe basi hizo mbinu za kujichanganya Mkuu? Kariakoo sio pa kwenda tu kichwakichwa.
Kama bado ni kijana mdogo aanzie pale nyumbani kwao. Ashiriki shughuli za familia hadi za majirani. Atengeneze kwanza kuaminika ngazi ya chini kabisa.
 
Mkuu Kuna biashara nzuri ambayo watu hawajaigundua, fanya biashara ya kuuza ndizi za kuchoma kwenye mkaa. Tafuta ndizi flani sijui zinaitwaje, ni nzuri sana kwa kuchoma we kachome hizo uza 3 buku, kumbuka watu wengi hawataki vitu vya mafuta so ndizi utauza, ukifanikiwa ulete zaka kwangu.
Watu gani hawataki vitu vya mafuta has, biashara ya chips zingekufa😂
 
Wakinga na Wachaga au watanzania wanaoagiza mzigo kutoka China mara nyingi huuza wenyewe mizigo yao tofauti na wachina. Wachina huagiza mizigo kwao kwa simu tu, ambao naamini bei zao za manunuzi huko kwao zina punguzo maalum (kwa maana raia wa nchi mzigo utakapo) hivyo kufanya mzigo wanayo agiza wao kuwa cheap.

Kwa kujibu swali lako, ni hivi, wao wachina mfano kwa case ya viatu ama yeboyebo na bidhaa nyingine, hufungua mzigo wa aina mpya karibu kila siku.

Yale maduka uyaonayo wanaweka tu display lakn mzgo hasa huwa store eneo lingine. Sasa katika zile aina tofuati, huwa kunatokea ambayo hupendwa na wateja kupitiliza. Kwahiyo wewe dalali kwa hela yako, unaenda kwa huyo muuzaji unaununua huo mzigo wote kisha unauuza wewe kwa kuongeza bei kidgo juu yake. Lakn hapa lazma uwe na mtaji na ujulikane na ulijue soko vizuri.

Ukishakuwa tajir na una hela ya kutosha, basi ukisikia mfano (usininukuu lakan) kipodizi fulani original kinatembea sokoni wewe unapanda fasta china kwenda kuleta feki yake. Ukisikia piituuu zinakimbia wanaenda kuleta feki yake nk. Kwahiyo lazma uwe na mtaji na lazma uwe na uzoefu kdgo wa kuwa maeneo husika na kukutana na watu husika.

Ushauri wangu kwa Serikali mara zote ni mmoja tu, wasiruhusu importers hasa wakigeni kuwa retailers at same time. Hakuna sehm duniani wanaruhusu hilo. Yaani mchina anapoagiza mzigo kwao anakuwa na punguzo la bei, yy hasafiri zaidi ya kuagiza. Akifika hapa anashindana na raia ambaye ana container chache anayenunua bei juu huko china, ana mkopo wa riba kubwa kodi nyingi wanashindania soko moja.

Duniani kote ujasusi wa uchumi ni kulinda mapato ya nchi na kuwalinda ama kuwapa upendeleo raia wako kwny soko la nchi yako dhidi ya mgeni, ikiwepo Ajira.

Kwa kufanya hivyo Serikali inatakiwa iwe na sheria moja kali sana, wachina na raia wa nje wanapo import mizigo kwa bulk kutoka nje, wasiruhusiwe kuuza rejareja wakishindana na mmachinga. Chukulia muhindi aagize mitumba halafu baada ya kuagiza na yy auze rejareja karume ilala tandika nk.

Muhindi akifanya hivyo lazma ataua kazi za wamachinga. Kwahiyo endapo Serikali ingewatengea importers eneo lao na kupiga marufuku importers kuwa wauzaji rejareja, kwa swali lako inamaana mtu yoyote kwa mtaji wowote anachagua niche yake, anaenda kununua kwa wachina kisha anauza rejareja, hapa Serikali inakuwa imetengeza Ajira na kodi mpya na imelinda raia wake.

Hivi Mtanzania anaruhusiwa kwenda china halafu aagize mzgo kutoka Tanzania na kisha akiwa kule auuze rejareja? Ataambiwa umeshaleta china sharti uuze kwa mchina, baada ya hapo tembea. raia wao watauza wenyewe rejareja kwa bei zao.
Umeishauri vyema sana serikali. Nchi ya Zambia raia wamegaragazwa kinoma na wachina kwa kuwaruhusu hadi kufungua maduka ya mangi mitaani. Mchina alivyo mshenzi anafungua duka ambalo ndani kuna hadi mbogamboga na matunda kwa bei ya mtaani. Hao jamaa hawafai. Serikali ikiwachekea utashangaa unawakuta hadi Namanyere wamefungua maduka. Zambia ni mfano hai wa nchi iliyovurugwa na hawa viumbe.
 
Back
Top Bottom