Inawezekana niamkie Kariakoo na kupata kipato ikiwa sina ofisi wala chochote?

Hao sio mawinga ni matapeli tu, huu uzembe unafanywa na wenye office unakuta yy yupo dukani afu anaruhusu mtu mwngn anakua katikati ya mteja na yeye....kitu cha kawaida kinawekewa bei kubwa na wenye office wanaona powa tu!

Kingine wabongo hatutaki kujiongeza tu hivi kulikuwa na haja gani ya kumtumia winga kwenye kununua kitu kama fridge guard🤔🤔 mwingine unakuta anaulizia bidhaa flan duka hili mwenye duka kama hana anakwambia twende sehem flan na kwel unaenda 🤔
 
Usimamizi Tu sio mzuri..mawinga wanaweza dhibitiwa kabisa na wakapewa vitambulisho
 
Watu wasiofahamu tu ndio wanaofikiri kuwa hawa wachina wanategemea hizi biashara. Hao watu wapo wengi kwenye haya mataifa masikini kwa ajili ya kufanya international money laundering wakishirikiana na drug cartels/kingpins. Hakuna watakatishaji wakubwa wa pesa duniani kama wachina. Waulize USA jinsi wanavyohangaika nao . Mabilioni ya pesa yanatakatishwa daily huku watu wakidhani kuwa hao watu wapo huku kwa ajili ya hizi biashara za kudunduiza. Wachina walishavuka huko na kwenye soko huwezi kushindana nao maana wao faida zao hawategemei ktk kuuza hiyo mizigo ya kutoka china.
 
Inakuwaje mtu unatumia winga na upo Dar? Huwa sielewi..sema wengi wetu ni uvivu tu...na ukishakuwa mvivu hata biashara itakupa tabu. Uzuri wa kariako Maduka mengi ya bidhaa za aina moja yako eneo moja...katika hayo maduka kuna chimbo la hiyo biashara LAZIMA...umeshinda vip kulitafuta? Sign kubwa ni ukiwahi sana asubuhi duka lilojaza vijana wengi wananunua hilo ni chimbo mojawapo.
 
😂😂😂😂😂dah ila Tz raha sana
 
Hivi ndivyo waafrika tulivyoupokea ubepari mkuu, ili kufanikiwa lazima udhuru au uumize wengine, ujamaa ulishatushinda na ubepari hatuuwezi sijui tukae wapi
 
Hivi ndivyo waafrika tulivyoupokea ubepari mkuu, ili kufanikiwa lazima udhuru au uumize wengine, ujamaa ulishatushinda na ubepari hatuuwezi sijui tukae wapi
Tuko katika hali mbaya sana. Turudi kwenye kuamini mambo ya kiasili zaidi, bora kutumia bidhaa za asili zaidi kuliko hizi za wazungu maana kila uchwao watu wanafanya genetic engineering ku clone watu jinsi watakavyo.

Kwa sehemu kubwa ni hawa giant tech and pharma companies wanataka kujitajirisha zaidi kwa kutengeneza shida ambazo wao wenyewe through back doors watakufata kukuambia wanaweza kukusaidia kuzi solve.

Imagine cancer wameshindwa kuitibu wanakupa relief through chemo which is worse.

Tumeishaa Jadda.
 
Inawezekana niamke asubuhi na kwenda Kariakoo ikiwa Sina ofisi yeyote hapo???? Udalali huwa unafanywaje jamani!

Kazi gani unaweza kuifanya pale Kariakoo kwaajili ya kukuingizia chochote kitu ikiwa huna duka, huna chochote?
Kuna unaemfahamu anadili kitu chochote? winga karikaoo kwa siku hukosi 20 elfu! ata kama ni fundi simu ila unatumwa tu kwenda dukani kununua space na mafundi wenyewe unapata hela fresh tu
 
Mhmhm! Kipato bila ofisi wala kazi yoyote???
Hii imeekaake doh!
Ngoja nisome vizuri kwanza
 
Mimi nakushauri tu nenda mwenyewe uwanja wa vita ukajifunze na kujionea. Jipe muda usitake kuwa kama uliowakuta kwenye mishe mishe utakayoona utaiweza

Mimi naamini kwa kujifunza na kujionea utapata muongozo mzuri sana.

Kama kiingereza kinapanda soma soma na hivi vitabu ili kujifunza (na ujifunze kweli sio ilimradi usome maana wafu wengi wanasoma ila hawajifunzi)

1. 48 laws by Robert Green
2. 50th Law by 50 Cent
3. Time to Boss up by Rick Ross
4. The Prince by Nicolo Machievelle
5. Book of 5 Rings by Miyamoto Musashi
5. Hustle harder hustle smart by 50 Cent
6. Biblia na Quran (bila kujali imani yako)

Mkuu kila la heri, ila usome kujifunza hapo inabidi nisisitize maana wengi wanasoma ili kusoma tu, kujifunza inaitaji uwe makini.
 
Kama uko Kwa magroup hayo naomba msaada WA kujiunga
 
Kuna msemo wa kizaramo nimeusikia Jana,nimesahau kilugha Ila tafsiri yake inasema "ukitaka kutunzwa,ingia kati ucheze"....vijana tunapenda sana kuulizia ulizia Mambo tukiwa mbali,panda gari nenda kariakoo ukajionee au ukaulizie watu ambao tayari wapo pale
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…