Nelson Jacob Kagame
JF-Expert Member
- Dec 26, 2022
- 9,576
- 13,545
Inabidi aonane na Modo mkiaNimekuonea huruma sana, ngoja nikuombee watu waje wakupe mwanga kwakuwa una mwamko wa kufanya kazi.
MamaSamia2025 Wewe si una connection hadi kwenye machimbo China? Naamini huku pia una fahamu
Nelson Jacob Kagame Wewe mtoto wa mjini hukosi kujua...
Tuisaidie jamii sio kuwapa ubuyu tu... 😜
Umeishauri vyema sana serikali. Nchi ya Zambia raia wamegaragazwa kinoma na wachina kwa kuwaruhusu hadi kufungua maduka ya mangi mitaani. Mchina alivyo mshenzi anafungua duka ambalo ndani kuna hadi mbogamboga na matunda kwa bei ya mtaani. Hao jamaa hawafai. Serikali ikiwachekea utashangaa unawakuta hadi Namanyere wamefungua maduka. Zambia ni mfano hai wa nchi iliyovurugwa na hawa viumbe.
Watu wazima wote hawataki vitu vya mafutaWatu gani hawataki vitu vya mafuta has, biashara ya chips zingekufa😂
Kama wanakula mishikaki kukiwa na ndizi choma ndio itanoga sasaHakuna anayeogopa kariakoo mishikaki inatoka kila baada ya hatua tatu msimbazi wanauza
Wa kikejinsia yako mkuu?
Unafanya biashara kwa length gani kumake profit au kufanya nini maana ukisema kariakoo market ni vijana, walaji ni vijana uweke biashara ya wazee kweliWatu wazima wote hawataki vitu vya mafuta
Ndizi za kuchoma wote wanakula kwasababu ni bei rahisi pia unashiba vzrUnafanya biashara kwa length gani kumake profit au kufanya nini maana ukisema kariakoo market ni vijana, walaji ni vijana uweke biashara ya wazee kweli
HawajajaNimekuonea huruma sana, ngoja nikuombee watu waje wakupe mwanga kwakuwa una mwamko wa kufanya kazi.
MamaSamia2025 Wewe si una connection hadi kwenye machimbo China? Naamini huku pia una fahamu
Nelson Jacob Kagame Wewe mtoto wa mjini hukosi kujua...
Tuisaidie jamii sio kuwapa ubuyu tu... 😜