Lanlady
JF-Expert Member
- Feb 27, 2019
- 1,836
- 6,303
Ni swali ambalo linaweza kuwa na majibu ya ndio na sio kutokana na hali halisi.
Alipoingia tu madarakani 'kwa kudra' kama alivyojinasibu, alifanya mabbadiliko mengi kwa haraka na pengine kwa kutaka kuridhisha kundi dogo la watu wenye maisha bora maarufu kama wawekezaji.
Huku watanzania wa hali ya chini wakitwishwa mzigo wa kodi na tozo na kuwapa nafuu hao 'wawekezaji'
Je, hayo na mengine mengi yaweza kuwa chanzo cha kuyumba zaidi kwa uchumi na kuongezeka kwa gharama za maisha hasa kwa wananchi wa hali ya chini?
Alipoingia tu madarakani 'kwa kudra' kama alivyojinasibu, alifanya mabbadiliko mengi kwa haraka na pengine kwa kutaka kuridhisha kundi dogo la watu wenye maisha bora maarufu kama wawekezaji.
Huku watanzania wa hali ya chini wakitwishwa mzigo wa kodi na tozo na kuwapa nafuu hao 'wawekezaji'
Je, hayo na mengine mengi yaweza kuwa chanzo cha kuyumba zaidi kwa uchumi na kuongezeka kwa gharama za maisha hasa kwa wananchi wa hali ya chini?