Ngalikihinja
JF-Expert Member
- Sep 1, 2009
- 33,643
- 36,090
Unachokitetea hukijui.... Hivi kwa mfano mdogo tu, wale trafic polisi wanaokuwa barabarani na vimashine vyao vya kukagulia magari kama yanadaiwa au la, wakikuta gari namba T 2020 JPM linadaiwa, watalidai lipi AU WATALIKAMATA LIPI kati ya hayo yote yenye namba hiyo..??? KUNA VITU KUVITETEA INABIDI MTU UWE NA AKILI YA MWENDAWAZIMUKalipe hela t.r.a uone kama hawakupatii ruhusa.