Inawezekana vipi mtu kuweka roho yake kwenye mti?

Yaani si unajua mambo ya bima ya afya ya mwafrica sasa katika hiyo bima mojawapo ndio ipo hiyo dawa kama kinga tu kutodhuliwa na watu wenye roho mbaya
Hili ni mojawapo ya fao la bima ya asili.
 
Kuna siku Mada Maugo alipigwa na Fransis Cheka, katika mahojiano baada ya pambano, Mada Maugo alisema Cheka katumia dawa. Alisema zile ngumi zilikuwa nzito na zinauma, ni aheri angepigwa mawe kuliko hizo ngumi.
 
Vipi kama alikula Mti wa Uzima ambao Adam na hawa walifukuzwa bustanini wasiule?je tanzania Ndio Eden ?je kuna wazee wanautambua Mti wa uzima??nilishawahi Kuambiwa kuwa Upo na ukiukata unatoa kitu kama maziwa
 
Mti aliozindika huyu mgonjwa wetu nimepata taarifa kumbe unaogopeka sana ata ukichuma tawi la mtu unaanza kuumwa
 
Pole sana najua hii ni kweli sema Kila jamii na Mila zake huku geita ilitokea Kwa Mme wa shangazi Tena mwaka huu huu tu naomba u search huu Uzi wangu Mimi sijui kuuweka hapa. Au ingia Google search kama inavyosemeka heading yake then ingia jf
 

Attachments

  • Screenshot_20240727-055609.jpg
    328 KB · Views: 5
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…