Lugha kama hizi ndizo zitaendelea kuwasweka ndani na mtalialia kwenye mitandao hadi muwe na adabu na akili.Katika kipande kifupi cha video hapo chini Rais wa Tanzania Samia Suluhu Hassan katika Mkutano na wadau wa Demokrasia hivi leo ametoa hotuba inayoshangaza sana.
Anasema kuwa Rais akitoa kibali cha mikutano ya hadhara, Chadema wanaenda kuvunja vunja Magari pamoja na mali nyingine za uma ndiyo maana hatoi vibali vya Mikutanoπππ
Nimejiuliza maswali mengi sana.Tokea lini Rais akawa na haki au wajibu wa kutoa vibali vya Mikutano kwa vyama vya siasa?Hata kama ni kweli kuwa vyama vya siasa vikipewa vibali vya mikutano ya hadhara vinafanya fujo na kuharibu mali za uma,sheria za kuwadhibiti si zipo?
Mikutano ya vyama vya siasa ipo kwa mujibu wa Katiba na sheria zetu na wala siyo kwa mujibu wa Rais.Sasa leo Rais anadai kuwa yeye ndiye mtoa vibali.WTF!!!πππ
Ameenda mbali zaidi na kudai kuwa vyama vya siasa vikipewa vibali vya Mikutano vinaenda kuvunja vunja Magari pamoja na mali nyingine za ummaπππ
Kuna mtu yeyote hapa ambae ana ushahidi wa Chadema au chama chochote cha upinzani kuharibu mali za uma katika mikutano yake ya kisiasa kama anavyodai Rais?
Haya mambo yamenishangaza sana.Ni maajabu makubwa kwangu mimi.Yanafikirisha pia, lakini cha zaidi ni kwamba yanachekesha sana.View attachment 2045213
Kumbe majinga mko wengi . Sasa hilo suala lina tija gani kwa nchi. Hebu leta hoja za maana. Umeeishiwaa niniMuogope Mwanamke ambaye Mumewe hamuungi mkono hata kuwa na picha ya pamoja ni hatareee
Fanyeni mnachoweza tuone sasa seems mna jeuri Sana na itawaponza.Hatuwezi kumpa muda zaidi Rais ambae anavunja sheria za nchi yetu pendwa kila kukicha.
Leo anatamba mbele ya uma kuwa ni mtoa vibali vya mikutano ya vyama vya siasa. Pia anadanganya uma kuwa vyama vya siasa vikipewa vibali vya mikutano ya hadhari vinaenda kuvunja vunja magari pamoja na mali nyingine za uma badala ya kufanya mikutano na ndiyo maana hatoi vibali hivyo.
Hii maana yake ni kwamba tukiendelea kumchekea chekea kesho ataamka na kubwa zaidi la kuiangamiza nchi yetu pendwa.
Kama CCM mmebadilika kuwa matahira pisheni wenye uwezo wa kuongoza waongoze nchi yetu pendwa.
Kikawaida ukitaka kujua maana ya hotuba nzima, ni vema kusikiliza hotuba yote na kupata tafsiri yake. Nadhani unajaribu kutafuta unachotaka ili kudhihirisha unachokisema wewe. Kunaneno anasema "anaongoza nchi...." Kuna kituo, akaendelea na sentensi. Maana yake nyuma ya neno hilo pana maneno mengine ambayo hujayaweka.
Lema waziri wa fedhaWapinzani wa hapa bongo hawajielewi na hawaeleweki. Nimekuja kugundua Wao lengo lao hasa ni kupata mchongo na wao waingie Ikulu waitafune injii π
Mara kikwete anachekacheka wanataka rais dikteta akaja Magu wakaanza kuomboleza π€£π€£
Mara Lowassa fisadi hafai kabisa kwenye injii hii maraa heee ndio mgombea wao wa urais wakaanza kumtakasa loh . Hawasomeki kabisaa. Na walivyo na njaa hivi wakikamata nchi itakuaje π€£
Tumeshtukaaa
Yaani hawa waingie Ikulu ? HaiwezekaniWapinzani wa hapa bongo hawajielewi na hawaeleweki. Nimekuja kugundua Wao lengo lao hasa ni kupata mchongo na wao waingie Ikulu waitafune injii [emoji2]
Mara kikwete anachekacheka wanataka rais dikteta akaja Magu wakaanza kuomboleza [emoji1787][emoji1787]
Mara Lowassa fisadi hafai kabisa kwenye injii hii maraa heee ndio mgombea wao wa urais wakaanza kumtakasa loh . Hawasomeki kabisaa. Na walivyo na njaa hivi wakikamata nchi itakuaje [emoji1787]
Tumeshtukaaa
Amesema kweli tupuu. Tunawajua saana.Nilikuwa naona hayati Magu rais wa hovyo kutokea nchi hii, sikujua ya ajaye. Ukiacha udikteta wake lakini alikuwa anajua asemalo
Sasa kwa bi Hangaya kudai vyama vya upinzani huwa vinafanya fujo wakitoka mikutano yao basi yeye au Mchengerwa atueleze ni lini na wapi kulitokea hizo fujo za kufikirika siyo porojo za Zerro.
Amedanganywa na yule mzee mwongo mwongo anayetawala kikundi cha watu wanaobambikia watu kesi.Katika kipande kifupi cha video hapo chini Rais wa Tanzania Samia Suluhu Hassan katika Mkutano na wadau wa Demokrasia hivi leo ametoa hotuba inayoshangaza sana.
Anasema kuwa Rais akitoa kibali cha mikutano ya hadhara, Chadema wanaenda kuvunja vunja Magari pamoja na mali nyingine za uma ndiyo maana hatoi vibali vya Mikutano[emoji23][emoji23][emoji23]
Nimejiuliza maswali mengi sana.Tokea lini Rais akawa na haki au wajibu wa kutoa vibali vya Mikutano kwa vyama vya siasa?Hata kama ni kweli kuwa vyama vya siasa vikipewa vibali vya mikutano ya hadhara vinafanya fujo na kuharibu mali za uma,sheria za kuwadhibiti si zipo?
Mikutano ya vyama vya siasa ipo kwa mujibu wa Katiba na sheria zetu na wala siyo kwa mujibu wa Rais.Sasa leo Rais anadai kuwa yeye ndiye mtoa vibali.WTF!!![emoji23][emoji23][emoji23]
Ameenda mbali zaidi na kudai kuwa vyama vya siasa vikipewa vibali vya Mikutano vinaenda kuvunja vunja Magari pamoja na mali nyingine za umma[emoji23][emoji23][emoji23]
Kuna mtu yeyote hapa ambae ana ushahidi wa Chadema au chama chochote cha upinzani kuharibu mali za uma katika mikutano yake ya kisiasa kama anavyodai Rais?
Haya mambo yamenishangaza sana.Ni maajabu makubwa kwangu mimi.Yanafikirisha pia, lakini cha zaidi ni kwamba yanachekesha sana.View attachment 2045213
Mbona unajibu vitu tofauti na mada? Ila kama tulikuwa na mtu kama Jiwe, baadae ndiyo huyo aliyepo so sidhani kama ni sahihi kushangaa ccm kuwa na mwanachama kama wewe eti unakipambania chama[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hata iweje mke wa Amsterdam hawezi kutawala Tanzania
Watafuta maridhiano hao.....Kikawaida ukitaka kujua maana ya hotuba nzima, ni vema kusikiliza hotuba yote na kupata tafsiri yake. Nadhani unajaribu kutafuta unachotaka ili kudhihirisha unachokisema wewe. Kunaneno anasema "anaongoza nchi...." Kuna kituo, akaendelea na sentensi. Maana yake nyuma ya neno hilo pana maneno mengine ambayo hujayaweka.
Ebu watanzania, inasaidia nini, kutaka tu kutengeneza jambo ili kuonesha fulani ni mbaya. Kwanini tumefikia huko? Kwanini hatuji na hoja ambazo zitaijenga Tanzania na si kutafuta vitu vidogo vidogo kuvikuza ili kuharibu image ya Rais.
Nilistuka sana niliposoma heading yako.
Lakini hata hicho unachotaka kukimaanisha, nikueleze kwa ufupi. Rais ndiye top wa viongozi wote katika Jamhuri ya Tanzania. Hivyo kwa sheria mbalimbali Rais ukasimu madaraka yake kwa viongozi mbalimbali walioteuliwa au kuwa katika mfumo wa utumishi wa Umma.
Hasa sheria za usalama wa nchi hizi japo zitashughulikiwa na wateule wa Rais, au watumishi wengineo wa Umma, zina mamlaka ya Urais. Ndiyo maana kila wilaya na Mkoa zinakamati ya Ulinzi na Usalama. Taarifa za hii kamati uenda moja kwa moja kwa Kamati ya Ulinzi na Usalama ya Taifa. Ambayo hii mara nyingi ni wakuu wa vyombo vya usalama na Rais pekee na sekretarieti.
Kwa kauli hii Rais wetu na Amiri Jeshi Mkuu amenifurahisha Sana...hongera Rais...uwe imara namna hii...Katika kipande kifupi cha video hapo chini Rais wa Tanzania Samia Suluhu Hassan katika Mkutano na wadau wa Demokrasia hivi leo ametoa hotuba inayoshangaza sana.
Anasema kuwa Rais akitoa kibali cha mikutano ya hadhara, Chadema wanaenda kuvunja vunja Magari pamoja na mali nyingine za uma ndiyo maana hatoi vibali vya Mikutanoπππ
Nimejiuliza maswali mengi sana.Tokea lini Rais akawa na haki au wajibu wa kutoa vibali vya Mikutano kwa vyama vya siasa?Hata kama ni kweli kuwa vyama vya siasa vikipewa vibali vya mikutano ya hadhara vinafanya fujo na kuharibu mali za uma,sheria za kuwadhibiti si zipo?
Mikutano ya vyama vya siasa ipo kwa mujibu wa Katiba na sheria zetu na wala siyo kwa mujibu wa Rais.Sasa leo Rais anadai kuwa yeye ndiye mtoa vibali.WTF!!!πππ
Ameenda mbali zaidi na kudai kuwa vyama vya siasa vikipewa vibali vya Mikutano vinaenda kuvunja vunja Magari pamoja na mali nyingine za ummaπππ
Kuna mtu yeyote hapa ambae ana ushahidi wa Chadema au chama chochote cha upinzani kuharibu mali za uma katika mikutano yake ya kisiasa kama anavyodai Rais?
Haya mambo yamenishangaza sana.Ni maajabu makubwa kwangu mimi.Yanafikirisha pia, lakini cha zaidi ni kwamba yanachekesha sana.View attachment 2045213
Hakuna aliye bora, labda kwa kuwa huyu siyo mpoteza watuMwendakuzimu na bibi nani bora?
Acha upumbavu dada....Katika kipande kifupi cha video hapo chini Rais wa Tanzania Samia Suluhu Hassan katika Mkutano na wadau wa Demokrasia hivi leo ametoa hotuba inayoshangaza sana.
Anasema kuwa Rais akitoa kibali cha mikutano ya hadhara, Chadema wanaenda kuvunja vunja Magari pamoja na mali nyingine za uma ndiyo maana hatoi vibali vya Mikutanoπππ
Nimejiuliza maswali mengi sana.Tokea lini Rais akawa na haki au wajibu wa kutoa vibali vya Mikutano kwa vyama vya siasa?Hata kama ni kweli kuwa vyama vya siasa vikipewa vibali vya mikutano ya hadhara vinafanya fujo na kuharibu mali za uma,sheria za kuwadhibiti si zipo?
Mikutano ya vyama vya siasa ipo kwa mujibu wa Katiba na sheria zetu na wala siyo kwa mujibu wa Rais.Sasa leo Rais anadai kuwa yeye ndiye mtoa vibali.WTF!!!πππ
Ameenda mbali zaidi na kudai kuwa vyama vya siasa vikipewa vibali vya Mikutano vinaenda kuvunja vunja Magari pamoja na mali nyingine za ummaπππ
Kuna mtu yeyote hapa ambae ana ushahidi wa Chadema au chama chochote cha upinzani kuharibu mali za uma katika mikutano yake ya kisiasa kama anavyodai Rais?
Haya mambo yamenishangaza sana.Ni maajabu makubwa kwangu mimi.Yanafikirisha pia, lakini cha zaidi ni kwamba yanachekesha sana.View attachment 2045213
Sasa mtu kama wewe hata chauma hupati kadi, labda ccm ndiyo wanachukua watu kama wewe.Kwani uongo ? Wapinzani wa Tanzania Wana vurugu hatari na matusi Yaani dizaini ya mdude nyangali . Jazba kibao hawana ustaarabu.
Alafu mbona kaongea kawaida tu kuelezea hali inavyokuwa [emoji1787] . Yaani ulivyoongea kwa jazba sipati picha ndio upo barabarani kwenye maandamano yenu yale si utatuvunjia magari wewe ? [emoji2]
Mimi Sina chama.
Kama wewe.Mashoger huwa wanaishia kupiga kelele kwenye key board tu
Bei ya gas ya kupikia,bei ya mafuta ya kupikia,bei ya sukari,bei ya bidhaa za ujenzi na kadhalika kupanda pia tumuachie Mungu?