Inawezekanaje (baba)Laurent Kabila atofautiane kimtazamo na(mwana) Joseph Kabila?

Inawezekanaje (baba)Laurent Kabila atofautiane kimtazamo na(mwana) Joseph Kabila?

musicarlito

JF-Expert Member
Joined
Dec 29, 2020
Posts
368
Reaction score
556
Habari wakuu

Laurent Kabila alikataa kuwatambua Banyamulenge na watutsi wengine kama raia wa Congo kiasi alisema mkataba waliokubaliana ulikuwa wa vichochoroni

Jana Joseph Kabila anamlaumu Tschekedi kukataa kuwatambua watutsi na Banyamulenge

Hii imekaaje?
 
Habari wakuu

Laurent Kabila alikataa kuwatambua Banyamulenge na watutsi wengine kama raia wa Congo kiasi alisema mkataba waliokubaliana ulikuwa wa vichochoroni

Jana Joseph Kabila anamlaumu Tschekedi kukataa kuwatambua watutsi na Banyamulenge

Hii imekaaje?
Kabila junior ni mtutsi, mzee alimuoa mama yake akiwa kashazaliwa na baba yake alikuwa partner wake kibiashara
 
Habari wakuu

Laurent Kabila alikataa kuwatambua Banyamulenge na watutsi wengine kama raia wa Congo kiasi alisema mkataba waliokubaliana ulikuwa wa vichochoroni

Jana Joseph Kabila anamlaumu Tschekedi kukataa kuwatambua watutsi na Banyamulenge

Hii imekaaje?
Joseph siyo mtoto wa Laurent, Baba yake ni Kabange
 
Habari wakuu

Laurent Kabila alikataa kuwatambua Banyamulenge na watutsi wengine kama raia wa Congo kiasi alisema mkataba waliokubaliana ulikuwa wa vichochoroni

Jana Joseph Kabila anamlaumu Tschekedi kukataa kuwatambua watutsi na Banyamulenge

Hii imekaaje?
One word, politician
 
Habari wakuu

Laurent Kabila alikataa kuwatambua Banyamulenge na watutsi wengine kama raia wa Congo kiasi alisema mkataba waliokubaliana ulikuwa wa vichochoroni

Jana Joseph Kabila anamlaumu Tschekedi kukataa kuwatambua watutsi na Banyamulenge

Hii imekaaje?
Uzi humo humuhumu! Unaohusu hiyo histori ya Laurent Kabila na Joseph Kabila kimsingi Kabila(Joseph) ni mtusi na alishiriki kikamilifu vita vya RPF ya Kagame na akiwa kama dereva wake Kagame tafuta huo uzi humu!!
 
Back
Top Bottom