Tresor Mandala
JF-Expert Member
- Aug 20, 2010
- 40,905
- 86,203
Hahahaha Sasa Kuna mtu kasema ni partner wa biashara ndio nataka kujua kule porini walikua na biashara ipi hao wazeeHaikua biashara bali muasi mwenza
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahahaha Sasa Kuna mtu kasema ni partner wa biashara ndio nataka kujua kule porini walikua na biashara ipi hao wazeeHaikua biashara bali muasi mwenza
Sawa sawa natumesaidia sana kuweka taarifa vzrUzi humo humuhumu! Unaohusu hiyo histori ya Laurent Kabila na Joseph Kabila kimsingi Kabila(Joseph) ni mtusi na alishiriki kikamilifu vita vya RPF ya Kagame na akiwa kama dereva wake Kagame tafuta huo uzi humu!!
Nasikia mzee kabila alimuua na kumtosa ziwani wakirudi toka mapambano,halafu akamuoa mjane wake,akaasili na watoto wake mapacha, joseph na dadaake anayefichwa kama bangiHahahaha Sasa Kuna mtu kasema ni partner wa biashara ndio nataka kujua kule porini walikua na biashara ipi hao wazee
Wapo mkuuKuna mtoto wa kusingiziwa ?
Duh, alikua dereva!?..tusipeleke jeshi letu huko, utoto,lazima muuzwe kwa aduiUzi humo humuhumu! Unaohusu hiyo histori ya Laurent Kabila na Joseph Kabila kimsingi Kabila(Joseph) ni mtusi na alishiriki kikamilifu vita vya RPF ya Kagame na akiwa kama dereva wake Kagame tafuta huo uzi humu!!
Huyo dadake anafichwa wapi na nani?Nasikia mzee kabila alimuua na kumtosa ziwani wakirudi toka mapambano,halafu akamuoa mjane wake,akaasili na watoto wake mapacha, joseph na dadaake anayefichwa kama bangi
Haijakaa sawa kabisaHabari wakuu
Laurent Kabila alikataa kuwatambua Banyamulenge na watutsi wengine kama raia wa Congo kiasi alisema mkataba waliokubaliana ulikuwa wa vichochoroni
Jana Joseph Kabila anamlaumu Tschekedi kukataa kuwatambua watutsi na Banyamulenge
Hii imekaaje?
Kwahy mtoto wa kusingiziwa anakuaje? Kama umewahi kusoma kuhusu JKK amesingiziwa vipi?Wapo mkuu
Haonekani hadharani, kipindi chote jose akitawalaHuyo dadake anafichwa wapi na nani?
Janet Kabila hafichwi aache uongoHuyo dadake anafichwa wapi na nani?
Naomba picha akiwa hadharaniJanet Kabila hafichwi aache uongo
Mkuu umenichekesha pia umenifikirisha, ngoja tuone.Time inaenda
Si kweli Janet alikua seneta ktk utawala wa JKK na mdogo wao Zoe alikua mbunge na ni mbunge mpk sasaHaonekani hadharani, kipindi chote jose akitawala
Acha uongo Janet aafichwa na nani ?Nasikia mzee kabila alimuua na kumtosa ziwani wakirudi toka mapambano,halafu akamuoa mjane wake,akaasili na watoto wake mapacha, joseph na dadaake anayefichwa kama bangi
Mfumo,naomba picha yakeAcha uongo Janet aafichwa na nani ?
Anashindwa kutofautisha mtu alieamua kuishi private na anayefichwaJanet Kabila hafichwi aache uongo
Hahahaha,Anashindwa kutofautisha mtu alieamua kuishi private na anayefichwa
Alifichwa kuondoa kuepusha kelele za wakongo,wakongo wakajua Jose siyo mwenzao wakiwa wamechelewaAnashindwa kutofautisha mtu alieamua kuishi private na anayefichwa