Inawezekanaje (baba)Laurent Kabila atofautiane kimtazamo na(mwana) Joseph Kabila?

Inawezekanaje (baba)Laurent Kabila atofautiane kimtazamo na(mwana) Joseph Kabila?

Kotofautiana mtizamo ni kitu cha kawaida, kila mtu anakichwa chake. Ndio maana unaona mmoja kafariki mmoja yupo, hiyo inatosha kukuonyesha kwamaba ni watu wawili tofauti.
 
Kabila junior ni mtutsi, mzee alimuoa mama yake akiwa kashazaliwa na baba yake alikuwa partner wake kibiashara
Aliishi Dar, nasikia ilikuwa kitaa cha namanga. Ni kweli hio?
 
Christopher Mtikila nae aliwahi kusema "Joseph Kabila ni Mtutsi anashikirana na Paul Kagame kuwapiganisha Congo wanawaonea wakongo".kwa hiyo huenda ni kweli Joseph/Hypolite Christopher Kazembelembe ni mtoto wa kufikia wa Laurent Desire Kabila.
 
Kabila si mcongo , ni mtutsi yule , na kuna hadi documentary DW inaeelezea Kwa kina chimbuko na historian ya machafuko Congo huyu Jose kabila na baba yake wa kambo walishiriki chini ya AFD enzi hizo ambayo ilikuwa ni mkusanyiko wa vikosi vya kijeshi vya watutsi wa RPF ya akina Kagame ,vikosi vya Uganda chini ya Museveni na waasi wa jeshi la Congo kwenda kumtoa Mobutu madarakani kwa kisingizio kwamba Mobutu ni dikteta na anawahifadhi FDRL au wauwaji wa kimbari wenye asili ya Kihutu kule Rwanda waliokimbilia Congo aka Interahamwe
Na hawa washenzi walifanya Genocide mbaya sana huko kwenye misitu ya Congo dhidi ya kabila la wahutu kutoka Rwanda waliokimbia baada ya RPF kuchukua nchi baada ya kifo cha Habyarimana .
Si kweli kwamba FDRL wote ndio waliokimbilia huko misituni Congo ,Kwa kiasi kikubwa wengi walikuwa ni rais wa kawaida wa Rwandan wenye asili ya Kihutu .Kagame ,Museveni na Puppet wao mzee kabila chini ya AFD walifanya Genocide kubwa mno nayo mpaka leo imefichwa na actually UN report walishatoa report ya hii Genocide iliyofanywa na hawa wahima akina Kagame na Museveni huko Congo ,hawa washenzi ni war criminals ,wanafaa kunyongwa kabisa ,ni vile tu tunaishi kwenye dunia ya unafiki na ukosefu wa haki
Hii report ya UN imekuwacompiled na real testimonies za watu waliokutwa na hayo masaibu na evidences za on ground investigators ,waliua saba watu na ilifikia kipindi mpaka wakaanza kuua wacongo wengi pia ambao hata walikuwa sio wahutu , ilikuwa ni genocidal campaign against non Tutsis huko Congo ,na walibaka ,wakaharibu mali total scorched earth policy ulifanywa na watutsi miaka hiyo huko Congo na ndio vizazi vya hawa hawa mabazazi wanarudi kumchomoa Tshisekedi kutoka madarakani kwa mwavuli wa Congo River alliance ambayo ni mkusanyiko wa vikundi vya wahasi mamluki ,wakiwamo M23 na majeshi ya Rwanda chini ya RPF ya Kagame na UPDF ya Museveni ya Uganda ,yaani kwa mtu anayesoma historia Kwa kina anaona kabisa picha ile ile ya yaliyotokea nyuma inaenda kutokea tena wakati huu.

Nawaomba muisome kwa kina ,mtaelewa ni kwa nini hawa washenzi wameendelea kuloot Congo na kusababisha uharibifu huu miaka yote hii
Hii report ni very deep na inaelezea kila kitu kuhusu involvement ya hawa madikteta akina Kagame na mjomba wake Mseven Congo
UN mapping report ,na imetoka muda sana
 
Mods ,mbona najaribu kuattach hii document haionekani humu ,au hii platform weban hii document nini ,maana kuna parasites za wahima zimejaa humu kwenye hizi nchi zetu
Anyways bado najaribu kupandisha hii document ,mnaweza pia kudownload humu kwenye hizi link ya website ya friends of Congo
Ingieni humu ,mtakuta kuna documents imeandikwa Mapping report ya UN
 
Nchi ilikuwa ishaanza kutulia na kustabilize hawa washenzi wanavuruga tena mambo na kurudisha uharibifu wa amani na chaos , hii ni kazi ya Kagame ,Museveni na puppets wao humo ndani ya Congo ,na bila shaka hawakuridhishwa na Kabila kuondoka madarakani ,wamekosa Puppet wa kumcontrol na ndio shida zote hizi
 
Kabila si mcongo , ni mtutsi yule , na kuna hadi documentary DW inaeelezea Kwa kina chimbuko na historian ya machafuko Congo huyu Jose kabila na baba yake wa kambo walishiriki chini ya AFD enzi hizo ambayo ilikuwa ni mkusanyiko wa vikosi vya kijeshi vya watutsi wa RPF ya akina Kagame ,vikosi vya Uganda chini ya Museveni na waasi wa jeshi la Congo kwenda kumtoa Mobutu madarakani kwa kisingizio kwamba Mobutu ni dikteta na anawahifadhi FDRL au wauwaji wa kimbari wenye asili ya Kihutu kule Rwanda waliokimbilia Congo aka Interahamwe
Na hawa washenzi walifanya Genocide mbaya sana huko kwenye misitu ya Congo dhidi ya kabila la wahutu kutoka Rwanda waliokimbia baada ya RPF kuchukua nchi baada ya kifo cha Habyarimana .
Si kweli kwamba FDRL wote ndio waliokimbilia huko misituni Congo ,Kwa kiasi kikubwa wengi walikuwa ni rais wa kawaida wa Rwandan wenye asili ya Kihutu .Kagame ,Museveni na Puppet wao mzee kabila chini ya AFD walifanya Genocide kubwa mno nayo mpaka leo imefichwa na actually UN report walishatoa report ya hii Genocide iliyofanywa na hawa wahima akina Kagame na Museveni huko Congo ,hawa washenzi ni war criminals ,wanafaa kunyongwa kabisa ,ni vile tu tunaishi kwenye dunia ya unafiki na ukosefu wa haki
Hii report ya UN imekuwacompiled na real testimonies za watu waliokutwa na hayo masaibu na evidences za on ground investigators ,waliua saba watu na ilifikia kipindi mpaka wakaanza kuua wacongo wengi pia ambao hata walikuwa sio wahutu , ilikuwa ni genocidal campaign against non Tutsis huko Congo ,na walibaka ,wakaharibu mali total scorched earth policy ulifanywa na watutsi miaka hiyo huko Congo na ndio vizazi vya hawa hawa mabazazi wanarudi kumchomoa Tshisekedi kutoka madarakani kwa mwavuli wa Congo River alliance ambayo ni mkusanyiko wa vikundi vya wahasi mamluki ,wakiwamo M23 na majeshi ya Rwanda chini ya RPF ya Kagame na UPDF ya Museveni ya Uganda ,yaani kwa mtu anayesoma historia Kwa kina anaona kabisa picha ile ile ya yaliyotokea nyuma inaenda kutokea tena wakati huu.

Nawaomba muisome kwa kina ,mtaelewa ni kwa nini hawa washenzi wameendelea kuloot Congo na kusababisha uharibifu huu miaka yote hii
Hii report ni very deep na inaelezea kila kitu kuhusu involvement ya hawa madikteta akina Kagame na mjomba wake Mseven Congo
UN mapping report ,na imetoka muda sana
MBOKA NA NGAI
 
Kabila junior ni mtutsi, mzee alimuoa mama yake akiwa kashazaliwa na baba yake alikuwa partner wake kibiashara
Huyu haitwi Joseph anaitwa Hypolite Christopher Kanambe alizaliwa 04.6.1971 kijiji cha Hewbira kivu kusini. Baba yake mzazi aliitwa Christopher kanambe mtusi wa Kivu kusini, alimsaidia kabila kumtoa Mobutu pamoja na wanyamulenge askari qa kivu, Christopher alikua askari na swahiba sana alikua wa mzee Kabila, alipouawa ndipo mzee Laurent kabila alimuoa mama yake alietwa Marcellina Mukambukuje na kumkuta na mtoto wakambadili jina akawa joseph
 
Back
Top Bottom