Tresor Mandala
JF-Expert Member
- Aug 20, 2010
- 40,905
- 86,203
Waulize Sasa hao wanazengoJanet ni sura ya mzee laurent mwenyewe,inakuaje wanadai si mtoto wake wa kumzaa!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Waulize Sasa hao wanazengoJanet ni sura ya mzee laurent mwenyewe,inakuaje wanadai si mtoto wake wa kumzaa!
Mbona kafanana sana na huyo kabila mkubwaKuna habari nilisoma kwenye gazeti la Rai miaka ya nyuma, kwamba Laurent hakuwa biological father wa Joseph na pia Joseph ana asili ya Rwanda.
Hahahaha,hao ndio GT wa humu?Mi nadhani anachanganya na ile kwamba biashara zake alikuwa anawaweka watu front bila yeye kuonekana anatafsiri kuwa ni kufichwa.
Watoto wote wa Laurenti Kabila wanatumia jina la Kabange nchini TanzaniaJoseph siyo mtoto wa Laurent, Baba yake ni Kabange
Hiyo coincidence tu mkuuMbona kafanana sana na huyo kabila mkubwa
Anaishi Dar Msasani BeachNaomba picha akiwa hadharani
Unajiita easy e halafu huna ukimwi,we ni bwegeKajificha wapi wakati tupo naye humu humu bongoland.. na baada kaka yake kuwa rais yeye alikataa kurudi congo (labda kama alikuja kukubali baadae)... wale ni kwamba tu walizaliwa huko congo sijui rwanda ila maisha yao kwa kiasi kikubwa yapo huku bongo.. hata mijengo pia wanayo huku
Mzee kanambe na kabila walikuwa wanadeal na biashara ya madini. Na mzee kanambe nae alikuwa ni wale wakimbiz wa kitutsi waliofukuzwa wakat wa genocide ya kwanza. Niliisoma mahali kutoka mdogo wake kabila ambae ndie mtoto halisi wa kabila mzee. Huyu kabila junior wapo mapacha na dada yakeUnajua kilichoulizwa lkn ? Swali lilikua Muzee Kabila na Muzee kanambe walikua na biashara Gani huko porini? Khs Kabila labda mie ndio nikuambie usiyoyajua ila wewe utaniambia uliyoyasoma na kuhadithiwa
😄 we unajuaje kama sinaUnajiita easy e halafu huna ukimwi,we ni bwege
Hahaha aki rudi niambieHahahaha nakusalimia ili usikosee siku nyingine...ukisikia Mkongo anaitwa Kabange ujue huyo ni pacha ana pacha wake..hivyo Joseph Kabila Kabange ni pacha wa Janet Kabila
Huna😄 we unajuaje kama sina
Hahahaha,anabishana na familyHahaha aki rudi niambie
Hahahaha, ujue wewe unasoma mie niko inMzee kanambe na kabila walikuwa wanadeal na biashara ya madini. Na mzee kanambe nae alikuwa ni wale wakimbiz wa kitutsi waliofukuzwa wakat wa genocide ya kwanza. Niliisoma mahali kutoka mdogo wake kabila ambae ndie mtoto halisi wa kabila mzee. Huyu kabila junior wapo mapacha na dada yake
Baba mzee kabila hakuwakataa wanyamulenge aliukataa mkataba uliotaka kugawa congo yaan kivu kusini na kaskazin ziwe nchi kwa maslahi ya watusi wachache na Rwanda
Kumbe hii hadithi (Mkataba wa Lemera) ina ukweli...?Uko sahihii
Hahahaha Ina maaana hujawahi kujua khs hilo?Kumbe hii hadithi (Mkataba wa Lemera) ina ukweli...?
Huwa naona ni 'nadharia njama' tuHahahaha Ina maaana hujawahi kujua khs hilo?
Ok,mdg wa hao mapacha unamjua ?Mzee kanambe na kabila walikuwa wanadeal na biashara ya madini. Na mzee kanambe nae alikuwa ni wale wakimbiz wa kitutsi waliofukuzwa wakat wa genocide ya kwanza. Niliisoma mahali kutoka mdogo wake kabila ambae ndie mtoto halisi wa kabila mzee. Huyu kabila junior wapo mapacha na dada yake
Ingia deepHuwa naona ni 'nadharia njama' tu