Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Picha ya kwanza Olivie lemba mke wa JKK ,kulia ni Janette KabilaMfumo,naomba picha yake
Mbona baada ya kuzeeka anaanza kumfanana laurentTime inaenda
Acha kudanganya Mkuu, Jannet hajawahi kufichwa popote pale,nijusaidie tu ana nyumba ,Masaki Dar es Salaam,acha uongo ,Janet amekua Hadi mbunge afichwe na nani na iweje ?Alifichwa kuondoa kuepusha kelele za wakongo,wakongo wakajua Jose siyo mwenzao wakiwa wamechelewa
Hahahaha,Sasa nikikuwekea hao Kabila wenyewe ni copy tupu kama Muzee mwenyeweMbona baada ya kuzeeka anaanza kumfanana laurent
Habari wakuu
Laurent Kabila alikataa kuwatambua Banyamulenge na watutsi wengine kama raia wa Congo kiasi alisema mkataba waliokubaliana ulikuwa wa vichochoroni
Jana Joseph Kabila anamlaumu Tschekedi kukataa kuwatambua watutsi na Banyamulenge
Hii imekaaje?
Picha za ndani,aa familia!!..naomba za hadharaniPicha ya kwanza Olivie lemba mke wa JKK ,kulia ni Janette Kabila
Kuwa na nyumba masaki siyo tatizoAcha kudanganya Mkuu, Jannet hajawahi kufichwa popote pale,nijusaidie tu ana nyumba ,Masaki Dar es Salaam,acha uongo ,Janet amekua Hadi mbunge afichwe na nani na iweje ?
Wakati wavita vya Kagame tafuta uzi umo humu!Duh, alikua dereva!?..tusipeleke jeshi letu huko, utoto,lazima muuzwe kwa adui
Janet ni sura ya mzee laurent mwenyewe,inakuaje wanadai si mtoto wake wa kumzaa!Picha ya kwanza Olivie lemba mke wa JKK ,kulia ni Janette Kabila
Kajificha wapi wakati tupo naye humu humu bongoland.. na baada kaka yake kuwa rais yeye alikataa kurudi congo (labda kama alikuja kukubali baadae)... wale ni kwamba tu walizaliwa huko congo sijui rwanda ila maisha yao kwa kiasi kikubwa yapo huku bongo.. hata mijengo pia wanayo hukuNasikia mzee kabila alimuua na kumtosa ziwani wakirudi toka mapambano,halafu akamuoa mjane wake,akaasili na watoto wake mapacha, joseph na dadaake anayefichwa kama bangi
Kabila junior alikuwa anasimamia biashara ya malori ya baba yake kwa wale wa njia ya mbeya miaka hiyo wanamjuaBiashara Gani Mkuu
Watoto wa msasani... kamati ya laurent na masela wake ya kumuondoa mobutu maskani yao mara nyingi ilikuwa msasani..Acha kudanganya Mkuu, Jannet hajawahi kufichwa popote pale,nijusaidie tu ana nyumba ,Masaki Dar es Salaam,acha uongo ,Janet amekua Hadi mbunge afichwe na nani na iweje ?
Mkuu siasa za nchi hizi tatu ziko complicated, na vipi kama huyo kabila akurudia urais kama trumpAlifichwa kuondoa kuepusha kelele za wakongo,wakongo wakajua Jose siyo mwenzao wakiwa wamechelewa
Imekaa hiviHii imekaaje?
Kwamba ni lazima Baba na mtoto kuwa na mtazamo sawa auHabari wakuu
Laurent Kabila alikataa kuwatambua Banyamulenge na watutsi wengine kama raia wa Congo kiasi alisema mkataba waliokubaliana ulikuwa wa vichochoroni
Jana Joseph Kabila anamlaumu Tschekedi kukataa kuwatambua watutsi na Banyamulenge
Hii imekaaje?
Unajua kilichoulizwa lkn ? Swali lilikua Muzee Kabila na Muzee kanambe walikua na biashara Gani huko porini? Khs Kabila labda mie ndio nikuambie usiyoyajua ila wewe utaniambia uliyoyasoma na kuhadithiwaKabila junior alikuwa anasimamia biashara ya malori ya baba yake kwa wale wa njia ya mbeya miaka hiyo wanamjua
Kuna habari nilisoma kwenye gazeti la Rai miaka ya nyuma, kwamba Laurent hakuwa biological father wa Joseph na pia Joseph ana asili ya Rwanda baba yake Christopher.Habari wakuu
Laurent Kabila alikataa kuwatambua Banyamulenge na watutsi wengine kama raia wa Congo kiasi alisema mkataba waliokubaliana ulikuwa wa vichochoroni
Jana Joseph Kabila anamlaumu Tschekedi kukataa kuwatambua watutsi na Banyamulenge
Hii imekaaje?
Hahahaha, Msasani CorridorWatoto wa msasani... kamati ya laurent na masela wake ya kumuondoa mobutu maskani yao mara nyingi ilikuwa msasani..
Mi nadhani anachanganya na ile kwamba biashara zake alikuwa anawaweka watu front bila yeye kuonekana anatafsiri kuwa ni kufichwa.Acha kudanganya Mkuu, Jannet hajawahi kufichwa popote pale,nijusaidie tu ana nyumba ,Masaki Dar es Salaam,acha uongo ,Janet amekua Hadi mbunge afichwe na nani na iweje ?