musicarlito
JF-Expert Member
- Dec 29, 2020
- 368
- 556
Kabila junior ni mtutsi, mzee alimuoa mama yake akiwa kashazaliwa na baba yake alikuwa partner wake kibiasharaHabari wakuu
Laurent Kabila alikataa kuwatambua Banyamulenge na watutsi wengine kama raia wa Congo kiasi alisema mkataba waliokubaliana ulikuwa wa vichochoroni
Jana Joseph Kabila anamlaumu Tschekedi kukataa kuwatambua watutsi na Banyamulenge
Hii imekaaje?
Joseph siyo mtoto wa Laurent, Baba yake ni KabangeHabari wakuu
Laurent Kabila alikataa kuwatambua Banyamulenge na watutsi wengine kama raia wa Congo kiasi alisema mkataba waliokubaliana ulikuwa wa vichochoroni
Jana Joseph Kabila anamlaumu Tschekedi kukataa kuwatambua watutsi na Banyamulenge
Hii imekaaje?
Wakapime DNA pengine c mtoto wake ni wa kusingiziwaHabari wakuu
Laurent Kabila alikataa kuwatambua Banyamulenge na watutsi wengine kama raia wa Congo kiasi alisema mkataba waliokubaliana ulikuwa wa vichochoroni
Jana Joseph Kabila anamlaumu Tschekedi kukataa kuwatambua watutsi na Banyamulenge
Hii imekaaje?
Uko sahihiiBaba mzee kabila hakuwakataa wanyamulenge aliukataa mkataba uliotaka kugawa congo yaan kivu kusini na kaskazin ziwe nchi kwa maslahi ya watusi wachache na Rwanda
Ok akhsante kwa elimuBaba mzee kabila hakuwakataa wanyamulenge aliukataa mkataba uliotaka kugawa congo yaan kivu kusini na kaskazin ziwe nchi kwa maslahi ya watusi wachache na Rwanda
HahahahaAnatetea maslahi ya nchi yake ya asili, sishangai
Ok naanza kuelewa...hawafanani kiukweliKabila junior ni mtutsi, mzee alimuoa mama yake akiwa kashazaliwa na baba yake alikuwa partner wake kibiashara
Biashara Gani MkuuKabila junior ni mtutsi, mzee alimuoa mama yake akiwa kashazaliwa na baba yake alikuwa partner wake kibiashara
OwkJoseph siyo mtoto wa Laurent, Baba yake ni Kabange
Kuna mtoto wa kusingiziwa ?Wakapime DNA pengine c mtoto wake ni wa kusingiziwa
Tunajuvywa sio wake nyuzini humuWakapime DNA pengine c mtoto wake ni wa kusingiziwa
Hahahaha nakusalimia ili usikosee siku nyingine...ukisikia Mkongo anaitwa Kabange ujue huyo ni pacha ana pacha wake..hivyo Joseph Kabila Kabange ni pacha wa Janet KabilaJoseph siyo mtoto wa Laurent, Baba yake ni Kabange
One word, politicianHabari wakuu
Laurent Kabila alikataa kuwatambua Banyamulenge na watutsi wengine kama raia wa Congo kiasi alisema mkataba waliokubaliana ulikuwa wa vichochoroni
Jana Joseph Kabila anamlaumu Tschekedi kukataa kuwatambua watutsi na Banyamulenge
Hii imekaaje?
Hypolite kanombe kazembelembe a.k.a joseph kabila, mtusi wa RwandaKuna mtoto wa kusingiziwa ?
Haikua biashara bali muasi mwenzaBiashara Gani Mkuu
Hahahaha, unaelewa kweli Mkuu ? Hayo ni majina ,hakusingiziwa mtu someni historia basiHypolite kanombe kazembelembe a.k.a joseph kabila, mtusi wa Rwanda
Uzi humo humuhumu! Unaohusu hiyo histori ya Laurent Kabila na Joseph Kabila kimsingi Kabila(Joseph) ni mtusi na alishiriki kikamilifu vita vya RPF ya Kagame na akiwa kama dereva wake Kagame tafuta huo uzi humu!!Habari wakuu
Laurent Kabila alikataa kuwatambua Banyamulenge na watutsi wengine kama raia wa Congo kiasi alisema mkataba waliokubaliana ulikuwa wa vichochoroni
Jana Joseph Kabila anamlaumu Tschekedi kukataa kuwatambua watutsi na Banyamulenge
Hii imekaaje?