Inawezekanaje (baba)Laurent Kabila atofautiane kimtazamo na(mwana) Joseph Kabila?

Uzi humo humuhumu! Unaohusu hiyo histori ya Laurent Kabila na Joseph Kabila kimsingi Kabila(Joseph) ni mtusi na alishiriki kikamilifu vita vya RPF ya Kagame na akiwa kama dereva wake Kagame tafuta huo uzi humu!!
Sawa sawa natumesaidia sana kuweka taarifa vzr
 
hata mimi ningewakataa watutsi congo ningewarudisha Rwanda ambapo Rais wao kayibanda aliwatoa watutsi kama laki na kuwapeleka kweny nchi za watu. Vita vyao vya wahutu na watutsi ndo imepelekea huku ambayo vita hivyo vimesababishwa na mkoloni mshenzi mbelgiji.
 
Uzi humo humuhumu! Unaohusu hiyo histori ya Laurent Kabila na Joseph Kabila kimsingi Kabila(Joseph) ni mtusi na alishiriki kikamilifu vita vya RPF ya Kagame na akiwa kama dereva wake Kagame tafuta huo uzi humu!!
Duh, alikua dereva!?..tusipeleke jeshi letu huko, utoto,lazima muuzwe kwa adui
 
Haijakaa sawa kabisa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…