Inawezekanaje (baba)Laurent Kabila atofautiane kimtazamo na(mwana) Joseph Kabila?

Unajiita easy e halafu huna ukimwi,we ni bwege
 
Unajua kilichoulizwa lkn ? Swali lilikua Muzee Kabila na Muzee kanambe walikua na biashara Gani huko porini? Khs Kabila labda mie ndio nikuambie usiyoyajua ila wewe utaniambia uliyoyasoma na kuhadithiwa
Mzee kanambe na kabila walikuwa wanadeal na biashara ya madini. Na mzee kanambe nae alikuwa ni wale wakimbiz wa kitutsi waliofukuzwa wakat wa genocide ya kwanza. Niliisoma mahali kutoka mdogo wake kabila ambae ndie mtoto halisi wa kabila mzee. Huyu kabila junior wapo mapacha na dada yake
 
Hahahaha, ujue wewe unasoma mie niko in
 
Ok,mdg wa hao mapacha unamjua ?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…