Inawezekanaje mchepuko wa mwanamke kuwa mwanakamati wa sendoff ya mwanamke wake kwenda kuolewa na mtu mwingine?

Inawezekanaje mchepuko wa mwanamke kuwa mwanakamati wa sendoff ya mwanamke wake kwenda kuolewa na mtu mwingine?

Mkuu binafsi sina tatizo na X kuhudhuria harusi ya aliyekua mtu wake kama walishaachana. Mimi na jamaa mwingine ambaye tulishawahi kuwa wapenzi wa mdada flani mjini Dar tulichangia shughuli yake na kuhudhuria kiroho safi. Na hadi leo miaka kadhaa yule demu yuko poa na ndoa yake. Tatizo ni ile mtu anaolewa bado anaendelea kuliwa na X
Mkuu ukiona mpaka X ameshiriki ujue huyo bado wana connect. Halafu Mzee kibongo bongo X haziachani kivile, vijana wa mjini wanakwambia kiporo huwa hakihitaji moto mwingi kukipasha ili kiliwe tena.

Sent from my TECNO KC6 using JamiiForums mobile app
 
mama kasema hataki chawa wewe bado unashipaza shingo
 
Saint Anno umekuja kuwaje aisee? Mbona enzi za ujauzito wako ulikuwa mtulivu?
Labda nilijifungua utajuaje???

Kama ulivyokuwa unanishangaa mimi ndo hivyo hivyo nakushangaa na ujauzito wako mchanga usiokuwa na baba mmoja,ni wa nani huo?katibu mwenezi au m/kiti wa uvccm?
 
Labda nilijifungua utajuaje???

Kama ulivyokuwa unanishangaa mimi ndo hivyo hivyo nakushangaa na ujauzito wako mchanga usiokuwa na baba mmoja,ni wa nani huo?katibu mwenezi au m/kiti wa uvccm?
Unajua hii username yako inanizuia mno kukujibu hovyo ila unanilazimisha sana. Unaonaje tukakubaliana tu kuheshimiana mimi na wewe hadi hapo kutakapotokea ulazima wa kudharauliana?
 
VIJANA MSIOE JAMANI
NDOA NI UTAPELI
NDOA HAINA HUO UMUHIMU UNAO CHORWA
JALI AFYA YAKO YA AKILI
 
Mkuu katika utafiti usio rasmi ni kuwa kila sherehe ya harusi uliyowahi kuhudhuria huwa kuna aidha X wa Bibi harusi au X wa Bwana harusi au X wa pande zote huwa wanakuwepo kwenye harusi.
Tunaishi kwenye jamii ambayo imepoteza maana ya ndoa, na hivyo ndoa imeonekana ni kama stara tu lakini ile maana halisi imepotea.
Kwahiyo simshangai huyo jamaa, kinachofanyika hapo anapambania mpenzi wake na yeye apate stara (jamii imuone na yeye yupo kwenye ndoa) huku nyuma ya pazia jamaa anaendelea kufaidi mema ya nchi.
Na haya mambo huenda mbali zaidi hata kufikia baadhi ya wanandugu huwa wanajua ya kuwa ndugu yetu ameolewa au amemuoa fulani lakini bado anaendelea kuunganisha via vya uzazi na zilipendwa wake.
Sishangai wanaopigia chapuo vijana wakatae ndoa kwakuwa tunaishi kwenye jamii inahitaji zaidi harusi kuliko ndoa.

Sent from my TECNO KC6 using JamiiForums mobile app
Umesemaa sahihi kbsaa group la michangoo niliungwaa bwana harusi aliyetuungaa alikuwaa na maex Kama wanne hivii na wotee walitoa michango ya maanaaa😅😅😅...hivyoo vijana wanavyosemaa humu kataaa ndoaa tuwee tunawaelewaa tuuuuu...Marriage is a scam😅😅😅😅
 
Mkuu katika utafiti usio rasmi ni kuwa kila sherehe ya harusi uliyowahi kuhudhuria huwa kuna aidha X wa Bibi harusi au X wa Bwana harusi au X wa pande zote huwa wanakuwepo kwenye harusi.
Tunaishi kwenye jamii ambayo imepoteza maana ya ndoa, na hivyo ndoa imeonekana ni kama stara tu lakini ile maana halisi imepotea.
Kwahiyo simshangai huyo jamaa, kinachofanyika hapo anapambania mpenzi wake na yeye apate stara (jamii imuone na yeye yupo kwenye ndoa) huku nyuma ya pazia jamaa anaendelea kufaidi mema ya nchi.
Na haya mambo huenda mbali zaidi hata kufikia baadhi ya wanandugu huwa wanajua ya kuwa ndugu yetu ameolewa au amemuoa fulani lakini bado anaendelea kuunganisha via vya uzazi na zilipendwa wake.
Sishangai wanaopigia chapuo vijana wakatae ndoa kwakuwa tunaishi kwenye jamii inahitaji zaidi harusi kuliko ndoa.

Sent from my TECNO KC6 using JamiiForums mobile app
Ex wangu aliniomba mchango wa harusi yake na nihudhulie harusi yake.

Nilikataa na wala sikutoa kitu niliona ni usnitch sana kwa mwana.

Kina dada muwe mnawasahau na kufuta namba za ex wenu.

Jitu unaliuliza bado una mawasiliano na ex wako!? Linajibu ndio si ni kama marafiki tu, kuachana sio ugomvi.
Nyambaf kabisa, mwanamke wa hivi kuliwa na ex wake ni rahisi kama kumsukuma mlevi.

Mnaongea vinini hivyo na hamna mahusiano.!!
 
Back
Top Bottom