ministrant
JF-Expert Member
- Jan 17, 2014
- 754
- 1,478
Mkuu ukiona mpaka X ameshiriki ujue huyo bado wana connect. Halafu Mzee kibongo bongo X haziachani kivile, vijana wa mjini wanakwambia kiporo huwa hakihitaji moto mwingi kukipasha ili kiliwe tena.Mkuu binafsi sina tatizo na X kuhudhuria harusi ya aliyekua mtu wake kama walishaachana. Mimi na jamaa mwingine ambaye tulishawahi kuwa wapenzi wa mdada flani mjini Dar tulichangia shughuli yake na kuhudhuria kiroho safi. Na hadi leo miaka kadhaa yule demu yuko poa na ndoa yake. Tatizo ni ile mtu anaolewa bado anaendelea kuliwa na X
Ni kweli Mkuu!Nimefanya vibaya Sana.Najutia Sana na Mungu anisamehe.Ulifanya vibaya sana bro.
Labda nilijifungua utajuaje???Saint Anno umekuja kuwaje aisee? Mbona enzi za ujauzito wako ulikuwa mtulivu?
Unajua hii username yako inanizuia mno kukujibu hovyo ila unanilazimisha sana. Unaonaje tukakubaliana tu kuheshimiana mimi na wewe hadi hapo kutakapotokea ulazima wa kudharauliana?Labda nilijifungua utajuaje???
Kama ulivyokuwa unanishangaa mimi ndo hivyo hivyo nakushangaa na ujauzito wako mchanga usiokuwa na baba mmoja,ni wa nani huo?katibu mwenezi au m/kiti wa uvccm?
Niwe muungwana.Unajua hii username inanizuia mno kukujibu hovyo ila unanilazimisha sana. Unaonaje tukakubaliana tu kuheshimiana mimi na wewe hadi hapo kutakapotokea ulazima wa kudharauliana?
Asante sana. Nautangazia umma kuwa wewe sasa ni rafiki yangu hadi hapo mmoja wetu atakapozingua.Niwe muungwana.
Nisamehe kwa maandishi yangu hapa,nategemea hivi pia kutoka kwako.
Umesemaa sahihi kbsaa group la michangoo niliungwaa bwana harusi aliyetuungaa alikuwaa na maex Kama wanne hivii na wotee walitoa michango ya maanaaa๐ ๐ ๐ ...hivyoo vijana wanavyosemaa humu kataaa ndoaa tuwee tunawaelewaa tuuuuu...Marriage is a scam๐ ๐ ๐ ๐Mkuu katika utafiti usio rasmi ni kuwa kila sherehe ya harusi uliyowahi kuhudhuria huwa kuna aidha X wa Bibi harusi au X wa Bwana harusi au X wa pande zote huwa wanakuwepo kwenye harusi.
Tunaishi kwenye jamii ambayo imepoteza maana ya ndoa, na hivyo ndoa imeonekana ni kama stara tu lakini ile maana halisi imepotea.
Kwahiyo simshangai huyo jamaa, kinachofanyika hapo anapambania mpenzi wake na yeye apate stara (jamii imuone na yeye yupo kwenye ndoa) huku nyuma ya pazia jamaa anaendelea kufaidi mema ya nchi.
Na haya mambo huenda mbali zaidi hata kufikia baadhi ya wanandugu huwa wanajua ya kuwa ndugu yetu ameolewa au amemuoa fulani lakini bado anaendelea kuunganisha via vya uzazi na zilipendwa wake.
Sishangai wanaopigia chapuo vijana wakatae ndoa kwakuwa tunaishi kwenye jamii inahitaji zaidi harusi kuliko ndoa.
Sent from my TECNO KC6 using JamiiForums mobile app
.
Asante sana. Nautangazia umma kuwa wewe sasa ni rafiki yangu hadi hapo mmoja wetu atakapozingua.
Hujatengua hii kauli,tuwe watu wa haki fanya kama nilivyofanya mimi hapo juu.Saint Anno umekuja kuwaje aisee? Mbona enzi za ujauzito wako ulikuwa mtulivu?
Ex wangu aliniomba mchango wa harusi yake na nihudhulie harusi yake.Mkuu katika utafiti usio rasmi ni kuwa kila sherehe ya harusi uliyowahi kuhudhuria huwa kuna aidha X wa Bibi harusi au X wa Bwana harusi au X wa pande zote huwa wanakuwepo kwenye harusi.
Tunaishi kwenye jamii ambayo imepoteza maana ya ndoa, na hivyo ndoa imeonekana ni kama stara tu lakini ile maana halisi imepotea.
Kwahiyo simshangai huyo jamaa, kinachofanyika hapo anapambania mpenzi wake na yeye apate stara (jamii imuone na yeye yupo kwenye ndoa) huku nyuma ya pazia jamaa anaendelea kufaidi mema ya nchi.
Na haya mambo huenda mbali zaidi hata kufikia baadhi ya wanandugu huwa wanajua ya kuwa ndugu yetu ameolewa au amemuoa fulani lakini bado anaendelea kuunganisha via vya uzazi na zilipendwa wake.
Sishangai wanaopigia chapuo vijana wakatae ndoa kwakuwa tunaishi kwenye jamii inahitaji zaidi harusi kuliko ndoa.
Sent from my TECNO KC6 using JamiiForums mobile app
Nimetengua kauli zote za maudhi dhidi yakoHujatengua hii kauli,tuwe watu wa haki fanya kama nilivyofanya mimi hapo juu.
Ukuje basi siku moja mama unitembelee, yaani utabarikiwa sana akeeKambi ya Fisi ni mtaa ninaouheshimu sana.
Bro mimi sio mama. Soma Username yangu kwa utulivu utaelewa.Ukuje basi siku moja mama unitembelee, yaani utabarikiwa sana akee