Inawezekanaje mke kumnyima mume wake unyumba?

Inawezekanaje mke kumnyima mume wake unyumba?

Hakuna ushahidi atakushtaki kwa kigezo kipi wakati ni mke wake wa ndoa si ataonekana kituko?

Hio ya kubaka ipo na ukishambaka hakufanyi kitu Ila atakachokufanya siku za mbeleni hutoamini huwajui vizuri hawa viumbe ni Nusu watu Nusu mashetani

Jaji Mfawidhi report
Narejea tena nashangazwa sana kuwa kuna watanzania hadi leo wanadhani kuwa ni ok kumbaka mkeo. Ukweli ni kuwa kubaka ni kubaka tu na endapo mke akiamua kumripoti mumewe kuwa amembaka basi sheria inamtia hatiani mume. Inasikitisha sana tena sana kuwa kuna watu wanadhani kubaka ni jambo linalokubalika katika jamii yetu na wanaona ni jambo la kuja kujifaharia hapa! wacheni kubaka wanawake zenu, kubaka ni udhalilishaji. Sex inatakiwa kuwa enjoyment na sio kulazimishana na kuumizana!!!!!
 
Narejea tena nashangazwa sana kuwa kuna watanzania hadi leo wanadhani kuwa ni ok kumbaka mkeo. Ukweli ni kuwa kubaka ni kubaka tu na endapo mke akiamua kumripoti mumewe kuwa amembaka basi sheria inamtia hatiani mume. Inasikitisha sana tena sana kuwa kuna watu wanadhani kubaka ni jambo linalokubalika katika jamii yetu na wanaona ni jambo la kuja kujifaharia hapa! wacheni kubaka wanawake zenu, kubaka ni udhalilishaji. Sex inatakiwa kuwa enjoyment na sio kulazimishana na kuumizana!!!!!
Wanabakwa sana tu akipeleka kesi hio inakua kesi ya kifamilia mnawekwa chini mmalizane tofauti zenu na mlolongo wake mpaka kufika Mahakamani sio mdogo lazima uanzie kwa Baba Paroko au Bakwata wakishindwa ndio wanakupa barua ya kwenda kufungua shauri Mahakamani unachukulia poa au?

Na usichokijua ni kwamba hakuna popote ilipoandikwa kwenye Sheria ya Ndoa kwamba 'mwanamke inabidi amnyime mumewe unyumba' Ila mwanamke asipoweza kupigwa paipu na mumewe wa Ndoa ni kigezo tosha kinachomwezesha Mwanamke kudai haki yake ya Tendo la Ndoa na kufungua faili/shauri la kuomba divorce (Talaka) Mahakamani yaan kuachana na huyo mwanaume kwa maana 'hasimamishi na hampigi paipu' na Mahakama ikijiridhisha pasina shaka yoyote kua kweli Mwanaume hana uwezo wa kusimamisha Ndoa hio inavunjwa mara moja

Kingine hakuna kifungua kwenye Sheria ya Ndoa kinachokataza Mwanamke alieolewa mumewe asimpige paipu iwe kwa hiari au kwa lazima, hakuna kifungu kwenye sheria ya Ndoa kinachomzuia Mwanaume asifanye mapenzi na mke wake iwe kwa hiari au kwa lazima, hakuna kifungu kwenye sheria ya Ndoa kinachomwelekeza mwanamke kupanga ratiba ya kupigwa paipu na mume wake wa Ndoa, ukikubari kuolewa usilale na chupi lala uchi tena tanua mapaja na usilete habari kupangiana ratiba za kupigwa paipu wakati umetaka mwenyewe kuolewa na unajua Ndoa ni nini au unafikiri Ndoa ni kurudisha marejesho ya Vicoba?

Nakala yako moja pokea Jaji Mfawidhi kazia ile report yako ya hukumu
 
Yaani kilichokutoa kwenu ni hiyo kitu ufike kwangu unipangie ratiba, mara hujisikii sijui subiri kesho asubuhi? No no big NO, Mi ndo kuamua niipige au leo nimechokaa, leo hapana na leo sijisikii basi.
Sio mke anipangie na michepuko ninayo na 2 anaujua make nimezaa naye
 
Mimi nikinyimwa unyumba na hakuna sababu nadhani mwanamke ataomba poo kw yatakayotokea.Mbususu nje ziko kibao nitadili nazo haswa na nitamkataa kila kitu hata chakula sitakula ndani mpaka atarudi kwao.
 
Atakukaanga! Jaji Mfawidhi kazia ile report yako
View attachment 2721375
Sasa kuna uhusiano gani na kumbaka na yeye kukupa limbwata la kuzidi kumpenda?

Yaani,
Kumbaka = Yeye kukufanyia limbwata uzidi kumpenda na kuona wanawake wengine kinyesi?

Ulielewa swali langu kweli?
Umehitimisha kwa hoja zisizoendana na ulichoongea.

Logical non sequitur
 
Huwezi kunyimwa unyumba tu...

Kuna sababu hapo...

Wanaume mnaishia kulalamika kinyimwa bila kujua yaliyosababisha...

Hizi ni baadhi ya sababu...

Kama mkeo anasumbuliwa na fungus/UTI mara nyingi wanawake wanapoteza hamu ya tendo la ndoa...

Migogoro ya mara kwa mara...

Maandalizi pia kama humuandai anaweza kuwa anapata msuguano...

Hivyo anakosa hamu na tendo...
 
FB_IMG_16923038395060559.jpg
 
Back
Top Bottom