Mzee wa kupambania
JF-Expert Member
- Aug 14, 2022
- 21,111
- 53,092
Vipi na wewe unyumba mpaka uumtongoze mkeo au anakupea bila kukupimia?mzabzab na Mzee wa kupambania nyuzi zenu hizi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Vipi na wewe unyumba mpaka uumtongoze mkeo au anakupea bila kukupimia?mzabzab na Mzee wa kupambania nyuzi zenu hizi
Mkuu bado nawachapa kwanza maswala ya kuowa bado halafu lile jimama la ambiance pale ulilonipa lipo humble sanaVipi na wewe unyumba mpaka uumtongoze mkeo au anakupea bila kukupimia?
Lile jimama nalikubali sana. Vipi umeshalichapa nao mara ngapi mpaka sasa?halafu lile jimama la ambiance pale ulilonipa lipo humble
NDOA NI UTAPELIMkuu bado nawachapa kwanza maswala ya kuowa
Mara mbili mkuu sema mwanzo ilikuwa mbinde coz alikuwa muoga kumet namimi akidhani atatekwaLile jimama nalikubali sana. Vipi umeshalichapa nao mara ngapi mpaka sasa?
Hongera sana, inapendez kwa kweli. Mara nyingi inakuwaga hivyo hasa ikiwa mliwasiliana kwa simu.Mara mbili mkuu sema mwanzo ilikuwa mbinde coz alikuwa muoga kumet namimi akidhani atatekwa
Shukran mkuu sema anabusara sana yule mwanamkeHongera sana, inapendez kwa kweli. Mara nyingi inakuwaga hivyo hasa ikiwa mliwasiliana kwa simu.
Hujaelewa wewe hiyo nimekupa km case study tu Ila sio kwamba anaenda kukupiga limbwata bwana mdogoSasa kuna uhusiano gani na kumbaka na yeye kukupa limbwata la kuzidi kumpenda?
Yaani,
Kumbaka = Yeye kukufanyia limbwata uzidi kumpenda na kuona wanawake wengine kinyesi?
Ulielewa swali langu kweli?
Umehitimisha kwa hoja zisizoendana na ulichoongea.
Logical non sequitur
Sana ni mwelewa mnoShukran mkuu sema anabusara sana yule mwanamke
Ah huyu boya unanyimwa mbususu kivipi jamani? Mie sielewi kabisa. Ilivyo tamu ile kitumzabzab na Mzee wa kupambania nyuzi zenu hizi
🤣🤣Ah huyu boya unanyimwa mbususu kivipi jamani? Mie sielewi kabisa. Ilivyo tamu ile kitu
Mimi sijawahi kunyimwa unyumba toka nimeanza kuishi nae mpka ndoa,labda awe anaumwa au kuchoka...siku akininyima ntaondoka ucku huo kwenda kulala kwa mahawara zangu dadadeki zakeHabarini wandugu,
Moja kwa moja kwenye mada yetu.
Rafiki yangu mmoja aliniuliza `Hivi King Jody umewahi kunyimwa unyumba na mke wako? Nikamjibu hapana, hata mara moja, nikamwambia nipo kwenye ndoa kwa zaidi ya mika 10 sijawahi nyimwa hata mara moja hata kama tumepishana kauli nikihitaji napewa na itakuwa sehemu ya kumaliza ugomvi kati yetu.
Jamaa akaniambia aisee una bahati sana, mimi huwa nanyimwa, sababu siijui na nikipewa ni kwa masharti,
nataka niachane na mke wangu, nioe mwingine.
Wanajamii nimshauri vp huyu rafiki yangu, wewe pia unaweza kumshauri, lakini swali langu ni je, haya mambo yapo kwenye ndoa? kama yapo nini huwa chanzo?
Je, wewe umewahi kukutana na tatizo kama hili?
Tujadiliane ili tupate kujifunza.
Asanteni.
Mkuu kwaiyo yeye hajistukii na yupo na furaha kabisa ndani ya Nyumba?Mi wakwangu alininyima muda mrefu sana,nikaona sina haja ya kuendelea kumsumbua nikaacha kumwomba sex kabisa.nipo kimya miaka 3 na nusu sasa
Duh Miaka mitatu?Mi wakwangu alininyima muda mrefu sana,nikaona sina haja ya kuendelea kumsumbua nikaacha kumwomba sex kabisa.nipo kimya miaka 3 na nusu sasa