Tumwesige senior
JF-Expert Member
- Jan 28, 2013
- 3,506
- 6,305
Hapanadu, we dharay hauna?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapanadu, we dharay hauna?
sauwaHapana
Kweliuweee
Ukiona hivyo ujue mke ndio tatizo, hivyo jamaa kapata alivyokuwa ananyimwa kwa makusudi na mke wake, ila kwa mchepuko anavipata sasa kwann asimpende?Haya nimeulizwa hilo swalo naomba jibu
Nyie mnaopenda michepuko sana kuliko wake za ndoa mje mjibu nini mbaya?
Na sahivi imekuwa kama tabia na inaenda kuwa legalised
Sijui mtaishia vipi watoto wa sahivi?
mwenye tatizo kama mwanaume anatoa huduma zote nyumbaniUkiona hivyo ujue mke ndio tatizo, hivyo jamaa kapata alivyokuwa ananyimwa kwa makusudi na mke wake, ila kwa mchepuko anavipata sasa kwann asimpende?