Inawezekanaje mtu akampenda mchepuko sana kuliko mke wa ndoa?

Haya nimeulizwa hilo swalo naomba jibu

Nyie mnaopenda michepuko sana kuliko wake za ndoa mje mjibu nini mbaya?

Na sahivi imekuwa kama tabia na inaenda kuwa legalised

Sijui mtaishia vipi watoto wa sahivi?
Ukiona hivyo ujue mke ndio tatizo, hivyo jamaa kapata alivyokuwa ananyimwa kwa makusudi na mke wake, ila kwa mchepuko anavipata sasa kwann asimpende?
 
hakuna mke
Ukiona hivyo ujue mke ndio tatizo, hivyo jamaa kapata alivyokuwa ananyimwa kwa makusudi na mke wake, ila kwa mchepuko anavipata sasa kwann asimpende?
mwenye tatizo kama mwanaume anatoa huduma zote nyumbani
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…