GoldDhahabu
JF-Expert Member
- Apr 29, 2023
- 7,189
- 10,375
- Thread starter
-
- #321
Kumbe si mimi peke yangu niliye na huo mtazamo.Wapigania uhuru wengi walijawa na chuki dhidi ya wakoloni, walitaka sana wapate madaraka
Hawakuwa wazalendo, wao walikuwa wanataka uongozi tu.Kumbe si mimi peke yangu niliye na huo mtazamo.
Nilipokuwa shule ya Msingi, kutokana na tulivyofundishwa, niliamini walikuwa wazalendo sana.
Lakini baada ya kukua, nilibaini baadhi ya waliojulikana kama wapigania uhuru walikuwa wabaya sana kuzidi Wakoloni weupe. Walitawaliwa na ubinafsi uliopitiliza.
Kuamua ni kuchagua na kuchagua ni kuamuaDenmark inatarajia kuufunga ubalozi wake nchini Tanzania ifikapo 2024. Ni kati ya nchi ambazo zimekuwa zikiipa Tanzania misaada, tokea ikiitwa Tanganyika hadi sasa ikiwa inajulikana kwa jina adhimu, Tanzania.
Lakini Denmark ni nchi ya namna gani?
Ukifanya ulinganisho, Tanzania imeizidi kwa mambo mengi isipokuwa ujinga na umaskini. Ina rasilimali nyingi sana kuizidi, na hata idadi ya watu tumeipita mbali sana.
Denmark, ni kanchi kadoogo, kenye ukubwa wa kilomita za mraba 42,920 lakini inaizidi kiuchumi Tanzania, nchi Kuubwa kieneo, yenye kilomita za mraba 945,087.
Denmark, ni kanchi kadoogo kenye watu milioni tano lakini inaipa misaada nchi kuubwa, Tanzania, yenye watu milioni sitini na moja.
Ni nini siri ya kanchi kadogo kuizidi nchi kubwa kama Tanzania? Imekuwa ikiisadia Tanzania tokea 1963, enzi hizo ikiitwa Tanganyika, lakini hakuna taarifa ya Tanzania ambayo ni nchi kubwa kuisaidia Denmark kanchi kadogo.
Imewezekanaje kwao lakini kwetu ikashindikana?
Mwingine anaweza kusema ni kwa sababu ya ukoloni, lakini hilo halina mashiko. Hata Korea Kusini ilishawahi kuwa koloni la Japan, lakini kwa sasa wanatukimbiza kiuchumi.
Ni nini walichogundua hao watu weupe ambao weusi wa Tanganyika na Zanzibar hawajagundua?
Angalia, hata eneo la Korea Kusini ni dogo sana ukililinganisha na ukubwa wa Tanzania. Ina kilomita za mraba 100,210 na watu milioni hamsini na moja.
Inawezekanaje kanchi kadoogo, Denmark, kuipa misaada nchi kuubwa, Tanzania?
😂😂😂Kuamua ni kuchagua na kuchagua ni kuamua
Watanganyika wamedanganywa sana, na bado wanadanganywa!Hawakuwa wazalendo, wao walikuwa wanataka uongozi tu.
Nyerere bila kukoswa koswa pinduliwa asingetoka.
Alitoka ila bado alikuwa na uwezo wa kuamia ie 1992
Singapore , sychelles, Mauritius, Botswana, Namibia, Zina miaka mingapiNchi Ina miaka 60 ila mnataka maajabu ya kiuchumi?
CCM hawana nia njema na Tanzania.Watanganyika wamedanganywa sana, na bado wanadanganywa!
Ujinga ni mzigo mzito sana!!!
Kwanini Hizo internal na external forces ziwepo kwenye nchi zote za weupe tu tena walioko kwenye mabara tofauti tofauti ila zisiwepo kweye nchi zote zenye waafrika tena sio wa bara moja tu bali kwenye mabara tofauti tofauti.?Sasa apo kuna mabo mengi sana ambayo yametutofautisha mpaka wao wameweza kuwa developed country, hizi zote zinaweza kuwa na sababu nyingi kama internal forec and external force yaan factors ambazo zimechangia
Tafadhali mkuu, usimfananishe mtu mweusi na nyani, tafadhali!Kwanini Hizo internal na external forces ziwepo kwenye nchi zote za weupe tu tena walioko kwenye mabara tofauti tofauti ila zisiwepo kweye nchi zote zenye waafrika tena sio wa bara moja tu bali kwenye mabara tofauti tofauti.?
Huoni ajabu?
Hakuna cha forces wala nini shida sisi akili zetu zimemzidi nyani kidogo tu.
Wa kuifuta wapo wapi mzee kama unajengewa matundu ya vyoo kwa msaada huku unagawa ma V8 viongozi na wastaafuJitihada zifanyike kuifuta!
Lazima kuwe na utofauti ili mambo yaende hatuwez tuka wote sawa maana kama ni hivo tutakuwa hakuna maendeleoKwanini Hizo internal na external forces ziwepo kwenye nchi zote za weupe tu tena walioko kwenye mabara tofauti tofauti ila zisiwepo kweye nchi zote zenye waafrika tena sio wa bara moja tu bali kwenye mabara tofauti tofauti.?
Huoni ajabu?
Hakuna cha forces wala nini shida sisi akili zetu zimemzidi nyani kidogo tu.
Atakayekasirishwa na yanyoendelea. Naamini wewe ni mmoja wao.Wa kuifuta wapo wapi mzee kama unajengewa matundu ya vyoo kwa msaada huku unagawa ma V8 viongozi na wastaafu
Usije ujatamka hayo mbele ya Trump. Alishawahi kutoa kejeli mbaya sana ya kibaguzi dhidi ya Bara la Afrika.Lazima kuwe na utofauti ili mambo yaende hatuwez tuka wote sawa maana kama ni hivo tutakuwa hakuna maendeleo
Ndo maana kuna wajinga na walevu, kuna tajira na maskini
So hizo force ziko tu hata nchi zetu hz za africa ziko sema tu viongoz wetu ndio ambao wanatuangusha hawana kile cha kupoteza
Wenzetu wazungu wanajali sana maendeleo ya kila mtu sio selfish kama watu weusi na wako well civilized sisi bado
Waafrica bado hatujawa na akili ya kujiongoza wenyewe japokuwa tuna uhuru ila bado tuko nyuma sana
Dr Congo wanelogwa na chama gani?
Maeneo mengine hata vyoo "havifahamiki", labda siku hizi.Wa kuifuta wapo wapi mzee kama unajengewa matundu ya vyoo kwa msaada huku unagawa ma V8 viongozi na wastaafu
Ni kweli. Nini kifanyike kubadili huo mwelekeo?Waswahili tumekosa uwajibikaji, Kila mmoja anafanya vitu kwa maslahi yake binafsi
Sidhani ni tangu tulipopata uhuru, sema tangu tulipozaliwa.
Maana kama ni misingi mibaya baada ya uhuru, mpaka leo ni miaka mingapi? Hiyo misingi mibaya kwa nini haibadilishwi? Mbona mataifa mengine yaliyopata uhuru baadaye, kama Botswana na Namibia, wao angalao wanapiga hatua kwa kasi?
Afrika si maskini, ila sehemu kubwa ya watu wake wana fikra maskini.Masikini Afrika
Ni mtu kama wewe, mwenye uchungu na nchi yake ndiye anayeweza kuchochea mabadiliko.Aisee mkuuu una uchungu sana, mwenyewe ninaumia mno kuona ushenzi unaoendelea miongoni mwetu waafrika,
Nasemaje kwa yeyote atakayepata fursa ya kutimukia nje ya bara hili la shida hasa nch yetu hii asichezee hyo fursa.