Inawezekanaje nchi ndogo ya Denmark kuipa misaada nchi kuubwa Tanzania?

Wakitokea viongozi wenye akili kubwa hawakawii kuitwa madikteta na hawakawii kuuliwa ili wapumbavu waendelee kushika dola.
 
China ilikua na uchumi uliokaribiana na WA TANGANYIKA 1961,

Back in 1960 — sixty-two years ago — China was poorer than most African countries. Per capita income in China in 1960 was US$89. Congo, Cote d'Ivoire, Ghana, Kenya, Liberia, Nigeria, Senegal, and South Africa were all richer than China.

That's what happened 😭😭😭
 
Kama tumeshindwa kujifunza kwa Mzungu kwa kuwa hatumwamini beberu, basi tukajifunze kwa Mchina "tunayemwamini" kuwa ni rafiki wa kweli!

Hali yoyote ile, utajiri au umaskini, husababishwa, hivyo inawezekana kujifunza pia kufanikiwa au kutofanikiwa.
 
Kama tumeshindwa kujifunza kwa Mzungu kwa kuwa hatumwamini beberu, basi tukajifunze kwa Mchina "tunayemwamini" kuwa ni rafiki wa kweli!

Hali yoyote ile, utajiri au umaskini, husababishwa, hivyo inawezekana kujifunza pia kufanikiwa au kutofanikiwa.
Hata viongozi waheshimiwa wengi wakitaifa wakiulizwa Tatizo ni nini hawana JAWABU 👀👀
 
Nchi zako Zina umri Gani?
 
Mambo gani yame badilika 🤔
Watu wameshaanza kuamka. Sasa ni tofauti kidogo na zama za ZIDUMU FIKRA ZA MWENYEKITI. Si unaona hata wewe mwenyewe unavyokwazika?

Mimi naamini, siku za mbeleni, tena siyo mbali saana, hali itakuwa tofauti sana. Fikra mpya na chanya zinaendelea kuibuka.
 
Samahani mkuu, naomba nikuulize kama hutojali. Wewe ni Mzungu au Mweusi?

Ila samahani kama nitakuwa nimekukwaza.
Najua lengo la swali lako.
Kwamba kwa vile mim ni mweusi nipingane na ukweli kuwa mtu mweusi ni janga na hana akili.

Natamani kupinga na kusema kwa fuahari kuwa mim mtu mweusi ni bora na mwenye akili kama binadamu wengine wote ila nafsi inanisuta sababu sio kweli na hata nikijidanganya kuwa nina akili kama wazungu haitasaidia kitu.
 
Rushwa na uzembe ni miongoni mwa sababu zinazoturudisha nyuma sisi hapa Tanzania.
Sababu nyingine ni ufisadi miongoni mwa watumishi wa serikali.

Sent from my TECNO BB2 using JamiiForums mobile app
 
Labda kama unamaanisha Chato kuwa kama Ulaya
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…