Inawezekanaje nchi ndogo ya Denmark kuipa misaada nchi kuubwa Tanzania?

Inawezekanaje nchi ndogo ya Denmark kuipa misaada nchi kuubwa Tanzania?

Kuna mwamba alisema Africa hasa kusini mwa jangwa la sahara tukihamishiwa nchi za ulaya nao wakaletwa kuishi hapa Africa... Kwamba baada ya miaka 5 tutakuja kuomba msaada nilicheka sana... Ila ni kama. Kuna ukweli ndani yake

By the way... Kwann wanafunga ubalozi wao!??
Japo inauma, lakini kama kuna ukweli ndani yake!

We unafikiri ingekuwaje kama weusi wangefanikiwa kuwaondoa weupe wote South Africa?
 
Sidhani ni tangu tulipopata uhuru, sema tangu tulipozaliwa.

Maana kama ni misingi mibaya baada ya uhuru, mpaka leo ni miaka mingapi? Hiyo misingi mibaya kwa nini haibadilishwi? Mbona mataifa mengine yaliyopata uhuru baadaye, kama Botswana na Namibia, wao angalao wanapiga hatua kwa kasi?
Ongezea na kanchi kadoogo, tena jirani yetu, Rwanda.
 
mifumo ya Europe na kwetu ni tofauti kabisa.Uwajibikaji uko juu sana.kwa pande zote kwa serikali na kwa wananchi

Huko ulaya wanachi wanaogopwa sana na wanasiasa huku kwetu wanasiasa wanaogopwa sana na wananchi.

Yaani serikali unaiweka madarakani mwenyewe halafu ikishaingia inaanza kukukupa vitisho ukiihoji

Tz ni nchi ya matamko,vitisho na upigaji kwa ngazi zote
Na Serikali inapofanya jambo la maendeleo kwa kodi iliyotoza wananchi wake, inachukuliwa kama ni jambo la fadhila na siyo wajibu wa Serikali.
 
Tatizo letu ni misingi mibovu iliwekwa toka tulipopata uhuru.
Naungana na wewe

Nyerere ndo aliipoteza nchi

Akiweka katiba inayomlinda yeye na chama chake

Hakuwekeza katika tafiti kuhusu ukuaji wa nchi miaka 50 ijayo.

Hakuwekeza katika elimu bora na miundombinu bora

Matatizo yote ya Tanzania yameanza baada ya Yeye kuwa Rais
 
Magufuli alipotaka kuigeuza Tanzania iwe sawa na nchi za Ulaya mlimfanyaje? Mnataka maendeleo lakini hamtaki namna ya kuyafikia hayo maendeleo. Maendeleo ni malengo, nidhamu, kujitoa mhanga (self sacrifice), bidii ya kazi, uadilifu na kutambua vipaji na ubunifu na kuvitumia ipasavyo. Ulaya wameweza kuviunganisha hivyo vyote kufikia hapo walipo. Sisi hapa bado tunajitafta na akija mwenye mawazo kama hayo bado hatumwelewi. Tutachelewa sana.
Kwa kujenga Ikulu na Airport kijijini?
 
Kwa ufupi mtu mweupe kabarikiwa. Na zaidi sisi mijitu mieusi tunateswa na ubinfsi. Angali kiongozi wetu ananunua goli million 20 nchi gani taifa gani raisi ananunua goli la timu ya klabu kama sio ufisadi nini
Mwenzako anawaza 2025
 
Hata France, Tanzania ni mara mbili ya France ambayo Ipo G7

Popote pale ninapoona miaafrica naona wizi, kukata Tamaa, njaa, ujinga, maradhi n.k.
Mfano Haiti imepakana na Marekani lakini ni maskini hoehae haina tofaut na Burundi..
Hizo picha ni Haiti
TransformKobonal-VeroniqueBeforeImgF.jpg


images (20) (8).jpeg
 
Naungana na wewe

Nyerere ndo aliipoteza nchi

Akiweka katiba inayomlinda yeye na chama chake

Hakuwekeza katika tafiti kuhusu ukuaji wa nchi miaka 50 ijayo.

Hakuwekeza katika elimu bora na miundombinu bora

Matatizo yote ya Tanzania yameanza baada ya Yeye kuwa Rais
Kati ya makosa ninayoamini yalifanywa na baba wa Taifa ni kukumbatia sera ya Ujamaa.

Japo inawezekana ujamaa ulisaidia kutufanya kuwa wamoja, ulichangia pakubwa kutudidimiza kiuchumi.
 
Kati ya makosa ninayoamini yalifanywa na baba wa Taifa ni kukumbatia sera ya Ujamaa.

Japo inawezekana ujamaa ulisaidia kutufanya kuwa wamoja, ulichangia pakubwa kutudidimiza kiuchumi.
Huko alipo aongezewe dhambi
 
Kuna mwamba alisema Africa hasa kusini mwa jangwa la sahara tukihamishiwa nchi za ulaya nao wakaletwa kuishi hapa Africa... Kwamba baada ya miaka 5 tutakuja kuomba msaada nilicheka sana... Ila ni kama. Kuna ukweli ndani yake

By the way... Kwann wanafunga ubalozi wao!??
Huo ndo ukweli kaka, japo ukweli mchungu kwetu.
 
Ni kama kujiuliza kwa nini ubongo ni mdogo na unauongoza mwili mzima.
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Angalia viongozi wako walivyo alafu utaelewa
Ndiyo kusema, LIKE THE FATHER, LIKE THE SON?

Dr. John C. Maxwell, Mwalimu mashuhuri wa uongozi hakukosea aliposema, EVERYTHING RISES AND FALLS ON LEADERSHIP.

Hata hivyo, ingawa viongozi umechangia kuifanya nchi kuwa kama ilivyo, ujue ni kwa sababu wananchi "wamewasaidia" kutimiza azma yao.
 
Back
Top Bottom