Inawezekanaje nchi ndogo ya Denmark kuipa misaada nchi kuubwa Tanzania?

Inawezekanaje nchi ndogo ya Denmark kuipa misaada nchi kuubwa Tanzania?

Hata France, Tanzania ni mara mbili ya France ambayo Ipo G7

Popote pale ninapoona miaafrica naona wizi, kukata Tamaa, njaa, ujinga, maradhi n.k.
Mfano Haiti imepakana na marekani lakini ni maskini hoehae haina tofaut na Burundi..
Hizo picha ni Haiti
View attachment 2642956

View attachment 2642957
Unaposema France unamaanisha nini?
Kwamba France kale ka sehemu ya Ulaya tu ambapo empire yake kule west Africa, Visiwa vya Carebean , Guyana, Mayote viko chini yake au France mtaa uliopo kule Sumbawanga?

Mwingine kaitaja Denmark hajui kuwa Greenland ni sehemu ya Denmark?
 
Kati ya makosa ninayoamini yalifanywa na baba wa Taifa ni kukumbatia sera ya Ujamaa.

Japo inawezekana ujamaa ulisaidia kutufanya kuwa wamoja, ulichangia pakubwa kutudidimiza kiuchumi.
Hakukuwa na makosa yoyote maana nchi haikuwa tayari kuingia kwenye Ubepari
 
Denmark inatarajia kuufunga ubalozi wake nchini Tanzania ifikapo 2024. Ni kati ya nchi ambazo zimekuwa zikiipa Tanzania misaada, tokea ikiitwa Tanganyika hadi sasa ikiwa inajulikana kwa jina adhimu, Tanzania.

Lakini Denmark ni nchi ya namna gani?

Ukifanya ulinganisho, Tanzania imeizidi kwa mambo mengi isipokuwa ujinga na umaskini. Ina rasilimali nyingi sana kuizidi, na hata idadi ya watu tumeipita mbali sana.

Denmark, ni kanchi kadoogo, kenye ukubwa wa kilomita za mraba 42,920 lakini inaizidi kiuchumi Tanzania, nchi Kuubwa kieneo, yenye kilomita za mraba 945,087.

Denmark, ni kanchi kadoogo kenye watu milioni tano lakini inaipa misaada nchi kuubwa, Tanzania, yenye watu milioni sitini na moja.

Ni nini siri ya kanchi kadogo kuizidi nchi kubwa kama Tanzania? Imekuwa ikiisadia Tanzania tokea 1963, enzi hizo ikiitwa Tanganyika, lakini hakuna taarifa ya Tanzania ambayo ni nchi kubwa kuisaidia Denmark kanchi kadogo.

Imewezekanaje kwao lakini kwetu ikashindikana?

Mwingine anaweza kusema ni kwa sababu ya ukoloni, lakini hilo halina mashiko. Hata Korea Kusini ilishawahi kuwa koloni la Japan, lakini kwa sasa wanatukimbiza kiuchumi.

Ni nini walichogundua hao watu weupe ambao weusi wa Tanganyika na Zanzibar hawajagundua?

Angalia, hata eneo la Korea Kusini ni dogo sana ukililinganisha na ukubwa wa Tanzania. Ina kilomita za mraba 100,210 na watu milioni hamsini na moja.

Inawezekanaje kanchi kadoogo, Denmark, kuipa misaada nchi kuubwa, Tanzania?
Mentality Waafrika tunamentality ya kimasikini.
 
Denmark inatarajia kuufunga ubalozi wake nchini Tanzania ifikapo 2024. Ni kati ya nchi ambazo zimekuwa zikiipa Tanzania misaada, tokea ikiitwa Tanganyika hadi sasa ikiwa inajulikana kwa jina adhimu, Tanzania.

Lakini Denmark ni nchi ya namna gani?

Ukifanya ulinganisho, Tanzania imeizidi kwa mambo mengi isipokuwa ujinga na umaskini. Ina rasilimali nyingi sana kuizidi, na hata idadi ya watu tumeipita mbali sana.

Denmark, ni kanchi kadoogo, kenye ukubwa wa kilomita za mraba 42,920 lakini inaizidi kiuchumi Tanzania, nchi Kuubwa kieneo, yenye kilomita za mraba 945,087.

Denmark, ni kanchi kadoogo kenye watu milioni tano lakini inaipa misaada nchi kuubwa, Tanzania, yenye watu milioni sitini na moja.

Ni nini siri ya kanchi kadogo kuizidi nchi kubwa kama Tanzania? Imekuwa ikiisadia Tanzania tokea 1963, enzi hizo ikiitwa Tanganyika, lakini hakuna taarifa ya Tanzania ambayo ni nchi kubwa kuisaidia Denmark kanchi kadogo.

Imewezekanaje kwao lakini kwetu ikashindikana?

Mwingine anaweza kusema ni kwa sababu ya ukoloni, lakini hilo halina mashiko. Hata Korea Kusini ilishawahi kuwa koloni la Japan, lakini kwa sasa wanatukimbiza kiuchumi.

Ni nini walichogundua hao watu weupe ambao weusi wa Tanganyika na Zanzibar hawajagundua?

Angalia, hata eneo la Korea Kusini ni dogo sana ukililinganisha na ukubwa wa Tanzania. Ina kilomita za mraba 100,210 na watu milioni hamsini na moja.

Inawezekanaje kanchi kadoogo, Denmark, kuipa misaada nchi kuubwa, Tanzania?
Mabadiliko makubwa ya kimfumo na kimtazamo yanahitajika
 
Inawezekana sio kitu cha ajabu, wametuzidi kwenye mengi na pia ukilinganisha wale ni developed country kwahyo mpunga wanao
 
Denmark inatarajia kuufunga ubalozi wake nchini Tanzania ifikapo 2024. Ni kati ya nchi ambazo zimekuwa zikiipa Tanzania misaada, tokea ikiitwa Tanganyika hadi sasa ikiwa inajulikana kwa jina adhimu, Tanzania.

Lakini Denmark ni nchi ya namna gani?

Ukifanya ulinganisho, Tanzania imeizidi kwa mambo mengi isipokuwa ujinga na umaskini. Ina rasilimali nyingi sana kuizidi, na hata idadi ya watu tumeipita mbali sana.

Denmark, ni kanchi kadoogo, kenye ukubwa wa kilomita za mraba 42,920 lakini inaizidi kiuchumi Tanzania, nchi Kuubwa kieneo, yenye kilomita za mraba 945,087.

Denmark, ni kanchi kadoogo kenye watu milioni tano lakini inaipa misaada nchi kuubwa, Tanzania, yenye watu milioni sitini na moja.

Ni nini siri ya kanchi kadogo kuizidi nchi kubwa kama Tanzania? Imekuwa ikiisadia Tanzania tokea 1963, enzi hizo ikiitwa Tanganyika, lakini hakuna taarifa ya Tanzania ambayo ni nchi kubwa kuisaidia Denmark kanchi kadogo.

Imewezekanaje kwao lakini kwetu ikashindikana?

Mwingine anaweza kusema ni kwa sababu ya ukoloni, lakini hilo halina mashiko. Hata Korea Kusini ilishawahi kuwa koloni la Japan, lakini kwa sasa wanatukimbiza kiuchumi.

Ni nini walichogundua hao watu weupe ambao weusi wa Tanganyika na Zanzibar hawajagundua?

Angalia, hata eneo la Korea Kusini ni dogo sana ukililinganisha na ukubwa wa Tanzania. Ina kilomita za mraba 100,210 na watu milioni hamsini na moja.

Inawezekanaje kanchi kadoogo, Denmark, kuipa misaada nchi kuubwa, Tanzania?
1. Denmark ina uchumi mkubwa na ulojitosheleza na ni ule uitwao Mixed Economy.

2. Denmark wana kiwango kikubwa cha wasomi yaani wananchi wengi wana shahada MUHIMU za chuo kikuu.

3. Denmark ni moja ya nchi zinoongoza kwa sayansi na teknolojia duniani.

4. mfumo wa kodi wa Denmark ni mgumu sana, uko juu na wabana kila senti uipatayo VAT pekee ni asilimia 25. Kodi kwa mashirika yaani corporate ni asilimia 22 na wageni wote wa kitaalam hutakiwa kujiandikisha ili waweze kulipa kodi.

5. Denmark wana kiwango cha juu cha maisha kwa wananchi wake.

Hayo ni baadhi tu ila kikubwa ni kwamba Denmark kama zilivyo nchi zingine za Ulaya watumia akili zao kwa manufaa ya nchi zao.

Na mfano wake ni pale ambapo wazitenga kabisa fedha zao za misaada kwa mataifa yenye kuongozwa na viongozi ambao akili wameweka mifukoni.

Afrika mtu akiwa na nafasi au madaraka akili zetu huamua kuziweka mfukoni na kuiba fedha za kodi na kuwanyonya wananchi wenzake.

Akitokea mwafrika mwenye kutaka kutumia akili kuleta manufaa kwa nchi yake wale waafrika wenzie waloweka akili zao mifukoni, kuamua kuzihamisha kwa muda akili zao na kufanya mambo ya kihuni na kikatili.
 
Kila siku huwa naelezea kuwa Mungu alifanya upendeleo wakati anawaumba wazungu navyohisi alipokuwa anawaumba wazungu akawawekea ubongo ila alipokuwa anawaumba weusi akawawekea Ugali kichwani badala ya ubongo.

Plan ya Mungu kumuumba binadamu sidhani kama alikuwa anamanisha binadamu weusi. Tatizo la Afrika sio kwenye rasilimali zake lipo vichwani mwa watu wake.

Afrika tunapoelekea pamoja na neema ya bara letu itafika point tunadondoka kwa njaa kwa sababu kiakili hatujiwezi kabisa ndio maana tunashinda makanisani kutia huruma kwa Mungu. Na mbaya zaidi ma dini yenyewe yameletwa na wazungu ambao kwa sasa hawana time nayo sisi ndo tunayashobokea mpaka yanatuongezea umasikini wajinga sisi.
 
Magufuli alipotaka kuigeuza Tanzania iwe sawa na nchi za Ulaya mlimfanyaje? Mnataka maendeleo lakini hamtaki namna ya kuyafikia hayo maendeleo. Maendeleo ni malengo, nidhamu, kujitoa mhanga (self sacrifice), bidii ya kazi, uadilifu na kutambua vipaji na ubunifu na kuvitumia ipasavyo. Ulaya wameweza kuviunganisha hivyo vyote kufikia hapo walipo. Sisi hapa bado tunajitafta na akija mwenye mawazo kama hayo bado hatumwelewi. Tutachelewa sana.
Huyo Magufuli nae ni mwehu mwingine wala sio wa kumention humu. Bora hata ungemtaja JK NYERERE ila huyo mwehu anatawala badala ya kuongoza ni kielelezo cha mfalme juha ambae alishawahi pita hapa nchini.
 
Mnaonaje katiba ijayo tuwe na kipengele Cha kusajili viongozi, Kama mawaziri, wakuu wa wilaya, Kama ifanywavo kwenye football.
Tuna mchukua mtu kwenye Kariba ya kiduku[emoji3] tunamkabithi wizara kiroho Safi, tuna achana na hawa wanaoiba huku, kesho wahamishiwa Kule wakaibe Tena.

rais pekee ndo tunampigia kura
Wazungu hawatoweza kuongoza matahira kutazua taharuki sana. Hivi unajua kuwa watu wenye akili ndogo huwa ni vinara wa kulalamika
 
Viongozi huwekwa na watu na watu wenyewe ndio sisi so why tusiwabadilishe?
 
Msilinganishe mataifa ya Ulaya na Nchi za Afrika...

Mataifa ya Ulaya yapo miaka 1000 kabla ya nchi yoyote ya Afrika kuanza kuwa nchi, Denmark ndio nchi ambayo bendera yake haijabadilika zaidi ya miaka 500
 
Kama ni model za uzalishaji tuliaga za China but why chines wakafanikiwa kuliko sisi, sote tulikuwa hatuna technology na maarifa?
 
Denmark inatarajia kuufunga ubalozi wake nchini Tanzania ifikapo 2024. Ni kati ya nchi ambazo zimekuwa zikiipa Tanzania misaada, tokea ikiitwa Tanganyika hadi sasa ikiwa inajulikana kwa jina adhimu, Tanzania.

Lakini Denmark ni nchi ya namna gani?

Ukifanya ulinganisho, Tanzania imeizidi kwa mambo mengi isipokuwa ujinga na umaskini. Ina rasilimali nyingi sana kuizidi, na hata idadi ya watu tumeipita mbali sana.

Denmark, ni kanchi kadoogo, kenye ukubwa wa kilomita za mraba 42,920 lakini inaizidi kiuchumi Tanzania, nchi Kuubwa kieneo, yenye kilomita za mraba 945,087.

Denmark, ni kanchi kadoogo kenye watu milioni tano lakini inaipa misaada nchi kuubwa, Tanzania, yenye watu milioni sitini na moja.

Ni nini siri ya kanchi kadogo kuizidi nchi kubwa kama Tanzania? Imekuwa ikiisadia Tanzania tokea 1963, enzi hizo ikiitwa Tanganyika, lakini hakuna taarifa ya Tanzania ambayo ni nchi kubwa kuisaidia Denmark kanchi kadogo.

Imewezekanaje kwao lakini kwetu ikashindikana?

Mwingine anaweza kusema ni kwa sababu ya ukoloni, lakini hilo halina mashiko. Hata Korea Kusini ilishawahi kuwa koloni la Japan, lakini kwa sasa wanatukimbiza kiuchumi.

Ni nini walichogundua hao watu weupe ambao weusi wa Tanganyika na Zanzibar hawajagundua?

Angalia, hata eneo la Korea Kusini ni dogo sana ukililinganisha na ukubwa wa Tanzania. Ina kilomita za mraba 100,210 na watu milioni hamsini na moja.

Inawezekanaje kanchi kadoogo, Denmark, kuipa misaada nchi kuubwa, Tanzania?
Ukubwa wa taifa siyo Kilomita za mraba za eneo la nchi bali ukubwa wa maarifa na ujuzi wa watu wa taifa husika.
Akili ni mali Mkuu!
 
Back
Top Bottom