GoldDhahabu
JF-Expert Member
- Apr 29, 2023
- 7,189
- 10,375
- Thread starter
-
- #41
Japo inauma, lakini kama kuna ukweli ndani yake!Kuna mwamba alisema Africa hasa kusini mwa jangwa la sahara tukihamishiwa nchi za ulaya nao wakaletwa kuishi hapa Africa... Kwamba baada ya miaka 5 tutakuja kuomba msaada nilicheka sana... Ila ni kama. Kuna ukweli ndani yake
By the way... Kwann wanafunga ubalozi wao!??
Awatwae nyie mie aniache aisee 🤣Just imagine... Unanunua tiketi kwa ajili ya watu ambao wangeweza kujinunulia tiketi... What a wastage of resourses any way yani Muumba aje tu atutwae wote[emoji34][emoji34][emoji34]
Kazi ya Mungu haina makosa.Kosa kubwa alilofanya Muumba ni kuwaumba watu weusi ie waafrika
Yes... I guess ingekuwa kama Congo tu au Zimbabwe[emoji22][emoji34]Japo inauma, lakini kama kuna ukweli ndani yake!
We unafikiri ingekuwaje kama weusi wangefanikiwa kuwaondoa weupe wote South Africa?
Ongezea na kanchi kadoogo, tena jirani yetu, Rwanda.Sidhani ni tangu tulipopata uhuru, sema tangu tulipozaliwa.
Maana kama ni misingi mibaya baada ya uhuru, mpaka leo ni miaka mingapi? Hiyo misingi mibaya kwa nini haibadilishwi? Mbona mataifa mengine yaliyopata uhuru baadaye, kama Botswana na Namibia, wao angalao wanapiga hatua kwa kasi?
Na Serikali inapofanya jambo la maendeleo kwa kodi iliyotoza wananchi wake, inachukuliwa kama ni jambo la fadhila na siyo wajibu wa Serikali.mifumo ya Europe na kwetu ni tofauti kabisa.Uwajibikaji uko juu sana.kwa pande zote kwa serikali na kwa wananchi
Huko ulaya wanachi wanaogopwa sana na wanasiasa huku kwetu wanasiasa wanaogopwa sana na wananchi.
Yaani serikali unaiweka madarakani mwenyewe halafu ikishaingia inaanza kukukupa vitisho ukiihoji
Tz ni nchi ya matamko,vitisho na upigaji kwa ngazi zote
Naungana na weweTatizo letu ni misingi mibovu iliwekwa toka tulipopata uhuru.
Kwa kujenga Ikulu na Airport kijijini?Magufuli alipotaka kuigeuza Tanzania iwe sawa na nchi za Ulaya mlimfanyaje? Mnataka maendeleo lakini hamtaki namna ya kuyafikia hayo maendeleo. Maendeleo ni malengo, nidhamu, kujitoa mhanga (self sacrifice), bidii ya kazi, uadilifu na kutambua vipaji na ubunifu na kuvitumia ipasavyo. Ulaya wameweza kuviunganisha hivyo vyote kufikia hapo walipo. Sisi hapa bado tunajitafta na akija mwenye mawazo kama hayo bado hatumwelewi. Tutachelewa sana.
Mwenzako anawaza 2025Kwa ufupi mtu mweupe kabarikiwa. Na zaidi sisi mijitu mieusi tunateswa na ubinfsi. Angali kiongozi wetu ananunua goli million 20 nchi gani taifa gani raisi ananunua goli la timu ya klabu kama sio ufisadi nini
Kati ya makosa ninayoamini yalifanywa na baba wa Taifa ni kukumbatia sera ya Ujamaa.Naungana na wewe
Nyerere ndo aliipoteza nchi
Akiweka katiba inayomlinda yeye na chama chake
Hakuwekeza katika tafiti kuhusu ukuaji wa nchi miaka 50 ijayo.
Hakuwekeza katika elimu bora na miundombinu bora
Matatizo yote ya Tanzania yameanza baada ya Yeye kuwa Rais
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Ni kama kujiuliza kwa nini ubongo ni mdogo na unauongoza mwili mzima.
Huko alipo aongezewe dhambiKati ya makosa ninayoamini yalifanywa na baba wa Taifa ni kukumbatia sera ya Ujamaa.
Japo inawezekana ujamaa ulisaidia kutufanya kuwa wamoja, ulichangia pakubwa kutudidimiza kiuchumi.
Huo ndo ukweli kaka, japo ukweli mchungu kwetu.Kuna mwamba alisema Africa hasa kusini mwa jangwa la sahara tukihamishiwa nchi za ulaya nao wakaletwa kuishi hapa Africa... Kwamba baada ya miaka 5 tutakuja kuomba msaada nilicheka sana... Ila ni kama. Kuna ukweli ndani yake
By the way... Kwann wanafunga ubalozi wao!??
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Ni kama kujiuliza kwa nini ubongo ni mdogo na unauongoza mwili mzima.
Ndiyo kusema, LIKE THE FATHER, LIKE THE SON?Angalia viongozi wako walivyo alafu utaelewa