India na China iko siku kitawaka

India na China iko siku kitawaka

India na China wana makubaliano ya kutotumia silaha mpakani Ladakh pale hivyo ilipotokea fujo wanajeshi wao walipigana ngumi, mawe, fimbo na vitu vya ncha kali. Ndio maana zaidi iliitwa brawl wala sio attack. Na kwa kawaida brawl hutegemea nani ana msuli zaidi, sio nani ana silaha kali kwani hazitumiki. Ule ugomvi walitoka suluhu acha utani kuna Wachina waling'oka meno na footage nyingine zilionekana baadae. Wote kwa pamoja wana propaganda kali si rahisi kujua nani alipigwa pale, official data zinapingwa na ushahidi
But last time walipoingia vitani miaka ya 70's kama sikosei Mchina alishinda vita.

India bado sana kwa China hata Wahindi wenyewe wanalijua hilo
 
Kilio Cha makampui ya india makampuni ya china yanapewa subsidy na Chinese government

Ulichoongea ni kweli India haiwezi pambana na India sababu china wanatechnologia kubwa
Huo ndio mfumo wa uwekezaji wa PRC lazima kwenye kampuni serikali pia iwe na hisa.
 
Hata china walikuja ku-comfirm wanajeshi wao walikufa, Leo hii India imeipita u.k kwenye GDP sio watu wa kudharau hata kidogo
Kwenye uchumi India Ina kuja kwa kasi ilo halina ubishi ubaya na utofauti Kati ya India na PRC, PRC ni wajamaa baada ya PRC kupaa sana kiuchumi na ili kuwa na masikini wengi kwa hiyo CPC ilichoamua kufanya Ni kuwakomboa masikini wengi walio nao na kuwa peleka katika kipato Cha kati zaidi ya masiki 600miln walikombolewa kupitia sera ya CPC ya “poverty alleviation” Ila India sio taifa la kijamaa na uchumi wake unapaa kwa kasi huku pia masikini wengi wakiongezeka kutokana na uwingi mkubwa wa watu India ilio nao sasa je serikali ya India itachukua jukumu la kijamaa la kuwakomboa raia wake kutoka kwenye umaskini hilo ni swali la kujiuliza ?
E3So8sqXEAYtghQ.jpg
 
But last time walipoingia vitani miaka ya 70's kama sikosei Mchina alishinda vita.

India bado sana kwa China hata Wahindi wenyewe wanalijua hilo
Wahindi wachache wanaojua hilo, na wanaojua huwa hawasemi sana kukwepa kuzodolewa. Vyombo vya habari vyote vya Kihindi kina Hindustan Times na wengine ukiwaona wanasifia silaha zao utadhani ndio the best duniani. Wahindi wana uzalendo wa kupitiliza ukileta suala la China au Pakistan.
Wao kila kitu cha Pakistan kwao ni inferior na kila kitu cha Kichina wanajiaminisha ni fake hivyo hakitafanya kazi ipasavyo kwenye vita. Ila kwa kujiamini kwa jeshi la India kutalisaidia na population yao huwa inataka vita na China, na jeshi lao linafanya mazoezi makali kwenye extreme conditions ndio maana ajari zao huwa ni nyingi.
 
Kwenye uchumi India Ina kuja kwa kasi ilo halina ubishi ubaya na utofauti Kati ya India na PRC, PRC ni wajamaa baada ya PRC kupaa sana kiuchumi na ili kuwa na masikini wengi kwa hiyo CPC ilichoamua kufanya Ni kuwakomboa masikini wengi walio nao na kuwa peleka katika kipato Cha kati zaidi ya masiki 600miln walikombolewa kupitia sera ya CPC ya “poverty alleviation” Ila India sio taifa la kijamaa na uchumi wake unapaa kwa kasi huku pia masikini wengi wakiongezeka kutokana na uwingi mkubwa wa watu India ilio nao sasa je serikali ya India itachukua jukumu la kijamaa la kuwakomboa raia wake kutoka kwenye umaskini hilo ni swali la kujiuliza ?
View attachment 2343494
Baada ya Mzee Pombe kuapishwa niliamin atafata mienendo ya huyu mwamba walau robo ya kile alichokifanya.



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwenye uchumi India Ina kuja kwa kasi ilo halina ubishi ubaya na utofauti Kati ya India na PRC, PRC ni wajamaa baada ya PRC kupaa sana kiuchumi na ili kuwa na masikini wengi kwa hiyo CPC ilichoamua kufanya Ni kuwakomboa masikini wengi walio nao na kuwa peleka katika kipato Cha kati zaidi ya masiki 600miln walikombolewa kupitia sera ya CPC ya “poverty alleviation” Ila India sio taifa la kijamaa na uchumi wake unapaa kwa kasi huku pia masikini wengi wakiongezeka kutokana na uwingi mkubwa wa watu India ilio nao sasa je serikali ya India itachukua jukumu la kijamaa la kuwakomboa raia wake kutoka kwenye umaskini hilo ni swali la kujiuliza ?
View attachment 2343494
India ni mojawapo ya nchi zenye tofauti kubwa ya kipato baina ya raia. Na mpambano wa Mhindi kutoka kwenye umaskini kwenda utajiri ni mkali sana, mianya michache fursa zimeshikwa karibia zote. Hakuna kipya ukianzisha jambo leo leo ushapata wa kuiga, population yenyewe ni kama 1.3 billion miaka hata mitatu haitofika India ndio itakuwa na watu wengi zaidi duniani.

Ndio maana Wahindi wanapambana kusoma, ndio njia pekee ya wazi ya kujikomboa na kukomboa familia zao. Na ni wasomaji wazuri sana
 
Na makampuni ya China baada ya kujua hilo yakafanya uwekezaji ndani ya India. India si wanakuja na Make in India Policy, China wanachukua opportunity kuwa investors na kupunguza mwanya wa competition
China imeipiku Sana India kiuchumi, kijeshi na kiteknolojia.
 
China imeipiku Sana India kiuchumi, kijeshi na kiteknolojia.
Imeipuka kwa mbali sana. China ni namba nyingine hata USA analijua hilo.

Kitu ambacho USA kinamuumiza kichwa ni jinsi China inavyopaa kwa kasi kwenye teknolojia, uwezo wa kijeshi na ushawishi ulimwenguni.

Juzi kati hapa USA kakataliwa na visiwa vya Solomon kuweka base yake pale kwa sababu ya ushawishi wa China.


Sasa China anaenda kuweka base ya kijeshi kwenye visiwa hivyo ambavyo ni eneo strategic kwa Mchina
 
Huwezi sikia eti Pentagon imekaa kuidiscus India jinsi ukuaji wake utaiathiri USA

Lakini kila siku hasa bunge la Marekani huwa linaidiscuss China na wanaliona ndio taifa pekee kwa sasa linaweza kuwachallenge duniani.

Halafu ndo mtu aje aanze kusema sijui India itaipiga China 🤣🤣🤣

Level za China saivi ni nchi za West. Mhindi tunamwachia Pakistan na majirani zao wengine
 
Baada ya Mzee Pombe kuapishwa niliamin atafata mienendo ya huyu mwamba walau robo ya kile alichokifanya.



Sent using Jamii Forums mobile app
Hizi chapa mbili, viongozi wote wa Tanzania kuanzia awamu ya kwanza [ Mwalimu ] mpaka sasa awamu ya sita [ Mama ] nawadai kwa nini wana shindwa kujifunza na kucopy mienendo ya hivi vichwa viwili katika upande wa uchumi ?
85648095.jpg
 
Hizi chapa mbili, viongozi wote wa Tanzania kuanzia awamu ya kwanza [ Mwalimu ] mpaka sasa awamu ya sita [ Mama ] nawadai kwa nini wana shindwa kujifunza na kucopy mienendo ya hivi vichwa viwili katika upande wa uchumi ?
View attachment 2343625
Hivyo vichwa achana navyo. Hao waliweka misingi mizuri sana kwa hii China tunayoiona leo.

Bongo viongozi wanangalia masilahi yao.
Hao wazee wa Kichina waliweka masilahi ya taifa mbele. Walikuwa na zile plans za muda mrefu, mfupi na wakati.


Na vijana wao akina Jang Zemen, Hu Jintao na Xi Jinping hawajawaangusha bado wanalipandisha taifa kwa policy za hao wazee hapo kwenye picha. Wanachofanya wao ni kuziboresha tu ziendane na mazingira ya sasa
 
Hivyo vichwa achana navyo. Hao waliweka misingi mizuri sana kwa hii China tunayoiona leo.

Bongo viongozi wanangalia masilahi yao.
Hao wazee wa Kichina waliweka masilahi ya taifa mbele. Walikuwa na zile plans za muda mrefu, mfupi na wakati.


Na vijana wao akina Jang Zemen, Hu Jintao na Xi Jinping hawajawaangusha bado wanalipandisha taifa kwa policy za hao wazee hapo kwenye picha. Wanachofanya wao ni kuziboresha tu ziendane na mazingira ya sasa
Kweli mkuu viongozi wetu kuna vitu vya kiuchumi vichwani hawana kabisa na hili ndilo tatizo letu kuu uchumi wetu hauendani na wingi wa rasilimali tulizo nazo.
 
Kweli mkuu viongozi wetu kuna vitu vya kiuchumi vichwani hawana kabisa na hili ndilo tatizo letu kuu uchumi wetu hauendani na wingi wa rasilimali tulizo nazo.
Hatuna sera ya taifa kama China.

Kila kiongozi akikaa madarakani ana kipaumbele chake kwa hiyo taifa linakosa ile dira kuu ya taifa.

Tunaenda hatua 2 na kurudi hatua 10 na kujipongeza bila kuzingatia hatua 8 tulizopoteza

Tunahitaji SERA YA TAIFA YA KIUCHUMI yeyote akiingia madarakani anatakiwa aiendeleze mpk tufike tunapopataka
 
Hizi chapa mbili, viongozi wote wa Tanzania kuanzia awamu ya kwanza [ Mwalimu ] mpaka sasa awamu ya sita [ Mama ] nawadai kwa nini wana shindwa kujifunza na kucopy mienendo ya hivi vichwa viwili katika upande wa uchumi ?
View attachment 2343625
Deng asingefanikisha kama Mao asingetengeneza Njia, .

Lee Kuan Yew Kwangu ni mmoja Kati ya viongozi makini na wenye akili mingi kuwahi kuwepo Duniani, Kumcopy mchina ni ngumu , Tumkopy Lee kuan Yew.

Ukisoma Kitabu chake cha Singapore, From the third world To the First Utanielewa.
 
..nimesikia Japan ameongeza kwa kiasi kikubwa bajeti yake ya ulinzi.

..wachambuzi wanadai Japan itaanza kutengeneza zana nzito za kivita.
Japan Ujerumani resources wanazo na technology lakini baada ya WWII ziko chini ya mkataba na UN wa kutotengeneza silaha nzito za kivita, kama adhabu ya wao kuanzisha vita hivyo.

Na ndio maana mpaka leo Japan inaitegemea Marekani linapokuja suala la silaha ni mteja mkubwa wa silaha za Marekani.
 
Deng asingefanikisha kama Mao asingetengeneza Njia, .

Lee Kuan Yew Kwangu ni mmoja Kati ya viongozi makini na wenye akili mingi kuwahi kuwepo Duniani, Kumcopy mchina ni ngumu , Tumkopy Lee kuan Yew.

Ukisoma Kitabu chake cha Singapore, From the third world To the First Utanielewa.
Nimekuelewa sana mkuu, pia mimi mwenyewe nawa soma sana hawa watu :- Mao Zedong, Deng Xiaoping , Lee Kuan Yew, Park Chung Hee, Xi Jinping
Screenshot_20220903-084524.png
Screenshot_20220903-085115.png
Screenshot_20220903-084634.png
Screenshot_20220903-084610.png
Screenshot_20220903-084553.png
Screenshot_20220903-084711.png
Screenshot_20220903-085415.png
Screenshot_20220903-085438.png
Screenshot_20220903-085454.png
Screenshot_20220903-085534.png
Screenshot_20220903-085620.png
Screenshot_20220903-085645.png
Screenshot_20220903-085701.png
Screenshot_20220903-085845.png
 
Back
Top Bottom