Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
India kwa China bado Mzee!Haya ni mataifa ambayo China akitia kidole tu, atapigwa kama ngoma, na wote ni mahasimu wake.
1. India
2. Japan
3. Taiwan
Hizo namba mbili za mwanzo hazifai hata chembe.
Hata Taiwan bado huo ubavu hana!Haya ni mataifa ambayo China akitia kidole tu, atapigwa kama ngoma, na wote ni mahasimu wake.
1. India
2. Japan
3. Taiwan
Hizo namba mbili za mwanzo hazifai hata chembe.
Sasa chief unafikiri India anaweza akavimba mbele ya China bila US, hata Japan vivyo hivyo. Wote hawa wanategemea mgongo wa US.Na wakati huo India haiwezi kupiga marufuku bidhaa za China, labda kwenye teknolojia muhimu za kiusalama kama data. La sivyo wajiandae kuharibika kiuchumi, hawaipendi ila wanalazimika ndio maana kwenye mgogoro wa Ladakh mwaka 2019 waliweka vikwazo bidhaa chache sana.
China haiwezi pigwa na India tuache utani. Wala Taiwan haiwezi kuipiga China. Kuna tofauti kati ya kudhibiti nchi isikupige na kuipiga hiyo nchi. China anakuwa underestimated kisa eti hajawahi pigana modern warfare. Kwa sasa China ina uwezo mkubwa sana wa kupambana na Urusi, sembuse India na Taiwan. Hata Taiwan yenyewe inajua fika kuwa bila Marekani with time itapigwa na PRC
???????Indi ampige china? We bwana weeeHata china walikuja ku-comfirm wanajeshi wao walikufa, Leo hii India imeipita u.k kwenye GDP sio watu wa kudharau hata kidogo
India kijeshi iko chini Sana ya Uchina.Haya ni mataifa ambayo China akitia kidole tu, atapigwa kama ngoma, na wote ni mahasimu wake.
1. India
2. Japan
3. Taiwan
Hizo namba mbili za mwanzo hazifai hata chembe.