SOVIET UNION
JF-Expert Member
- Sep 2, 2017
- 509
- 1,391
- Thread starter
-
- #21
Yes zipo piaAnaitwa frank alikuwa anaumwa sana na vidonda vya tumbo mpaka ndugu zake wakampeleka India huko ndipo alipewa hiyo dawa alikuwa anatapika hadi damu ila kapona asaivi
nimekupa dondoo katafute dataSio kweli au uje na Data, India ni moja ya nchi ambayo raia wanakula miaka ya kutosha
Ndio maana nikasema kama kuna Dawa unaitafutaga ya India, ya ugonjwa unasema, siwezi weka humu madawa yotedaah unatoa tangazo kirahisi san mkuu
nimekupa dondoo katafute data
Nimeandika magonjwa 2 sugu ulizia hilo lingine
Mh!!? Zandu sio ya kuchua Ile?Inaitwa zandu
Hapana ni ya tumbo mkuuMh!!? Zandu sio ya kuchua Ile?
Zandu ni Barand name ni kama ilivyo HimalayaHapana ni ya tumbo mkuu
Zandu ni Brand NameMh!!? Zandu sio ya kuchua Ile?
Mh!!? Zandu sio ya kuchua Ile?
Ila ndo wanaongoza kwa kusumbuliwa na magonjwa sugu kisukari na saratani
Unataka ipi?Toa maelekezo pa kuzipata acha kuwa kama Mzizi Mkavu
Mkuu wapi napata hizi dawa?
Na bei zake zinatembeaje?
Na changamoto zangu za Mzunguko wa damu, Nguvu za kiume, na suala zima la digestion dawazake zinapatikanwa?
IQ test ulisha fanya mkuudaah unatoa tangazo kirahisi san mkuu