India na dawa nzuri sana za miti shamba,

India na dawa nzuri sana za miti shamba,

Mkuu wapi napata hizi dawa?
Na bei zake zinatembeaje?
Na changamoto zangu za Mzunguko wa damu, Nguvu za kiume, na suala zima la digestion dawazake zinapatikanwa?
DIGESTION MKUU


ShigruTablets_1080x.jpeg

Bael_1024x1024_b6727b6e-c173-45f0-af95-f8f6f22979bd_1080x.png

HimalayaGasex_1080x.png

charcoal.jpg2_1080x.jpg
 

Attachments

  • KarelaTabletsBenefits1_1080x.jpeg
    KarelaTabletsBenefits1_1080x.jpeg
    114.2 KB · Views: 6
Ni kweli india wana dawa nyingi sana za herbal kwa sababu wamewekeza zaidi kwenye research.Huwezi kufahamu aina nyingi na tofauti za mitishamba bila kuwekeza kwenye utafiti vinginevyo utabaki kutapeli watu tu.Hata hapa Tanzania dawa zipo za kila aina isipokuwa pia watanzania wengi hatuaminiani sisi kwa sisi,mtanzania akiwa na shida ya ugonjwa ukamwambia ugonjwa huu utapona kwa dawa hii wasiwasi ni mwingi kuliko akiambiwa na ngozi nyeupe.Hizo dawa mnazowasifia wahindi wakati mwingine ni hizihizi aina ya mitishamba yetu na wako hapa kila siku kuvuna.Dawa za madonda ya tumbo,kisukari,presha n.k ni za kawaida sana na wanazivuna katika mazingira yetu wanaboresha muonekano ndiyo maana wanaaminika.Amini usiamini dawa ni hizi hizi na wanavuna humuhumu kwetu.Mimi nina marafiki zangu wengi wa rangi hiyo tunapambana nao hapahapa na wakati mwingine wanapenda sana kujifunza kupitia kwetu na wanachukua maarifa yetu na kuyawekeza vizuri zaidi.
 
India ni moja ya mataifa yanayo amini sana kwenye Tiba asilia na ndio sababu wana idadi kubwa sana ya dawa za asili. Kampuni kama Himalaya ina dawa nyingi sana za asili za magonjwa tofauti tofauti.

Kwa Dawa za Himalaya welness kama kuna dawa ya asili ya ugonjwa wowote unaitafuta kwa nuda mrefu sana unaweza niambia nikuangalizie .

NB pia na kutoka kampuni zingine ila za India zote
Ni kweli ila kuwa makini na impostors wanaojifanya wanauza dawa za Himalaya
 
Watakuja kufahamu muda umesogea.Hatari sana! Yaani mtu anaiamini herbal kwa sababu ni ya mhindi.
Nisha zitumia sana na nina watu wanazitumia, India inahadi Hospitali za kutibu kwa Madawa ya asili, Uliza Raila Odinga yule Binti wake alienda kuponea Macho India.
 
Ni kweli kabisa, kuna dawa za asili za India nimezitumia mara kadhaa kwakweli ni nzuri sana (asili sio miti)

Kuna kidonge kipo kama chocolate flani hivi nmesahau jina ni cha kikohozi unakiweka tu chini ya ulimi kinayeyuka, perfect inatibu chaaap.
Mafua na vikohozi kwangu ni shida kuliko malaria. Fanya kushare nami hiyo dawa
 
India ndio duka la dawa la dunia. Mataifa mengi sana ikiwemo mataifa makubwa kama Marekani na China wanategemea kwa kiasi fulani, kuingiza dawa kutoka India.​
 
Mafua na vikohozi kwangu ni shida kuliko malaria. Fanya kushare nami hiyo dawa
Yani hata jina siikumbuki ngoja nisake box lake kama nitalipata....ukiiweka chini ya ulimi tu kesho unaamka mpya.
 
Tz kuna dawa nying sana za asili ila hatujafanikiwa kuziprocess na kuzihifadh na kuweka kwenye mfumo mzur kama india na mataifa mengne.

Nyongeza
India wanasumbuliwa sana na magonjwa ya lishe hasa sukari
 
Mkuu nicheki namba yangu hii kuhusu iyo dawa za India ntapataje?
 
Back
Top Bottom