SOVIET UNION
JF-Expert Member
- Sep 2, 2017
- 509
- 1,391
- Thread starter
-
- #41
DIGESTION MKUUMkuu wapi napata hizi dawa?
Na bei zake zinatembeaje?
Na changamoto zangu za Mzunguko wa damu, Nguvu za kiume, na suala zima la digestion dawazake zinapatikanwa?
Kisukari inawatesa sana wahindi pamoja na umaridadi wao katika dawa hapo wamekwama
Tafuta jina mkuuVidonge vyeupe hivii Kuna jamaa alikuwa anatumia jirani yangu kapona wiki tu
Nimeshataja MkuuTafuta jina mkuu
Ni kweli ila kuwa makini na impostors wanaojifanya wanauza dawa za HimalayaIndia ni moja ya mataifa yanayo amini sana kwenye Tiba asilia na ndio sababu wana idadi kubwa sana ya dawa za asili. Kampuni kama Himalaya ina dawa nyingi sana za asili za magonjwa tofauti tofauti.
Kwa Dawa za Himalaya welness kama kuna dawa ya asili ya ugonjwa wowote unaitafuta kwa nuda mrefu sana unaweza niambia nikuangalizie .
NB pia na kutoka kampuni zingine ila za India zote
Watakuja kufahamu muda umesogea.Hatari sana! Yaani mtu anaiamini herbal kwa sababu ni ya mhindi.Ni kweli ila kuwa makini na impostors wanaojifanya wanauza dawa za Himalaya
Nisha zitumia sana na nina watu wanazitumia, India inahadi Hospitali za kutibu kwa Madawa ya asili, Uliza Raila Odinga yule Binti wake alienda kuponea Macho India.Watakuja kufahamu muda umesogea.Hatari sana! Yaani mtu anaiamini herbal kwa sababu ni ya mhindi.
Himaya wana Agents wao,Ni kweli ila kuwa makini na impostors wanaojifanya wanauza dawa za Himalaya
Mafua na vikohozi kwangu ni shida kuliko malaria. Fanya kushare nami hiyo dawaNi kweli kabisa, kuna dawa za asili za India nimezitumia mara kadhaa kwakweli ni nzuri sana (asili sio miti)
Kuna kidonge kipo kama chocolate flani hivi nmesahau jina ni cha kikohozi unakiweka tu chini ya ulimi kinayeyuka, perfect inatibu chaaap.
Yani hata jina siikumbuki ngoja nisake box lake kama nitalipata....ukiiweka chini ya ulimi tu kesho unaamka mpya.Mafua na vikohozi kwangu ni shida kuliko malaria. Fanya kushare nami hiyo dawa
Nitasubiri na natumai utaipata maana sio mchezo hayo magonjwa yakinikamataYani hata jina siikumbuki ngoja nisake box lake kama nitalipata....ukiiweka chini ya ulimi tu kesho unaamka mpya.
View attachment 3028751
Hii ni kwa ajili ya Hernie, anaye sumbuliwa na Hernia, unaweza google hilo jina lake.
View attachment 3028753
Hii pia ni kwa vidonda vya tumbo,
View attachment 3028754
Magonjwa ya mkojo kama UTI sugu
View attachment 3028755
Kikohozi, hii ni nzuri sana binafisi nisha itumiaga.
View attachment 3028756
Tumbo
View attachment 3028757
Mkuu nicheki namba yangu hii kuhusu iyo dawa za India ntapataje? 0744312003