India: Wanafunzi washambuliwa wakiwa katika sala

Mleta uzi kaandika kisaniisanii sana.Wahindu hawataki maeneo yao yatumike kinyume na dini yao.Uelewe hilo.Hawakuwavamia bila sababu.
Jamii ni jumla ya mtu mmoja mmoja. Chuo ni Taasisi iliyomo sehemu ya jamii na kwa msingi huo imekusanya jamii ya mtu mmoja mmoja wenye tamaduni tofauti.

Hao vijana wamekosa eneo la kuswalia kufanya ibada zao. Kama hilo suala lingekuwa halifai uongozi wa Chuo upo ungetoa mwongozo. Lakini kilichofanyika ni jamii ya watu fulani kuwafanyia vurugu.

Tutarudi kule kule; India ni nchi ambayo bado haijastaarabika.
 
Watu hawataki, mnawalazimisha wa nini? Nenda nchi inayokubali imani yako
 
Mkiambiwa ukristo ni mzuri na bora muwe mnaelewa. Ukristo haufundishi chuki, kuwashambulia wengine, kule ni upendo tu, hutasikia wakristo wameshambulia watu wa dini nyingine. Ila hawa waislam na wahindu ni chuki kwa kwenda mbele. Wameshambuliwa na wahindu? Wamekutana wapuuzi watupu wacha washambuliane maana hata waislam wana tabia hizo
 
Hayo mengine wa kuulizwa ni wahindu wenyewe.Halafu,unajua kwamba wahindu na waislamu hawaivi pamoja huko India?Jibu ndiyo lipo hapo.
 
Wenye chuki zao wanaanza kujidhihirisha.


Hivi Mtu ukiwa chuoni unakatazwa kusali au kuswali room?
 
Waislam huwa sio waelewq, huwatesa sana Wakristo kwenye nchi zao, lkn wao wakiguswa ni vilio vitupu.

Watu waachwe waabudu wanachokiamini.

Hao wanafunzi wameonewa bure
Ww bwabwa hebu changia mada iliyoandikwa mada haiwahusu waislam lakini bila kutaja uislam hauoni raha ndio maana pope kawaambie muolewe na wanaume wenzenu
 
Waislam huwa sio waelewq, huwatesa sana Wakristo kwenye nchi zao, lkn wao wakiguswa ni vilio vitupu.

Watu waachwe waabudu wanachokiamini.

Hao wanafunzi wameonewa bure
Yaani hawa watu wanatesa sana watu wa Imani zingine lakini wao wakiguswa kidogo wanaanza kulialia kuwa Wanadhulumiwa

Yaani Waislam huwa wanaona kama watu wote duniani wanawadhulumu wao tu hasa Mohamed Said FaizaFoxy Mlolongo mjingamimi na darcity
 
Huyu jamaa naijua stori yake. Alikuwa sheikh, akawa anatokewa na Yesu mara kwa mara akiwa msikitini, akaamua kuokoka na kuwa mchungaji. Kwa sasa anahubiri vyote vyote, Qurani na Biblia 😁
Ana hubiti vyote Quran na Biblia!!.
Na kuna watu wanamuamini!.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…