India: Wanafunzi washambuliwa wakiwa katika sala

Huyu jamaa naijua stori yake. Alikuwa sheikh, akawa anatokewa na Yesu mara kwa mara akiwa msikitini, akaamua kuokoka na kuwa mchungaji. Kwa sasa anahubiri vyote vyote, Qurani na Biblia 😁
Mjasiriadini huyu
 
Kwanza njoo kwa id yako ya kawaida , unajificha usijulikane ?
Wewe Itakuwa huo ndio mchezo wako , usingalijificha na kuzipa Aya ukafiri wako, by the way Yule Roho Mtakatifu wako ndiye anayekufundisha hiyo michezo na kukuongoza huko ?
 
Hili taifa la hovyo sana.
Mwaka jana wameanza na operation ya kuua YEYOTE ANAYEKULA NYAMA YA NG'OMBE.
UKIONEKANA UNATAKA KUMCHINJA NG'OMBE KAZI UNAYO.
ETI WAKIDAI HUYO NI MNYAMA WA KIUNGU ANAPASWA HESHIMIWA.
 
Sema waislamu hawaaminiki kabisa wao kupanga mauwaji wakati wanasali sio kitu cha kushangaza..
 

Attachments

  • enamul___hoqe_1710172710956673.mp4
    1.2 MB
Kwanini hawakuenda kwa DEAN OF STUDENT?
JE HAPO CHUONI HAKUNA UONGOZI WA KUWASHITAKIA??
UNAONEKANA FALA AMBAYE HAJUI MAANA YA ADMINISTRATION
 
Hiyo ni suratul Israai ayah ya 81 inasema "hakika imekuja haki na imejitenga batwili".
Uislam haupendi ushoga na unakataza ushoga pia utofautishe dini inasemaje na matakwa ya mtu.
Huyo mpemba kafilwa kwa matakwa yake dini haijaruhusu.
AYAH ULOLETA MAANA YAKE HIYO HAPO.
 
Embu soma kisa cha watu wa Sodoma walivyoangamizwa.
Hiyo ni Qur'an inaeleza kuwa ulawiti ni dhambi.
Watu wa Nabii.Lutwi walivyoangamizwa kwa kupenda ushoga na uasherati
 
Mfano hai huo wapo kwenye video ya maandamano ya pemba
Hao wameandamana au wamefanya insurgence??
Wahindu wanafanya insurgence.
Zanzibar toka miaka ya nyuma na Pemba ilizoeleka na kujijenga kuwa ni visiwa vyenye tamaduni za kiarabu na kiislam.
Ukiishi tofauti na wao lazima wang'ake kuwa unawaulia tamaduni zao.
Ila uliskia mtu Zanzibar kapigwa ama kuchomwa visu kisa anaenda kinyume na tamaduni za kule??
Kilichofanyika hapo ni sawa kinachofanyika ULAYA KWA MAANDAMANO YA LGBTQ KUWA WAPEWE HAKI ZAO NA ANAEWAPINGA AMEPINGANA NA TAMADUNI ZAO.
 
Kuongezea hilo kaka dini ya kihindu ni dini inayomchukulia mwanamke kiumbe dhalili na mtumwa.
Ndio maana India kulingana na imani hiyo ni TAIFA LINALOONGOZA DUNIANI KWA GENDER OPRESSION AND DISCRIMINATION.
Pia kwa imani hii India ni taifa linaloongoza kwa ubakaji wa wanawake duniani.
Kiufupi India haijastaarabika.
 
Mleta uzi kaandika kisaniisanii sana.Wahindu hawataki maeneo yao yatumike kinyume na dini yao.Uelewe hilo.Hawakuwavamia bila sababu.
Hawa hawajastaarabika.
Hadi nyama ya ng'ombe nayo ni ya kuzuia watu kula!!????
Yani unamuua binadamu mwenzako kisa amechinja ng'ombe!!?
Kisa wewe unaabudu ng'ombe!??
 
Kwanini hawakuenda kwa DEAN OF STUDENT?
JE HAPO CHUONI HAKUNA UONGOZI WA KUWASHITAKIA??
UNAONEKANA FALA AMBAYE HAJUI MAANA YA ADMINISTRATION
Kwani Kazi ya Dean of Students kazi yake mojawapo ni kuanzisha msikiti au kanisa eneo la chuo kwenye kazi zake anazopangiwa as a Dean of Students eneo la chuo? Ndio nasikia kwako.
 
Kwani Kazi ya Dean of Students kazi yake mojawapo ni kuanzisha msikiti au kanisa kwenye kazi zake anazooangiwa as a Dean of Students eneo la chuo? Ndio nasikia kwako.
Hujaelewa kabisa nilichozungumza.
Dean kazi yake ni kuwatizama wanafunzi kwa minajili yote ya mahitaji yao.
Kama kuna sheria imepindishwa wa kwanza kujulishwa ni dean of students.
KAMA HAO WAISLAM WALIANZISHA IBADA AMBAYO NI KINYUME NA SHERIA ZA SHULE,hao wanafunzi wangeenda kwa uongozi wa chuo ikiwemo dean ili waripoti hilo tukio ila sio kujichukulia sheria mkononi.
Au chuo ulichosoma ilikua sheria mnajichukulia mkononi sio kwenda katika uongozi wa chuo??
Je walienda katika utawala wa chuo na kuripoti malalamiko ya hao wanafunzi waislam??
 
Ok
 
Mbona kawaida
 
Ivi humu JF hakuna wahindi tuwasikie? Mimi naheshimu tamaduni za watu, anayemjua mhindi wa humu amtag ili aje atiririke
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…