India: Wanafunzi washambuliwa wakiwa katika sala

Nitajie nchi ya kiislamu iliyostaarabika inayotoa uhuru wa kuabudu.Ni uturuki pekee tena nao kishingo upande kwa kuogopa EU.
 
hivi kuna ukweli Mtume Muhammad alimnyonya ndimi mwanaume mwenzake?
 


Maneno yangu ni haya

Waislam wakiwa wachache sehemu huwa wanapenda sana kuplay victim. Wakiwa wengi sehemu wanataka hadi watu wa dini zingine wasio waislam wafate taratibu za uislamu.

Hiyo video ya maandamano ya kupinga ujenzi wa kanisa pemba ni ushahidi tosha wa tabia za waislamu wakiwa wengi. Kama hawataki wajenge kanisa Unataka hao Wakristo wachache wanaoishi pemba wakasali wapi ?

Pia hujawai kusikia kuhusu mapadri waliomwagiwa tindikali zanzibar. Na hata makanisa kuvamiwa na kuharibiwa zanzibar
 

Pemba hakuna wakristo sehemu hiyo , kanisa liko wete kizimbani ambako hata watu 20 hawafiki tena wengi na Polisi kutoka bara wanaofanya kazi Wete
 
Mnajifanya mna haki, mnaswali popote na haya ndiyo matokeo yake
 
Mfano hai huo wapo kwenye video ya maandamano ya pemba
Hao ”dayouth” (hope member anayejiita Jagina anaelewa hii) wa kipemba akili walikuwa wameziacha wapi wakati wanafanya ujinga huu.

Jamii ya hovyo kabisa,ni kusema hata mbwa ana akili kuwazidi hao jamaa.
 
Pemba hakuna wakristo sehemu hiyo , kanisa liko wete kizimbani ambako hata watu 20 hawafiki tena wengi na Polisi kutoka bara wanaofanya kazi Wete

Hao wakristo wachache wakasali wapi ? Kwa nini wapingwe kujenga kanisa kwa maandamano.

Pia wizara na taasisi za muungano zipo nyingi. Sio kweli kama pemba kuna wakristo 20 tu.

Wakristo Wanajeshi wa jwtz wapo kibao pemba

Wakristo Polisi wapo kazaa pemba

Wakristo wafanyakazi wa tra wapo kazaa pemba

Taasisi za muungano zipo nyingi ambazo zimepeleoa staff wao pemba. Sio kweli wakristo wapo 20 tu.
 
Wahindu wanachuki sana na waislamu. India waislamu wanabaguliwa mno
 

Taasisi za Muungano hazipo Taifu walikotaka kujenga kanisa, zipo Wete na huko makanisa yapo 2 makubwa ya kuingia hata watu mia 500 lakini wanaokwenda hata 20 hawafiki.
 
Wanataka kujenga kanisa la mashoga Pemba ?? mahali hakuna wakristo wala mashoga ??
Ulichoandika, Wahindi wapo sahihi 100% kwa walichofanya. Waislamu siyo wa kucheka nao, ni wa kupelekea moto kama Gaza
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…