Inflation & Unemployment: Mfumuko wa Bei na Ukosefu wa Ajira.Tanzania Wapi tunaelekea?


Watching closely 👍🏾
 
Usipoenda shule ukawa mpumbavu utakabiliana vipi na mazingira? Utapata wapi teknolojia nk?

Punguza ujinga wewe nyumbu wa Chadema
Kumbe we bwege kiasi hiki? Kwamba ukiwapeleka watoto wako shule baaasi unaweka makalio chini sio? Kuna mengi zaidi ya hiyo elimu, uzazi wa mpango ni muhimu sana kwa nchi ambazo hazina uchumi imara. Unazalisha graduates 60k+ kila mwaka, unaajiri hata 1k haifiki na bado upo bize kutuletea machokoraa mtaani. Jinger wewe!!
 
Wewe ni mbumbumbu hujui kitu
 
Wewe ni mpumbavu na umekariri upumbavu.

Nioneshe ushahidi wa Kiuchumi unaoonesha high population growth inatatiza maendeleo.
Unajua wewe una ujuaji wa kijinga na Wala hujui, Optimum population, balanced population, overpopulation, ungekuwaa unajua hivi usinge comment gabbage,
 
Hakuna mahala popote ambako kiuchumi idadi ya watu imeleta hasara badala yake idadi ndogo ya kuzaana ndio inaleta hasara ndio maana China,Germany,Korea etc wanawalilia wanawake na kuwapa incentives wazae.
Unafikiri Deng Xiaoping alikuwa mpumbavu kuamrisha one child policy..

You know nothing about economics you fool
 
Unajua wewe una ujuaji wa kijinga na Wala hujui, Optimum population, balanced population, overpopulation, ulikuwa hivi usinge comment gabbage,
Narudia tena kukwambia wewe ni miongoni mwa wapumbavu waliokariri.

Nioneshe ushahidi wa Kiuchumi unaothibitisha Watu wengi hutatiza uchumi
 
Unafikiri Deng Xiaoping alikuwa mpumbavu kuamrisha one child policy..

You know nothing about economics you fool
Yes alikuwa mpumbavu ndio maana Leo hii wanakuta na ndio maana hakuna Nchi imeiga huo upumbavu
 
Usipoenda shule ukawa mpumbavu utakabiliana vipi na mazingira? Utapata wapi teknolojia nk?

Punguza ujinga wewe nyumbu wa Chadema
we m baba hivi kweli na wewe huna akili? Aisee maisha haya nashindwa kuamini kama huna akili baada ya kujadil hoja umeleta mambo ya uchadema kwahy hao chadema wana..... Yaan mtu yupotayar kupambana na ukweli kisa maslai ya chama chake
 
Narudia tena kukwambia wewe ni miongoni mwa wapumbavu waliokariri.

Nioneshe ushahidi wa Kiuchumi unaothibitisha Watu wengi hutatiza uchumi
Una matatizo ya akili wewe, Overpopulation means, Population is great than Resources. Ni me prove tayari, huna hoja,hauko objective so sita poteza muda kujibu uupuuzi wako #Caseclosed, Time Will tell,
 
Uchumi unadidimia, Inasikitisha sana Mkuu.

KaziKweliKweli/JobTrueTrue
 
we m baba hivi kweli na wewe huna akili? Aisee maisha haya nashindwa kuamini kama huna akili baada ya kujadil hoja umeleta mambo ya uchadema kwahy hao chadema wana..... Yaan mtu yupotayar kupambana na ukweli kisa maslai ya chama chake
Wewe nyumbu ni mpumbavu hakuna unachojua na huyo unaemtetea.Mimi namfahamu ni nyumbu wa Chadema Sasa wewe na kihelehele chako umejibu hoja ipi?

Acha shobo we mbumbumbu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…