Kiranga
Platinum Member
- Jan 29, 2009
- 78,790
- 128,275
Watu wako ulionao umeshindwa kuwatumia vilivyo wanalia umasikini, unataka kuongeza watu?Hakuna mahala popote ambako kiuchumi idadi ya watu imeleta hasara badala yake idadi ndogo ya kuzaana ndio inaleta hasara ndio maana China,Germany,Korea etc wanawalilia wanawake na kuwapa incentives wazae.
Wewe unazilinganisha China, Germany, Korea na Tanzania?