Inflation & Unemployment: Mfumuko wa Bei na Ukosefu wa Ajira.Tanzania Wapi tunaelekea?

Inflation & Unemployment: Mfumuko wa Bei na Ukosefu wa Ajira.Tanzania Wapi tunaelekea?

Kwamba wewe msukule utanifundisha nini mimi ? Kulishwa pumba na vinyesi ?!. Stupid
Wewe ni mbulula wa uchumi hujui kitu.

Toka nimeanza kukuuliza hakuna ulichojibj hata nikikwambia weka cheti Cha form six tuone matokeo yangu na wewe kwenye uchumi kama hata ukisoma uchumi.
 
Wewe ni mbulula wa uchumi hujui kitu.

Toka nimeanza kukuuliza hakuna ulichojibj hata nikikwambia weka cheti Cha form six tuone matokeo yangu na wewe kwenye uchumi kama hata ukisoma uchumi.
Nikae nishindane na misukule humu ?

Hivi unaelewa maana ya kukuambia huna akili ndio vitu kama hivi unavyo andika jinga kabisa
 
Decaying population, ndo mana huko wamapewa incentive wazae,Wazee ni wengi vijana wachache , labour force imeshuka, tofauti na sisi labor ipo lakini Iko idle, please get the fact kabla hujacomment.
Ana uwezo huo wa kujibu.
Mwambie akuwekee video, ndio anachojua
 
Hivi umeelewa hata alichosema mtoa mada,Mbona unafanya mambo ya kitoto sana,

Kama huna majibu unapiga kimya tu,

Wewe ni binadamu gani, watu wanajadili mustakabali wa nchi wewe unaleta mdhaha tu,

Hayo unayoandika Subiri muda wa kampeni
Inafikirisha sana mtu anajitoa akili kiasi ambacho huwezi kuamini je ni nini haswa,anacha fact anakajeri
 
Hivi umeelewa hata alichosema mtoa mada,Mbona unafanya mambo ya kitoto sana,

Kama huna majibu unapiga kimya tu,

Wewe ni binadamu gani, watu wanajadili mustakabali wa nchi wewe unaleta mdhaha tu,

Hayo unayoandika Subiri muda wa kampeni
Narudia kukuuliza wewe,umewahi ona au sikia hao Watoto hata mmja amekosa shule Kwa sababu mumezaana sana?
 
Hoja ukiiona utaijua?

Una watu 10. Hujajipanga kutumia nguvukazi zao. Wengi ni tegemezi. Hawachangii kwenye uchumi. Hata wenye ajira wengi ni wa "disguised unemployment".

Unaona utatuzi wa tatizo hilo ni kuongeza watu wawe 15, hata kabla wale 10 waliokushinda kuwapa kazi hujaweza kuwatumia vizuri?

Soma historia ya Tanzania katika Paul Bjerk's "Building a Peaceful Nation : Julius Nyerere and the Establishment of Sovereignty in Tanzania 1961- 1964".

Professor Bjerk anaeleza kuwa tangu mwanzo serikali ya Nyerere ilijitahidi sana kufanya mipango ya maendeleo, lakini, tatizo moja kubwa lililojitokeza ni kuwa mipango hiyo ya maendeleo, hata ilipofanikishwa, ilizidiwa na kasi ya watu kuzaliana, kiasi kwamba, serikali ilikuwa kama inakimbia ili kubaki palepale ilipokuwa. Maendeleo yote yanafunikwa na ongezeko la watu kiasi kwamba mara nyingine ikaonekana kama serikali haijafanya kitu.

Hujajua hiyo historia, kwa sababu unafanya ubishi bila kusoma.
Hahahaaa, una mwambie asome kitabu,
Naona sasa unafanya masihara,

Huyo mwambie akuwekee clip kutoka huko google
 
Dogo ni mama Yako.Lazima Kila mtu aajiriwe kulipwa Ujira?
Umepanick????

Mambo makubwa haya kwako, umepata vichwa acha kupanick,
Mshushie video mama kama kawaida yako,

Haya huyawezi,

Yaani unasema kabisa kwa dhati Tanzania haina unabated ajira,

Kweli aliyeshina ham juice mwenye njaa 😉

Hebu orodhesha hapa hizo ajira zako za kujiajiri,
 
Umepanick????

Mambo makubwa haya kwako, umepata vichwa acha kupanick,
Mshushie video mama kama kawaida yako,

Haya huyawezi,

Yaani unasema kabisa kwa dhati Tanzania haina unabated ajira,

Kweli aliyeshina ham juice mwenye njaa 😉

Hebu orodhesha hapa hizo ajira zako za kujiajiri,
Wewe mbulula ndio unaona ni makubwa
 
Narudia kukuuliza wewe,umewahi ona au sikia hao Watoto hata mmja amekosa shule Kwa sababu mumezaana sana?
Ndio maana unaambiwa acha uchawa kidogo, labda akili zitarudi hizo za uchumi wa form six, maana ukiona mapicha ya majengo ya shule, basi akili zinakuruka,

Umeulizwa hao wanaotoka kwenye hayo majengo, kama serikali kuna chochote huku mmewandalia,

Lakini upande mwingine nimekuelewa, ni kama unavyosema wewe zaa tu hata watoto 20 , mengine watajua wenyewe,

Lakini kumbukeni hili ndio bomi litalowamalixa
 
Ndio maana unaambiwa acha uchawa kidogo, labda akili zitarudi hizo za uchumi wa form six, maana ukiona mapicha ya majengo ya shule, basi akili zinakuruka,

Umeulizwa hao wanaotoka kwenye hayo majengo, kama serikali kuna chochote huku mmewandalia,

Lakini upande mwingine nimekuelewa, ni kama unavyosema wewe zaa tu hata watoto 20 , mengine watajua wenyewe,

Lakini kumbukeni hili ndio bomi litalowamalixa
Kama huna majibu wafuate wapumbavu wenzako.

Mimi sio mbumbumbu kama wewe,huna facts na ushahidi pita huko boya wewe.

Eti Kuna chochote huku tumewaandalia 😁😁,walienda shule kufanya nini? Ukisikia uchumi umekuwa wanaozalisha ni punda au?
 
Kama huna majibu wafuate wapumbavu wenzako.

Mimi sio mbumbumbu kama wewe,huna facts na ushahidi pita huko boya wewe.

Eti Kuna chochote huku tumewaandalia 😁😁,walienda shule kufanya nini? Ukisikia uchumi umekuwa wanaozalisha ni punda au?
Kwa hiyo kwa akili yako,
Ukishawawekea majengo yako yaleee, ndio umeshamaliza,

Hujui hata kama serikali inahusika kuweka mazingira mazuri ili vijana wajiajiri,
Au Ndio zile ajira za kilimo za Bashe ,.

Labda nikwambie tu na wenzio huko serkalini hampo serious na maisha ya watanzania
 
Kama huna majibu wafuate wapumbavu wenzako.

Mimi sio mbumbumbu kama wewe,huna facts na ushahidi pita huko boya wewe.

Eti Kuna chochote huku tumewaandalia 😁😁,walienda shule kufanya nini? Ukisikia uchumi umekuwa wanaozalisha ni punda au?
Tume kuuliza uchumi gani unao kuwa bila kuleta Ajira, ukweli utabaki pale pale wekeni kejeri,tukana ila Youth unemployment is a Time Ticking bomb 💣,

Ukweli utatuweka huru,Jk, Nyerere Alisa wahi kusema kukwepa kujadili matatizo yetu Kwa kujindanganya hayapo sio suluhu,

Formal sector/ inform sector opportunities zimebana,vijana hawajui wajiweke wapi.
 
Kwa hiyo kwa akili yako,
Ukishawawekea majengo yako yaleee, ndio umeshamaliza,

Hujui hata kama serikali inahusika kuweka mazingira mazuri ili vijana wajiajiri,
Au Ndio zile ajira za kilimo za Bashe ,.

Labda nikwambie tu na wenzio huko serkalini hampo serious na maisha ya watanzania
BRN ,ya Bashe Ina Vijana 500 + zaidi ya mwaka hawajafanya lolote meaningful,
Anakuja na hesabu nyepesi by 2030 wawe wamewekeza USD 1. 8Billion we wamewafika vijana million 6, kweli Kwa speed hiyo ata reach target? Kama hizo pesa za BRN zipo wekeza Kwa Vijana smart watoe proposal za small scale agriculture industries/ adding value - opportunity zipo ila wabeba maono hawaoni ,
 
Tume kuuliza uchumi gani unao kuwa bila kuleta Ajira, ukweli utabaki pale pale wekeni kejeri,tukana ila Youth unemployment is a Time Ticking bomb 💣,

Ukweli utatuweka huru,Jk, Nyerere Alisa wahi kusema kukwepa kujadili matatizo yetu Kwa kujindanganya hayapo sio suluhu,

Formal sector/ inform sector opportunities zimebana,vijana hawajui wajiweke wapi.
Na Mimi nimekuuliza umewahi sikia Tanzania inatajwa kwenye ripoti yeyote kwamba Kuna mass unemployment? Leta ripoti hiyo basi na Mimi nikupe taarifa inayosema Tanzania Ina very low Unemployment.
 
BRN ,ya Bashe Ina Vijana 500 + zaidi ya mwaka hawajafanya lolote meaningful,
Anakuja na hesabu nyepesi by 2030 wawe wamewekezaTsh 30trion,wawe wamewafika vijana million 6, kweli Kwa speed hiyo ata reach target? Kama hizo pesa za BRN zipo wekeza Kwa Vijana smart watoe proposal za small scale agriculture industries/ adding value - opportunity zipo ila wabeba maono hawaoni ,
Kwani unaelewa hata program hiyo ya incubation imelenga kuwatogolesha Kwa mda gani au unapayuka tuu?

Unadhani agriculture ni sawa na duka la mangi?
 
Kwani unaelewa hata program hiyo ya incubation imelenga kuwatogolesha Kwa mda gani au unapayuka tuu?

Unadhani agriculture ni sawa na duka la mangi?
Mnachekesha,mna pump pesa BRN,wakati sector nzima ya kilimo ya nchi Bado imedumaa?

Subirini walime nyanya,na vitunguu tukutane sokoni? Wakose masoko nyanya zioe wawe frustrated wakimbie mashamba, kama unaweza block farming ukihitaji kupelela vijana training One 1 year for what, mbona vijana wa Extension in Agriculture wa SUA si wako wengi wangepewa kazi kama ma expert,
 
Mnachekesha,mna pump pesa BRN,wakati sector nzima ya kilimo ya nchi Bado imedumaa?

Subirini walime nyanya,na vitunguu tukutane sokoni? Wakose masoko nyanya zioe wawe frustrated wakimbie mashamba, kama unaweza block farming ukihitaji kupelela vijana training One 1 year for what, mbona vijana wa Extension in Agriculture wa SUA si wako wengi wangepewa kazi kama ma expert,
BRN ndio mdudu gani? Unakijua unachoongea?
 
Back
Top Bottom