Inflation & Unemployment: Mfumuko wa Bei na Ukosefu wa Ajira.Tanzania Wapi tunaelekea?

Inflation & Unemployment: Mfumuko wa Bei na Ukosefu wa Ajira.Tanzania Wapi tunaelekea?

Watu ndio Walaji (wakiwa hawana buying power hawawezi kununua, unaweza kusema wakalime, ila kumbuka hata kilomo ni gharama, pembejeo, ardhi n.k.)

Watu ni Wazalishaji (kama wakizalisha hakuna watu wenye ujira wa kuweza kununua hivyo utaona kwamba hawatapata motive ya kuzalisha au watazalisha kwa mikopo na kudumbukia kwenye madeni); Na je hao wao wana required skills za kuweza kuzalisha kinachohitajika kwa wakati huo..., mfano India na Umasikini wao kutokana na kwamba wapo vizuri kwenye IT wanaweza wakalisha ulimwengu kwa hio commodity (sasa je wewe unaweza ku-export uzalishaji wako na je unapendwa ? Iwe movies which is good au hata utapeli kama Nigeria which is detrimental au Beach Boys kule Gambia wanatoa huduma ya Good times kwa Vikongwe)

Kwahio utaona kwamba kunatakiwa kuwepo na watu wanaotosha kulingana na mahitaji na uzalishaji (an optimum productive population) hata kama mkiwa wengi kwenye nchi yenu ndogo mnaweza mkawa mnachokizalisha kinatakiwa na ulimwengu mzima au vice versa (hakitakiwi hata kwenye nchi yenu)

And since dunia ni moja wala haifanyi expansion yoyote.., its not feasible kuendelea na exponential growth to infinity ni kwamba nature will take it's cause kuwapunguza watu (iwe njaa, vita magonjwa ya kuwekeana sheria za matumizi ya resources.., jambo ambalo linatokea naturally ingekuwa zamani watoto hata ukiwa nao hamsini unapata walima mashamba hamsini sasa hivi hilo shamba hauna unahitaji kutoboa mfuko kulisha hivyo vinywa hamsini)
Lini Tanzania ilikosa walaji? Usiwe mjinga wa kukariri vitu usivhovielewa.
 
Lini Tanzania ilikosa walaji? Usiwe mjinga wa kukariri vitu usivhovielewa.
Unaweza kula bila Ujira ?!!!; Au unadhani ni nini kinasukuma Uchumi huu wa Kibepari kama sio consumerism ?

Unadhani wabongo wapo allergic na korosho ? Kama wanazipenda inakuwaje zinakosa Soko..., Au unadhani Watu hawapendi kushangaa Simba huko Serengeti huku wanakula nyama ya Swala ? Kama wanapenda inakuwaje tunahangaika kutafuta macho kutoka ughaibuni ?
 
Tanzania nani hana Ujira? Lazima Kila mtu aajiriwe kulipwa Ujira?
Ajira zenye ujira wa kutosha zipo ? Na hapo sijaongelea disposable income.., sababu kabla mtu hajashiba hawezi kuwaza kuanza kununua luxuries... Au unadhani kwanini kuna watu vijijini wanauza kuku alafu wenyewe wanakula chakula bila mboga....
 
Dogo ni mama Yako.Lazima Kila mtu aajiriwe kulipwa Ujira?
Hivi unajua jukumu no.1 la serikali katika ajira ni nini ?

Hivi CCM hii mitahira yenu mnayotuma humu hata shule imeenda kweli au mmeigeuza mindondocha yenu ?
 
Hivi unajua jukumu no.1 la serikali katika ajira ni nini ?

Hivi CCM hii mitahira yenu mnayotuma humu hata shule imeenda kweli au mmeigeuza mindondocha yenu ?
Kunywa maji uandike vizuri we kima mbona unatoa povu?

Jukumu namba 1 katika Ajira? 😁😁
 
Wewe ni mpumbavu unajichekesha chekesha kama malaya hapa.

Unafikiri nimekuja kukua tekenya hapa pumbavu

Siku nyingine waambie hao wapumbavu wako wanao kutumia wakupe na akili
huna hoja we kima ndio maana unapanic , usilazimishe upumbavu wako
 
Back
Top Bottom