Influencer/brand ambassadors huwa wana ushawishi wa maana kwa watu kununua au kubadilisha bidhaa au huduma fulani?

Influencer/brand ambassadors huwa wana ushawishi wa maana kwa watu kununua au kubadilisha bidhaa au huduma fulani?

Yoda

JF-Expert Member
Joined
Jul 22, 2018
Posts
48,475
Reaction score
70,102
Mimi maji ninayopendelea kunywa tangu nafika Dar es Salaam ni maji brand ya Uhai, yalipokuja Hill water niliyapenda kwa sababu ya muonekano wa chupa yake na portability yake. Nimeona matangazo ya maji mengi lakini sijawahi kufikria kununua maji kwa sababu ya kushawishiwa na influencer.

Nimekuwa mpenzi wa Pepsi muda mrefu kabla hata Diamond hajaanza kutangaza Pepsi, Nimekuwa nakunywa maziwa ya Tanga Fresh na ASAS kabla ya kumjua hata influencer mmoja anayetangaza haya maziwa. Sijawahi kwenda duka fulani kwa sababu ya kelele za Influencer yeyote.

Hivi kiuhalsia inawezekana kweli mtu anaenda kununua bidhaa fulani kwa sababu ya Mwijaku, Baba Levo, Manara, Diamond n.k Yani mtu anaweza kuhama kutoka NMB kwenda CRDB kwa sababu ya Ali Kamwe bila kulinganisha huduma na kuona ipi inamfaa?
 
Kila sehemu Kuna tamaduni zake, kwa nchi za Ulaya, Amerika na baadhi ya nchi za kiafrika Kama South Africa watu hao wamesaidia Sana kutangaza bidhaa Ila kwa hapa kwetu tumefata mkumbo
 
Nakumbuka uefa euro ya mwaka 2021 C.Ronaldo alikuwa kwenye press conference na mezani kulikuwa na vinywaji vya cocacola kama wadhamini, Ronaldo alipofika eneo la tukio na aliviondoa vile vinywaji vya kampuni ya cocacola na kuweka maji kama mbadala wake huku akizungumza “don’t drink Cocacola, drink water”

Maajabu ni kwamba eti kauli ile tu iliwaingiza cocacola hasara za mamilioni ya dola katika soko la hisa.

Swali lililo nijia kichwani kwa haraka ni kwamba, “kuna mtu ni bendera fata upepo kwamba kauli ya ronaldo imemfanya atupe soda na kuanza kununua maji?” (Ingawa ushauri wake ni mzuri)

Baada ya sakata la Kanye west na adidas nikaanza kuelewa taratibu jinsi uchumi wa hawa wenzetu unavyo enda.
 
Mimi maji ninayopendelea kunywa tangu nafika Dar es Salaam ni maji brand ya Uhai, yalipokuja Hill water niliyapenda kwa sababu ya muonekano wa chupa yake na portability yake. Nimeona matangazo ya maji mengi lakini sijawahi kufikria kununua maji kwa sababu ya kushawishiwa na influencer.

Nimekuwa mpenzi wa Pepsi muda mrefu kabla hata Diamond hajaanza kutangaza Pepsi, Nimekuwa nakunywa maziwa ya Tanga Fresh na ASAS kabla ya kumjua hata influencer mmoja anayetangaza haya maziwa. Sijawahi kwenda duka fulani kwa sababu ya kelele za Influencer yeyote.

Hivi kiuhalsia inawezekana kweli mtu anaenda kununua bidhaa fulani kwa sababu ya Mwijaku, Baba Levo, Diamond n.k Yani mtu anaweza kuhama kutoka NMB kwenda CRDB kwa sababu ya Ali Kamwe bila kulinganisha huduma na kuona ipi inamfaa?
Mkuu influencers Wana impact kubwa tu. Influencer wanaongeza visibility ya brand hasa kupitia kwenye digital platforms. Psychology ya manunuzi ilivo, ni rahisi mtu kununua kitu anachokifahamu au alichowahi kukisikia kuliko ambacho hajawahi kukiona au kukisikia kabisa.

Sasa issue sio personality ya influencer mmoja mmoja kwa mtu, watu wanachoangalia ni engagements zao kwenye digital platforms. Selling point ya influencers na brand ambassadors wengi bongo ni engagements zao DP.

In short, definition ya influencers wa bongo ni tofauti na influencers per SE kwa maana yake sehemu nyingine duniani.
 
Mimi maji ninayopendelea kunywa tangu nafika Dar es Salaam ni maji brand ya Uhai, yalipokuja Hill water niliyapenda kwa sababu ya muonekano wa chupa yake na portability yake. Nimeona matangazo ya maji mengi lakini sijawahi kufikria kununua maji kwa sababu ya kushawishiwa na influencer.

Nimekuwa mpenzi wa Pepsi muda mrefu kabla hata Diamond hajaanza kutangaza Pepsi, Nimekuwa nakunywa maziwa ya Tanga Fresh na ASAS kabla ya kumjua hata influencer mmoja anayetangaza haya maziwa. Sijawahi kwenda duka fulani kwa sababu ya kelele za Influencer yeyote.

Hivi kiuhalsia inawezekana kweli mtu anaenda kununua bidhaa fulani kwa sababu ya Mwijaku, Baba Levo, Manara, Diamond n.k Yani mtu anaweza kuhama kutoka NMB kwenda CRDB kwa sababu ya Ali Kamwe bila kulinganisha huduma na kuona ipi inamfaa?
IMG-20241206-WA0012.jpg
 
Hahaha ukinikuta bar na kunywa, na kula, we jua siku hiyo ninazo, hakuna infuencer anaweza kunishawishi ninunue chochote.
Unaweza kushawishiwa na influencer kuhamia Safari Lager kutoka Serengeti Lager?
 
Nakumbuka uefa euro ya mwaka 2021 C.Ronaldo alikuwa kwenye press conference na mezani kulikuwa na vinywaji vya cocacola kama wadhamini, Ronaldo alipofika eneo la tukio na aliviondoa vile vinywaji vya kampuni ya cocacola na kuweka maji kama mbadala wake huku akizungumza “don’t drink Cocacola, drink water”

Maajabu ni kwamba eti kauli ile tu iliwaingiza cocacola hasara za mamilioni ya dola katika soko la hisa.

Swali lililo nijia kichwani kwa haraka ni kwamba, “kuna mtu ni bendera fata upepo kwamba kauli ya ronaldo imemfanya atupe soda na kuanza kununua maji?” (Ingawa ushauri wake ni mzuri)

Baada ya sakata la Kanye west na adidas nikaanza kuelewa taratibu jinsi uchumi wa hawa wenzetu unavyo enda.
Nafikiri hapa hiyo kauli yake ya don't drink Coca-Cola ndio ilileta shida maana inazalisha tafakari kichwani na mijadala pia.
 
Kwani influencer ananipa hela ya kununua,nanunua nipendacho hela ni yangu
Mhudumu niletee pepsi,coca,maji ya uhai,kilimanjaro,jambo leta k vant,konyagi,azam embe,choma kuku wawili,kitimoto kilo 3,supu ya pweza,chips 8 na valeur ya baridi
 
Unaweza kushawishiwa na influencer kuhamia Safari Lager kutoka Serengeti Lager?
Hahaha yani iko hivi, Kama analipa yeye huyo influencer, hata Henessy, Serengeti, Konyagii, na mbege nakunywa zote.
 
Bora nifate ushauri wa wataalam kuliko hao influencer wa mchongo,usishangae kumwona anatangaza Pepsi ukikutana naye kona ukamkuta anapata Cocacola 😀
 
Inategemea na mtu na mtu
Inategemea na biashara na biashara


Kuna tajiri mmoja alikuwa anafanyabiashara ila kuna bidhaa yake moja ilidunda, ilikuwa haiuziki, akapewa tenda baba levo kuipigia promo tumbo wazi na kuipost Instagram akapewa m kadhaa, bidhaa iliuzika vibaya mno narudia tena VIBAYA MNO. Oda zilikuwa nyingi mno, bidhaa iliyodunda ndio iliuzika zaidi.

Kiwanda cha pedi za zari ni cha siku nyingi mno, ila tangu wamtumie zari kwenye matangazo yao, pedi za wanawake na diaper zao zimeuzika mno.


Mo anatumia simba kumarket bidhaa zake.



Wafanyabiashara wakubwa ndio wenye majibu sahihi.
 
Ni kweli wana mchango , nimewahi fanya project na mandonga niliona matokeo chanya.
wa kibongo viazi tu, just image umlipe kiredio M2 kwa video moja, s bora nitangaze Instagram kwa hiyo 2M muda wa mwaka mzima
 
Inategemea na mtu na mtu
Inategemea na biashara na biashara


Kuna tajiri mmoja alikuwa anafanyabiashara ila kuna bidhaa yake moja ilidunda, ilikuwa haiuziki, akapewa tenda baba levo kuipigia promo tumbo wazi na kuipost Instagram akapewa m kadhaa, bidhaa iliuzika vibaya mno narudia tena VIBAYA MNO. Oda zilikuwa nyingi mno, bidhaa iliyodunda ndio iliuzika zaidi.

Kiwanda cha pedi za zari ni cha siku nyingi mno, ila tangu wamtumie zari kwenye matangazo yao, pedi za wanawake na diaper zao zimeuzika mno.


Mo anatumia simba kumarket bidhaa zake.



Wafanyabiashara wakubwa ndio wenye majibu sahihi.
swali ni kwamba walimlipa baba levo au zari Tsh ngapi, kwaiyo utaka kuniambia tangazo hiyo ndo mpaka leo kinauza. hakun washawishi bongo ni bora utumie Youtube, Instagram na tiktok kupromote bidhaa kuliko kuwapa hao watu
 
Mkuu influencers Wana impact kubwa tu. Influencer wanaongeza visibility ya brand hasa kupitia kwenye digital platforms. Psychology ya manunuzi ilivo, ni rahisi mtu kununua kitu anachokifahamu au alichowahi kukisikia kuliko ambacho hajawahi kukiona au kukisikia kabisa.

Sasa issue sio personality ya influencer mmoja mmoja kwa mtu, watu wanachoangalia ni engagements zao kwenye digital platforms. Selling point ya influencers na brand ambassadors wengi bongo ni engagements zao DP.

In short, definition ya influencers wa bongo ni tofauti na influencers per SE kwa maana yake sehemu nyingine duniani.
Hivi mtu kilaza kama Manara au Doto magari wanaweza kukushawishi wewe uache kutumia bidhaa flani na uhamie bidhaa flani?
 
Inategemea na mtu na mtu
Inategemea na biashara na biashara


Kuna tajiri mmoja alikuwa anafanyabiashara ila kuna bidhaa yake moja ilidunda, ilikuwa haiuziki, akapewa tenda baba levo kuipigia promo tumbo wazi na kuipost Instagram akapewa m kadhaa, bidhaa iliuzika vibaya mno narudia tena VIBAYA MNO. Oda zilikuwa nyingi mno, bidhaa iliyodunda ndio iliuzika zaidi.

Kiwanda cha pedi za zari ni cha siku nyingi mno, ila tangu wamtumie zari kwenye matangazo yao, pedi za wanawake na diaper zao zimeuzika mno.


Mo anatumia simba kumarket bidhaa zake.



Wafanyabiashara wakubwa ndio wenye majibu sahihi.
Mimi hata baba levo angetembea na boxers, sio rahisi anashawishi ninunue bidhaa.

Mo kutumia timu nafikiri ni sawa na kuhabarisha uwepo wa bidhaa zaidi uamue mwenyewe.
 
Back
Top Bottom