Mateja M.G Yango
JF-Expert Member
- Feb 17, 2013
- 613
- 1,093
Umeshaambiwa Kitwanga ni founder, ila kwa sasa sio Director, hivyo kibiashara anasubili gawio la faida mwisho wa mwaka.Kitwanga ndio anajaribu kujisafisha. Haya bana hata Yusuph manji hausiki kabisa na quality group kwa sasa. Hiyo infosy ni Mali ya kitwa ga
Ok, hata kama Kitwanga angekuwa ni Director kwa sasa, bado wameweka mambo wazi kama infosys, ambayo yako crystal clear.
Watanzania wengi tunapelekwa na matakwa ya wanasiasa, Lowasa alivyokuwa CCM tuliambiwa ni fisadi, tukimuona tumzomee, ameingia CHADEMA amekuwa msafi kama malaika.
Vijana tuache kutumika katika siasa!